CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama

CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama

wafuasi wa Gwajima bhana !

Mjinga wewe, mimi ni Mfwasi wa Bwana Yesu. Mungu wa Mbinguni aliye jivika uwanadamu ili aishi kati yetu wanadamu hapa duniani na atukomboe kutoka kifo cha milele yote . Kilicho sababishwa na dhambi. Akawambwa Msalabani Akafa, Akazikwa na siku ya tatu Akafufuka kutoka kwa wafu. Akashinda kaburi na kifo.

Ufuasi wangu kwa Yesu usinge kuwa na maana yeyote kama asinge fufuka. Na kama Damu yake isingemwagika pale Msalabani bado ningekuwa na tegemea damu za ndege na wanyama kondoo, mbusi, ngombe na ngamia kutoa kafara. Lakini kwa Damu yake ya Thamani Kuu kushinda hizi nyingine zote ambazo zimegeuka kuwa ni najisi kwa kuinajisi ardhi na nchi ya Huyu Mwanadamu Yesu imeniweka Huru KweliKweli.

Kuongea yanayo fanana na Gwajima sio kigezo unachoweza kunifanya mimi kuwa mfwasi wake. Itoshe tu kujua Mungu wa Mbinguni alishaniepusha naye. Bali anapoongea kweli kuwa uhiari wa chanjo na uheshimiwe na yeyote yule elewa fika kwamba hapo tutaongea lugha moja na yeye.
 
Press conference za Mnyika zinazidiwa na za Haji Manara kwa ushawishi siku hizi
IMG-20210805-WA0000.jpg
 
Muwe mnaongea mambo ya maana sasa huko kwenye press na sio hizi siasa za kitoto zisizo na kichwa wala miguu..
Unadhani ni siasa za mambo gani ya maana kama si kusema na kuhusisha kila kitu kizuri au kibaya na CCM na serikali yao chini ya kwanza ya aliyekuwa Rais mwendazake John Pombe Magufuli na huyu mama Samia Suluhu Hassan..??
 
Mjinga wewe, mimi ni Mfwasi wa Bwana Yesu. Mungu wa Mbinguni aliye jivika uwanadamu ili aishi kati yetu wanadamu hapa duniani na atukomboe kutoka kifo cha milele yote . Kilicho sababishwa na dhambi. Akawambwa Msalabani Akafa, Akazikwa na siku ya tatu Akafufuka kutoka kwa wafu. Akashinda kaburi na kifo.

Ufuasi wangu kwa Yesu usinge kuwa na maana yeyote kama asinge fufuka. Na kama Damu yake isingemwagika pale Msalabani bado ningekuwa na tegemea damu za ndege na wanyama kondoo, mbusi, ngombe na ngamia kutoa kafara. Lakini kwa Damu yake ya Thamani Kuu kushinda hizi nyingine zote ambazo zimegeuka kuwa ni najisi kwa kuinajisi ardhi na nchi ya Huyu Mwanadamu Yesu imeniweka Huru KweliKweli.

Kuongea yanayo fanana na Gwajima sio kigezo unachoweza kunifanya mimi kuwa mfwasi wake. Itoshe tu kujua Mungu wa Mbinguni alishaniepusha naye. Bali anapoongea kweli kuwa uhiari wa chanjo na uheshimiwe na yeyote yule elewa fika kwamba hapo tutaongea lugha moja na yeye.
Huyo Mungu unayemuabudu kaletwa na hao hao wazungu unaowachukia kwenye meli! Na walimleta kwa dhumuni moja kubwa ambalo ni watutawale vizuri kwa kutumia propaganda zilizopo kwenye hicho kitabu unachokiami, kwamba ukipigwa shavu hili geuzia lingine!! Mababu zetu sababu ya ujinga wao wakayameza mazima mazima, mwisho wa siku wakaishia kuwa watumwa na kuuza ardhi zao na utu wao kwa hao wakristo wazungu!! Leo hii mnajitokeza waafrika wajinga kama wewe na kumuita Mungu wa Israel eti mungu wenu!!!
 
Huyo Mungu unayemuabudu kaletwa na hao hao wazungu unaowachukia kwenye meli! Na walimleta kwa dhumuni moja kubwa ambalo ni watutawale vizuri kwa kutumia propaganda zilizopo kwenye hicho kitabu unachokiami, kwamba ukipigwa shavu hili geuzia lingine!! Mababu zetu sababu ya ujinga wao wakayameza mazima mazima, mwisho wa siku wakaishia kuwa watumwa na kuuza ardhi zao na utu wao kwa hao wakristo wazungu!! Leo hii mnajitokeza waafrika wajinga kama wewe na kumuita Mungu wa Israel eti mungu wenu!!!

Ulisha sema mababu zetu. Mjinga ni wewe usiyejua kuwa 'mimi si mababu zetu.' Jielimishe kwanza kwa jambo hili rahisi la kujua mimi si mababu zetu kabla ya kufuta ujinga mwengine wa mambo magumu.
 
Ulisha sema mababu zetu. Mjinga ni wewe usiyejua kuwa 'mimi si mababu zetu.' Jielimishe kwanza kwa jambo hili rahisi la kujua mimi si mababu zetu kabla ya kufuta ujinga mwengine wa mambo magumu.
Acha ufala wa kuabudu Mungu aliyeletwa na wazungu kwenye meli 1890, Nyambaf
 
TAARIFA KWA UMMA

Leo jumamosi saa Saba kamili mchana tutafanya mkutano na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama Kinondoni, Waandishi wote mnakaribishwa .

Tunashauri kuzingatia protocol zote za Kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona.

Muhimu : Tusisahau mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona
Wanaongeaongea sana hawa wakati vitendo ni sufuri kabisa! Wasituchoshe! Au mnakuja kumjibu Kigogo2014?
 
TAARIFA KWA UMMA

Leo jumamosi saa Saba kamili mchana tutafanya mkutano na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama Kinondoni, Waandishi wote mnakaribishwa .

Tunashauri kuzingatia protocol zote za Kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona.

Muhimu : Tusisahau mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona
mnasumbua waandishi wa habari na hakuna cha maana mnachosema zaidi ya kulialia na kutoa puvu kutaka gaidi Mbowe aachiwe kinyume na sheria. Sijawahi kuona popote magazeti yanaandika uongo wa Mnyika baada ya Press conference. Hivi hamjiulizi ni kwa nini?
 
TAARIFA KWA UMMA

Leo jumamosi saa Saba kamili mchana tutafanya mkutano na Waandishi wa Habari Makao Makuu ya Chama Kinondoni, Waandishi wote mnakaribishwa .

Tunashauri kuzingatia protocol zote za Kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona.

Muhimu : Tusisahau mwongozo wa WHO wa kujikinga na Corona
Tupo tayari tunawangojea kwa hamu kujua muongozo wa makamanda ili tuiweke nchi yetu mahali pazuri inapostahili.
 
Back
Top Bottom