Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Siasa gani za kitoto?Muwe mnaongea mambo ya maana sasa huko kwenye press na sio hizi siasa za kitoto zisizo na kichwa wala miguu..
Nothing lasts longerVitapita vizazi vyako ,CCM bado ipo....
ENDELEA KUFUKUZWA UPEPO
Nasikia za chini chini / tetesi zinasema kuwa huenda leo CHADEMA wakabadilika ghafla na kuanza kumuunga Mkono aliyekuwa Adui yao Mkuu Ole Sabaya hasa kutokana na Utetezi wake murua wa Jana na kuamua kuachana na Mwenyekiti wao Taifa Freeman Mbowe na kwamba ajibebe tu Mwenyewe kwani wameshachoka na Kesi zake na nenda rudi.
TAARIFA KWA UMMA
Leo jumamosi saa Saba kamili mchana tutafanya mkutano na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama Kinondoni, Waandishi wote mnakaribishwa .
Tunashauri kuzingatia protocol zote za Kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona.
Muhimu : Tusisahau mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona
Kesi iko mahakamani.....
Pang'ang'a za kitaa hazisaidii.....
Vox populi vs dictates of the law.....
#KaziIendelee
stupidNasikia za chini chini / tetesi zinasema kuwa huenda leo CHADEMA wakabadilika ghafla na kuanza kumuunga Mkono aliyekuwa Adui yao Mkuu Ole Sabaya hasa kutokana na Utetezi wake murua wa Jana na kuamua kuachana na Mwenyekiti wao Taifa Freeman Mbowe na kwamba ajibebe tu Mwenyewe kwani wameshachoka na Kesi zake na nenda rudi.
Kama hii itakuwa ni kweli basi hata Mimi nisiyeshabikia Chama chochote kile cha Siasa nchini Tanzania nitaanza rasmi kuwa Shabiki na hata kuomba Uanachama wa CHADEMA kwakuwa nitaona kuwa sasa wameanza Kujitambua.
Kaongee wewe mchafukoge weweMuwe mnaongea mambo ya maana sasa huko kwenye press na sio hizi siasa za kitoto zisizo na kichwa wala miguu..
Hahahha kipindi cha JK! Tumetoka mbali aiseeView attachment 1891758
Hao hapo PORINI HUKO.....
Mtu amevaa mzula kichwani halafu anapiga SALUTI YA KIJESHI......
#KaziIendelee
Niongezee Tusi lingine tafadhali sawa?stupid
🤣🤣Hahahha kipindi cha JK! Tumetoka mbali aisee