Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Si ndiyo muungane kwenye hiloHapana ndugu mm nawe adui yetu ni mmoja ni UOVU ulokithiri ndani ya CCM bt Kila mmoja anapambana kivyake ndomana anapata kuwepo Hadi sasa. Nikufikirishe kdg umetaja ACT, Pana URAFIKI Gani kati ya ACT na S.Gang?
SWALI GUMU, majibu mepesi, anyway nisikuhukumu. Asante.Si ndiyo muungane kwenye hilo
Kwa Hali ilivyokuwa baada ya uchaguzi uliochakachuliwa, Hawa mafisadi WA demokrasia hawafai Kwa lolote, ilitakiwa TU wajitenge na Ile najisi kama wangekuwa thabiti, hawafai kuaminiwa Kwa lolote ndani ya chama!! Wawekwe pembeniNi mbinu ya kikundi Cha akina Hilda wanaotaka hizo nafasi. Wanaharibu ku influence maamuzi ya Chama kuanzia nje.
PoaSWALI GUMU, majibu mepesi, anyway nisikuhukumu. Asante.
Wamkumbuke na yule bi dada Hilda Newton, kapambana sana.
Kwa Hali ilivyokuwa baada ya uchaguzi uliochakachuliwa, Hawa mafisadi WA demokrasia hawafai Kwa lolote, ilitakiwa TU wajitenge na Ile najisi kama wangekuwa thabiti, hawafai kuaminiwa Kwa lolote ndani ya chama!! Wawekwe pembeni