Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Very true Ngwajima na polepole ndiyo watu wanaoweza kuunda chama cha upinzani chenye kukubalika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very true Ngwajima na polepole ndiyo watu wanaoweza kuunda chama cha upinzani chenye kukubalika
kikao bado lakini umeandika kama tayari.CHADEMA kupeleka majina ya wabunge Viti Maalum Bungeni pamoja na kuanza kuchukuwa ruzuku ambayo wameigomea kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa ,Bunge kuridhia Halima Mdee na wenzake kuondolewa bungeni baada ya kikao cha Baraza kuu kutupilia mbali rufaa zao keshokutwa
Chanzo : darmpya
habari kakupa hawala yako, eti?Kikao kinafanyika kesho kutwa habari inatoka leo.
Hiki ni chama cha aina gani ambacho maamuzi ya chama yanavuja siku tatu kabla ya kutangazwa??
Kukubalika wapi huko?Very true Ngwajima na polepole ndiyo watu wanaoweza kuunda chama cha upinzani chenye kukubalika
Na chadema ikishinda itakusaidia nn kujikwamua kwenye umasikini?Halafu unasema hivyo with a lot of excitement kama vile ni habari nzuri. Ccm ikishinda unajikwamua vipi kwenye umaskini uliokutamalaki. SuKUMA gang wewe
Mimi pia nimeshangaa, japo mimi na wewe tuna itikadi tofautiKikao kinafanyika kesho kutwa habari inatoka leo.
Hiki ni chama cha aina gani ambacho maamuzi ya chama yanavuja siku tatu kabla ya kutangazwa??
sisi mbona tulijua jiwe kafa tarehe 10 nyie mkatangaza tarehe 17 !Kikao kinafanyika kesho kutwa habari inatoka leo.
Hiki ni chama cha aina gani ambacho maamuzi ya chama yanavuja siku tatu kabla ya kutangazwa??
Sasa ulitaka nini kifanyike? Mapinduzi ya kijeshi au vurugu za kisiasa kama Sudan?Kwa hii vita CCM bado mshindi. Tz haina chama cha upinzani aiseee
Zinaweza kuwa zimeisha kama kibinadamu kuna aliyekiri kwamba wakati fulani nchi iliongozwa na nyang'au na akaharibu mifumo yote. Na sasa tukae kama binadamu tukishirikiana kuwaondoa manyang'au wengine na vuvuzela kama CrimeaKwahiyo sasabu zilizofanya wasipeleke hao wabunge 2020 zimeisha?
Naunga mkono hojaCHADEMA kupeleka majina ya wabunge Viti Maalum Bungeni pamoja na kuanza kuchukuwa ruzuku ambayo wameigomea kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa ,Bunge kuridhia Halima Mdee na wenzake kuondolewa bungeni baada ya kikao cha Baraza kuu kutupilia mbali rufaa zao keshokutwa
Chanzo : darmpya
Tena hapa CHADEMA wanatumia busara ya hali ya juu snSasa ulitaka nini kifanyike? Mapinduzi ya kijeshi au vurugu za kisiasa kama Sudan?
Strategies zinazotumiwa na Chadema ni truly political baada ya ujambazi ule uliofanywa na Magufuli 2020. Na hakika na Mungu naye atajuwa pa kumuweka huko aliko.
Chadema amegeuza mambo smoothly bila kuleta maafa.
View attachment 2218757
SureZinaweza kuwa zimeisha kama kibinadamu kuna aliyekiri kwamba wakati fulani nchi iliongozwa na nyang'au na akaharibu mifumo yote. Na sasa tukae kama binadamu tukishirikiana kuwaondoa manyang'au wengine na vuvuzela kama Crimea
View attachment 2218761
kilichotokea ni ufisadi wa spika na maccm ni matumizi mabaya ya kodi zetu.CHADEMA kupeleka majina ya wabunge Viti Maalum Bungeni pamoja na kuanza kuchukuwa ruzuku ambayo wameigomea kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa ,Bunge kuridhia Halima Mdee na wenzake kuondolewa bungeni baada ya kikao cha Baraza kuu kutupilia mbali rufaa zao keshokutwa
Chanzo : darmpya