Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali zuriLisu kafika au bado
Nimecheka sana mkuu. Hata wajumbe hawajafika Dar, na rufaa hazijasikilizwa, maamuzi yameshavuja mtaani siku tatu kabla 😅😅Kikao kinafanyika kesho kutwa habari inatoka leo.
Hiki ni chama cha aina gani ambacho maamuzi ya chama yanavuja siku tatu kabla ya kutangazwa??
Wakisusa mnalaumu walikubali mnalaumu. Hii nchi sijui tuna tatizo Gani!!Kwa hii vita CCM bado mshindi. Tz haina chama cha upinzani aiseee
Wakisusa mnalaumu walikubali mnalaumu. Hii nchi sijui tuna tatizo ganiKwa hii vita CCM bado mshindi. Tz haina chama cha upinzani aiseee
Hii sio kauli ya chama so ipuuzweWamepitisha maamuzi kabla ya kikao (hii mpya).
zitto junior
Nimecheka sana dah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hapo sasa patamu.
Wahenga walisema subira yavuta heri.
Wasaliti hata kule kijani hawatapokelewa kwa mbwembwe maana aliyewanunua yuko chato kwa chini.
Chadema kupeleka majina ya wabunge Viti Maalum Bungeni pamoja na kuanza kuchukuwa ruzuku ambayo wameigomea kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa ,Bunge kuridhia Halima Mdee na wenzake kuondolewa bungeni baada ya kikao cha Baraza kuu kutupilia mbali rufaa zao keshokutwa
Chanzo : darmpyaView attachment 2218372
CCM itawachukua wote, hapo ndio vita ya kisiasa itanogaKwa hii vita CCM bado mshindi. Tz haina chama cha upinzani aiseee
Hata CCM huwa yanavuja, mf. Kufukuzwa Membe.Kikao kinafanyika kesho kutwa habari inatoka leo.
Hiki ni chama cha aina gani ambacho maamuzi ya chama yanavuja siku tatu kabla ya kutangazwa??
Huyo atakuwemoWamkumbuke na yule bi dada hilda newton, kapambana sana.
Nani kakwambia ni maskini?Halafu unasema hivyo with a lot of excitement kama vile ni habari nzuri. Ccm ikishinda unajikwamua vipi kwenye umaskini uliokutamalaki. SuKUMA gang wewe
Endelea kulinda ligasi suKUMA gang
Wakisusa mnalaumu walikubali mnalaumu. Hii nchi sijui tuna tatizo gani
Hii sio kauli ya chama so ipuuzwe
Wanataka kukaa hawajakaa, na maamuzi ni ya wajumbe wote kutoka nchi nzima. Mtu anabeti tu huwezi kuchukulia kama ndio uamuzi.Kikao kinafanyika kesho kutwa habari inatoka leo.
Hiki ni chama cha aina gani ambacho maamuzi ya chama yanavuja siku tatu kabla ya kutangazwa??