Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
HaihusianiKesho tarehe Moja sikukuu ya wajinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaihusianiKesho tarehe Moja sikukuu ya wajinga
Tuonyesheni basi na hayo Makao Makuu manyofanyia press conference ya "dunia nzima"View attachment 1739862
Hii ndio taarifa mpya kwa wakati huu inayozunguka dunia nzima , kwamba Chadema yenye Makao Makuu yake Kinondoni , Nje ya Jiji la Dar es Salaam itakuwa na Mkutano na waandishi wa Habari Tarehe 1/4/2021 kwenye ofisi za Makao Makuu yake .
Waandishi wote mnakaribishwa lakini mnakumbushwa kuzingatia mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona .
Cha msingi uvae barakoa ukiwa unaongea namna hii.Watueleze na juu ya afya ya akili ya Lissu, maana amesikika VOA akisema mlinzi mweusi wa Magufuli alikufa kwa corona.
Tutachangia matibabu ya ugonjwa wa akili wa Lissu.
"imakwisha"Hakika ccm imakwisha
Hii apa ofisi ya makao makuu ya Chadema.Tuonyesheni basi na hayo Makao Makuu manyofanyia press conference ya "dunia nzima"
Isiwe umeliweka hapa tangazo hilo kwa sababu ya tarehe hiyo!View attachment 1739862
Hii ndio taarifa mpya kwa wakati huu inayozunguka dunia nzima , kwamba Chadema yenye Makao Makuu yake Kinondoni , Nje ya Jiji la Dar es Salaam itakuwa na Mkutano na waandishi wa Habari Tarehe 1/4/2021 kwenye ofisi za Makao Makuu yake .
Waandishi wote mnakaribishwa lakini mnakumbushwa kuzingatia mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona .
Tuko tayari. Kwa sasa tunapumua. Kha!View attachment 1739862
Hii ndio taarifa mpya kwa wakati huu inayozunguka dunia nzima , kwamba Chadema yenye Makao Makuu yake Kinondoni , Nje ya Jiji la Dar es Salaam itakuwa na Mkutano na waandishi wa Habari Tarehe 1/4/2021 kwenye ofisi za Makao Makuu yake .
Waandishi wote mnakaribishwa lakini mnakumbushwa kuzingatia mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona .
Wacha wamjaribu wataipata na vile anajua sana kama mtamjaribu shauri yenu nyie si mliwata kina Mdee COVID 19 mmesahau?? atawakumbusheni kinamna kwani matamko yale yalikuwa ni unyanyasaji wa kijinsia na yeye ni mama kama wale mliowaita covid 19Hajaribiwi yule.
HapanaIsiwe umeliweka hapa tangazo hilo kwa sababu ya tarehe hiyo!