guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,758
peoples'.............
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu CHADEMA haitegemei mtu mmoja kuendesha chama.Duuh hicho chama mwenyekiti yupo Dubai, makamu wake ubelgiji na ofisi Zipo nje ya jiji la Dar.
Ikatokea kuna nyaraka inatakuwa makamu mwenyekiti atie saini.Mkuu CHADEMA haitegemei mtu mmoja kuendesha chama.
Makao makuu kua nje ya mji haikizuii chama kufanya shughuli zake
Ili kuwafikia wananchi wengi na kwa wakati mmoja unatumia?kaongeeni na wananchi,
Kuandika vizuri shida nenda hata memkwa hujachelewa.Naama chama tawala kijacho soon tupo tayari kukisikiliza
Usikute hapo wakaenda kusema Mh Rais anaumwa au kuhoji alikoTumewachoka fanyeni kazi, kila siku ni kuogea na wana habari, kaongeeni na wananchi, mwishoni mtakuwa mnaongea majungu tu.
Kukosoa uandishi wa mtu ni kudhihirisha kua huna pointKuandika vizuri shida nenda hata memkwa hujachelewa.