OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hata mimi naunga mkono hii hatuaSasa ulitaka nini kifanyike? Mapinduzi ya kijeshi au vurugu za kisiasa kama Sudan?
Strategies zinazotumiwa na Chadema ni truly political baada ya ujambazi ule uliofanywa na Magufuli 2020. Na hakika na Mungu naye atajuwa pa kumuweka huko aliko.
Chadema amegeuza mambo smoothly bila kuleta maafa.
View attachment 2218757