Mungu ibariki ChademaChadema kupeleka majina ya wabunge Viti Maalum Bungeni pamoja na kuanza kuchukuwa ruzuku ambayo wameigomea kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa ,Bunge kuridhia Halima Mdee na wenzake kuondolewa bungeni baada ya kikao cha Baraza kuu kutupilia mbali rufaa zao keshokutwa
Chanzo : darmpyaView attachment 2218372
Kikao kinafanyika kesho kutwa habari inatoka leo.
Hiki ni chama cha aina gani ambacho maamuzi ya chama yanavuja siku tatu kabla ya kutangazwa??
Duuh kumbe siku hizi maoni yanakuwa kwenye breaking news??Hakuna habari iliyovuja.Mengi ni maoni ya watu si misnaming wa chama.
Halafu unasema hivyo with a lot of excitement kama vile ni habari nzuri. Ccm ikishinda unajikwamua vipi kwenye umaskini uliokutamalaki. SuKUMA gang wewe
Maamuzi ya chama yamekaa SAA ngapi na lini,hizo ni hisia za karata zakichokoziKikao kinafanyika kesho kutwa habari inatoka leo.
Hiki ni chama cha aina gani ambacho maamuzi ya chama yanavuja siku tatu kabla ya kutangazwa??
Very true Ngwajima na polepole ndiyo watu wanaoweza kuunda chama cha upinzani chenye kukubalikaKwa hii vita CCM bado mshindi. Tz haina chama cha upinzani aiseee
Wamepitisha maamuzi kabla ya kikao (hii mpya).Kikao kinafanyika kesho kutwa habari inatoka leo.
Hiki ni chama cha aina gani ambacho maamuzi ya chama yanavuja siku tatu kabla ya kutangazwa??
Lakini ni mweupe sana kichwani...Wamkumbuke na yule bi dada hilda newton, kapambana sana.
Kwani hiyo ni taarifa ya chama?Kikao kinafanyika kesho kutwa habari inatoka leo.
Hiki ni chama cha aina gani ambacho maamuzi ya chama yanavuja siku tatu kabla ya kutangazwa??
Ni mbinu ya kikundi Cha akina Hilda wanaotaka hizo nafasi. Wanaharibu ku influence maamuzi ya Chama kuanzia nje.Kikao kinafanyika kesho kutwa habari inatoka leo.
Hiki ni chama cha aina gani ambacho maamuzi ya chama yanavuja siku tatu kabla ya kutangazwa??