CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya chama

CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya chama

View attachment 1739862

Hii ndio taarifa mpya kwa wakati huu inayozunguka dunia nzima , kwamba Chadema yenye Makao Makuu yake Kinondoni , Nje ya Jiji la Dar es Salaam itakuwa na Mkutano na waandishi wa Habari Tarehe 1/4/2021 kwenye ofisi za Makao Makuu yake .

Waandishi wote mnakaribishwa lakini mnakumbushwa kuzingatia mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona .
Tuonyesheni basi na hayo Makao Makuu manyofanyia press conference ya "dunia nzima"
 
Tuonyesheni basi na hayo Makao Makuu manyofanyia press conference ya "dunia nzima"
Hii apa ofisi ya makao makuu ya Chadema.
Kibanda umiza.
images.jpg
 
View attachment 1739862

Hii ndio taarifa mpya kwa wakati huu inayozunguka dunia nzima , kwamba Chadema yenye Makao Makuu yake Kinondoni , Nje ya Jiji la Dar es Salaam itakuwa na Mkutano na waandishi wa Habari Tarehe 1/4/2021 kwenye ofisi za Makao Makuu yake .

Waandishi wote mnakaribishwa lakini mnakumbushwa kuzingatia mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona .
Isiwe umeliweka hapa tangazo hilo kwa sababu ya tarehe hiyo!
 
Kama ni zaidi ya saa nne asubuhi nitakuja na kamera yangu chini ya hapo siko tayari kuwa mjinga.
 
Vizuri wamsaidie mama, Kuna dalili ya kuanza kupuuza katiba aliyoapa kuilinda hasa uundaji wa baraza
 
View attachment 1739862

Hii ndio taarifa mpya kwa wakati huu inayozunguka dunia nzima , kwamba Chadema yenye Makao Makuu yake Kinondoni , Nje ya Jiji la Dar es Salaam itakuwa na Mkutano na waandishi wa Habari Tarehe 1/4/2021 kwenye ofisi za Makao Makuu yake .

Waandishi wote mnakaribishwa lakini mnakumbushwa kuzingatia mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona .
Tuko tayari. Kwa sasa tunapumua. Kha!
 
Hajaribiwi yule.
Wacha wamjaribu wataipata na vile anajua sana kama mtamjaribu shauri yenu nyie si mliwata kina Mdee COVID 19 mmesahau?? atawakumbusheni kinamna kwani matamko yale yalikuwa ni unyanyasaji wa kijinsia na yeye ni mama kama wale mliowaita covid 19
 
Back
Top Bottom