CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama

Sawa ila Lowasa amefika alipo kwa njia tofauti na hizo zako!

Wewe ulitaka njia zake na zangu zifanane !?
Jifunze kusimamia imani yako mara nyingi kuigaiga kunaumiza
 
Jamani mbona hamji huku vijijini kuongea na sisi wananchi tukawaeleza matatizo na mahitaji yetu ili myaongelee? Chadema ile ya zamani walikuwa wanafanya hivyo.
Nyie kila siku ni kuongea na wandishi wa habari tu!
Hujui kwamba CHADEMA hawaruhusiwi kufanya mikutano ya hadhara na kuongea na wananchi, tangu awamu ya 5?!
Ila wanaruhusiwa kuongea na wandishi wa habari 🤔🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…