Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Duuu i,m deeperHii ndio taarifa inayosambaa duniani hivi sasa
Tumewachoka fanyeni kazi, kila siku ni kuongea na wana habari, kaongeeni na wananchi, mwishoni mtakuwa mnaongea majungu tu.
Hiyo ndio kazi yao wanafanya.Tumewachoka fanyeni kazi,kila siku ni kuogea na wana habari,kaongeeni na wananchi,mwishoni mtakuwa mnaongea majungu tu.
Na mimi 😂😂By the way, mmewachoka wewe na nani?
Mkuu ukitaka tufunguke kuhusu Kitila Mkumbo utakimbia hapa jukwaaniKitila ni profesa, wewe ni mwalimu tu wa kawaida, zwazwa hapo ni nani?
Funguka sasa. Acha kutishia nyau wewe kamanda uchwara.Mkuu ukitaka tufunguke kuhusu kitila mkumbo utakimbia hapa jukwaani
Nut profesaKitila ni profesa, wewe ni mwalimu tu wa kawaida, zwazwa hapo ni nani?
Chagu wa malunde umerudi kwa id ingine mna pata tabu sanaFunguka sasa. Acha kutishia nyau wewe kamanda uchwara.