CHADEMA kuongea na waandishi wa habari Makao Makuu ya Chama

CHADEMA kuongea na waandishi wa habari Makao Makuu ya Chama

Nitawashangaa sana kama watazungumza habari za uzushi.
Uzushi waachieni kina kigogo lakini sio ninyi mnaoeleweka na mamilioni ya watanzania kuanza kuzungumzia habari zisizotusaidia.
Someni alama za nyakati msije mkajidharaulisha kwa watanzania waliowaelewa
Well said, Chadema na hasa viongozi wote wa juu waachane na habari ambazo hazina uhakika. Inawapunguzia kuaminika kwa jamii.
 
Nilishangaa sana Mh Lissu kuingia kwenye mtego wa hovyo kama huu.
Yeye ni international figure hatakiwi kujihusisha na rumours.
Rumours ziachwe kwa watu wasiojulikana kama kina kigogo.
Chadema msiingie kwenye mitego ya hovyo.
Ni afadhali mara mia mkazungumzie habari za vipaumbele vya bajeti na ukomo wake na sio habari ya nani yuko wapi?upuuzi
 
John Mnyika yuko live

Anazungumzia suala la Rais kwa mujibu wa katiba.
CHADEMA waitaka Serekali kutoa tamko kuhusu wapi alipo Rais.
 
Chadema watumie busara Kama wanataka kuongea kuhusu uvumi
Ni chama kikubwa Kama sio kuibiwa Kura wangetikisa uchaguzi uliopita.waonyeshe value yao.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
John Mnyika yuko live

Anazungumzia suala la Rais kwa mujibu wa katiba.
CHADEMA waitaka Serekali kutoa tamko kuhusu wapi alipo Rais.
Ngoja tuone Dr Mwigullu Nchemba atakavyomshughulikia J J Mnyika kwa mujibu wa sheria!
 
CHADEMA wazungumzie hata

1. Hatma ya wanaoitwa wabunge wao 19
2. Kwa nini mkutano mkuu haufanyiki
3. Hali ya siasa nchini na hatma ya siasa za upinzani
4. Hivi kweli ni realistic kuendelea kuamini Tundu Lissu ni kiongozi wa Chama, wakati hayupo Tanzania. He does not involve himself in active politics
Yaani hili lichama sijui limekuwaje siku hizi.
 
Why?Acheni uzushi
Sio jambo la kufurahisha ,lakini ndio hivyo na ndio Taifa likafikishwa hapo ....tumejifunza !!

Japo wengine toka 2016 tulishauri , asaidiwe ili asiende vibaya pengine alikuwa hataki kuzungukwa na wanaomshauri ukweli akabaki na wanaomshauri anachotaka kusikia ..
Wote waliomfikisha hapo ni maadui wa taifa na wanatakiwa kuwa ex-communicated ...tumejifunza tunahitaji katiba mpya kuzuia tusijikute katika hali kama hii asipenye mtu wa namna hiyo .
Tunajitaji maaelewano na upendo utawale !! tunahitaji kusameheana , truth and reconcilliation ...
Ndani ya vyama pia mfano ccm kuna wengi wameumia .....na pia wapinzani wengi wameumia sana na kulazimishwa kuwa upande wasiotaka kwa uwoga tu ....mfikirie mtu kama Halima Mdee anajisikiaje kujikuta kwenye hali ile kwakulazimika , au mtu kama Kinana anajisikiaje kudharaulika pamoja na kazi aliyofanya ...
Mambo ni mengi !!
 
Sio jambo la kufurahisha ,lakini ndio hivyo na ndio Taifa likafikishwa hapo ....tumejifunza !!

Japo wengine toka 2016 tulishauri , asaidiwe ili asiende vibaya pengine alikuwa hataki kuzungukwa na wanaomshauri ukweli akabaki na wanaomshauri anachotaka kusikia ..
Wote waliomfikisha hapo ni maadui wa taifa na wanatakiwa kuwa ex-communicated ...tumejifunza tunahitaji katiba mpya kuzuia tusijikute katika hali kama hii asipenye mtu wa namna hiyo .
Tunajitaji maaelewano na upendo utawale !! tunahitaji kusameheana , truth and reconcilliation ...
Ndani ya vyama pia mfano ccm kuna wengi wameumia .....na pia wapinzani wengi wameumia sana na kulazimishwa kuwa upande wasiotaka kwa uwoga tu ....mfikirie mtu kama Halima Mdee anajisikiaje kujikuta kwenye hali ile kwakulazimika , au mtu kama Kinana anajisikiaje kudharaulika pamoja na kazi aliyofanya ...
Mambo ni mengi !!
Bado hujasema kilichotimia ni kipi
 
Rejea uchaguzi mkuu 2020, hao wote walioipa kura CHADEMA ni mateja na wabakaji?.Tumia hata 0.5% ya akili zako.
Achana nao hao ndio wafuasi wa uchetani ..hawajui Ubaya haulipi?? Hawajifunzi tu machozi ya watu?? au kutukana watumishi wa Mungu kwenye altare???
 
Back
Top Bottom