Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Endelea kutega sikioNani hajulikani aliko tena?!
View attachment 1739862
Hii ndio taarifa mpya kwa wakati huu inayozunguka dunia nzima , kwamba Chadema yenye Makao Makuu yake Kinondoni , Nje ya Jiji la Dar es Salaam itakuwa na Mkutano na waandishi wa Habari Tarehe 1/4/2021 kwenye ofisi za Makao Makuu yake .
Waandishi wote mnakaribishwa lakini mnakumbushwa kuzingatia mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona .
Hapana , mimi ni mwandishi wa JF , Msemaji wa Chadema anaitwa Tumaini MakeneWewe ni msemaji wa chama?
Hajaribiwi yule.Wanamtest Mama
Mama sio DiktetaWanamtest Mama
chizi yuleWatueleze na juu ya afya ya akili ya Lissu, maana amesikika VOA akisema mlinzi mweusi wa Magufuli alikufa kwa corona.
Tutachangia matibabu ya ugonjwa wa akili wa Lissu.
😷😷😷View attachment 1739862
Hii ndio taarifa mpya kwa wakati huu inayozunguka dunia nzima , kwamba Chadema yenye Makao Makuu yake Kinondoni , Nje ya Jiji la Dar es Salaam itakuwa na Mkutano na waandishi wa Habari Tarehe 1/4/2021 kwenye ofisi za Makao Makuu yake .
Waandishi wote mnakaribishwa lakini mnakumbushwa kuzingatia mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona .
Mfalme wa chama; au wewe mwenzetu unajua aliko?Nani hajulikani aliko tena?!
Kama kuna watu mpaka sasa hawajajua kuwa huyo jamaa ni chizi, aka dishi limeyumba, basi hao watu ni machizi zaidi; inabidi tuutambue uchizi kama janga la kitaifaWatueleze na juu ya afya ya akili ya Lissu, maana amesikika VOA akisema mlinzi mweusi wa Magufuli alikufa kwa corona.
Tutachangia matibabu ya ugonjwa wa akili wa Lissu.
Eti Lisu ndo alitaka apewe urais wa nchi hii?Kama kuna watu mpaka sasa hawajajua kuwa huyo jamaa ni chizi, aka dishi limeyumba, basi hao watu ni machizi zaidi; inabidi tuutambue uchizi kama janga la kitaifa
Eti jijini Dar es salaam!!View attachment 1739862
Hii ndio taarifa mpya kwa wakati huu inayozunguka dunia nzima , kwamba Chadema yenye Makao Makuu yake Kinondoni , Nje ya Jiji la Dar es Salaam itakuwa na Mkutano na waandishi wa Habari Tarehe 1/4/2021 kwenye ofisi za Makao Makuu yake .
Waandishi wote mnakaribishwa lakini mnakumbushwa kuzingatia mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona .
Umesikia hilo tu ? unawajua walinzi wote wa mkuu mwendazake ?Watueleze na juu ya afya ya akili ya Lissu, maana amesikika VOA akisema mlinzi mweusi wa Magufuli alikufa kwa corona.
Tutachangia matibabu ya ugonjwa wa akili wa Lissu.