Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
mmedanganywa kijinga sanaBado mpo kwenye nyumba ya kupanga Hadi lini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmedanganywa kijinga sanaBado mpo kwenye nyumba ya kupanga Hadi lini?
Wananchi gani ambao mmeweka makao makuu? Sasa kikao mtakaa kwenye moyo wa Nani?Yakomoyoni mwa wanachi...ccm pamoja namajengo yao ofisi kubwa lakini bado wanajuta
Itakua Mbowe lazima.Mbowe ndo mmiliki wa chama na kashika akili zote za wanachama.Hiyo dira wakitoa wanampa Nani? Mbowe, Lissu?
Hahahaaaa... Wale wachaga wanasema walinyang'anywa kilo 800 kumbe ni urongo ni kilo 130 tu!Polisi hawakugawana nyama - Mambosasa
Hahahaaaa... Wale wachaga wanasema walinyang'anywa kilo 800 kumbe ni urongo ni kilo 130 tu!
Siju bwashee msema kweli ni mpenzi wa Mungu!Hivi unajua Ng’ombe mmoja anakuwa na kilo ngapi !.
Tumedanganywa na Nani? Lete ukweli ofisi mmejenga lini na wapi?mmedanganywa kijinga sana
Mpaka (Hadi) Sisiem watakapotoka madarakani tuchukue majengo yetu tuyagawe kwa vyama vilivyopo kwa usawa.Bado mpo kwenye nyumba ya kupanga Hadi lini?
Kwa hiyo kumbe wanadai mzima anachapa kazi halafu wanaulizana wao Kwa wao hivi Yuko wapi?. WHO wanamsaka.Usiogope
Mmmhh, you mean matusi yavtundulissu campaigningakadhani wenyeji wa Mwanjela watampa Sugu..hawakumpa, pity?![emoji23] ila chadema tuliwamis sana,.
SafiiiKama mnavyofahamu siku zote ni kwamba Chadema ndio inayoonyesha na kupanga Dira ya Taifa , ambayo kwa bahati nzuri wananchi wanaitekeleza , sasa tega sikio ujue ni mwongozo gani utatolewa .
View attachment 1728156
CHADEMA ni jasiri muongoza njiaKama mnavyofahamu siku zote ni kwamba Chadema ndio inayoonyesha na kupanga Dira ya Taifa , ambayo kwa bahati nzuri wananchi wanaitekeleza , sasa tega sikio ujue ni mwongozo gani utatolewa .
View attachment 1728156
Sherehe ya mama yako au?Kesho ni sherehe kubwa
[emoji23][emoji23][emoji23]Ila mbowe sijui anatumia uchawi gani, HAKUNA anayestuka kuulizia ukomo wa mwenyekiti
mnyika endelea kupiga kaziMnyika awe makini sana na ulimi wake.
Sheria za nchi ziko wazi!