Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Yako nje ya jiji la Dar es Salaam , Kinondoni mtaa wa ufipaIvi makao makuu ya Chadema yaliamishiwa wapi,Upanga au Posta ya zamani?
Yakomoyoni mwa wanachi...ccm pamoja namajengo yao ofisi kubwa lakini bado wanajutaIvi makao makuu ya Chadema yaliamishiwa wapi,Upanga au Posta ya zamani?
Nabawa wakimaliza chaguzi zao nanusa tu,nchi hii itanyooka,polisi waandage mafuta ya kutosha ,mazoezi nchizimaMawazo ya CHADEMA ndiyo huwa yanatoa dira ya Taifa ya utawala. chama kubwa & akili kubwa!!
Siti ya mbele saa nne unusu!!
Muda wa kutishana umeshaisha msifanye watanzania ni watumwa kwenye taifa lao. Nchi inaongozwa kwa katiba.Mnyika awe makini sana na ulimi wake.
Sheria za nchi ziko wazi!
UsiogopeMnyika awe makini sana na ulimi wake.
Sheria za nchi ziko wazi!
Ni angalizo tu!Muda wa kutishana umeshaisha msifanye watanzania ni watumwa kwenye taifa lao. Nchi inaongozwa kwa katiba.
Vip mgonjwa leo ? Kageuka mwenyewe ?
Kilichopo huwezi kuki-miss, miss vilivyopotea vinavyotafutwa.[emoji23] ila chadema tuliwamis sana,.
Tunakumbushana tu!Usiogope
Polisi hawakugawana nyama - MambosasaNi angalizo tu!
Hiyo dira wakitoa wanampa Nani? Mbowe, Lissu?Ivi makao makuu ya Chadema yaliamishiwa wapi,Upanga au Posta ya zamani?
Hivi kwanini lakini ?!.Mnyika awe makini sana na ulimi wake.
Sheria za nchi ziko wazi!
Bado mpo kwenye nyumba ya kupanga Hadi lini?Yako nje ya jiji la Dar es Salaam , Kinondoni mtaa wa ufipa
Shukran sana mkuu.Yako nje ya jiji la Dar es Salaam , Kinondoni mtaa wa ufipa