Uchaguzi 2020 CHADEMA kupoteza majimbo yafuatayo

Uchaguzi 2020 CHADEMA kupoteza majimbo yafuatayo

Kimahesabu, CCM ndio washindi wa Uchaguzi Mkuu wa 2020 kabla hata ya mwenda kwenye Box la Kupigia kura.

Ushindi huu wa CCM ambao umetokana na utekelezaji kabambe wa miradi mbali mbali chini ya serikali ya awamu ya tano.

HESABU ZA KISIASA zinaonesha majimbo yafuatayo ya Upinzani yanakwenda Kurejea CCM.

1. Ubungo CHADEMA-Mh Mnyika ameshindwa kutatua kero kwa za Wana Ubungo hata kuzisema amekwama.

2. Kawe CHADEMA- Wamekosa mtu wa kuwasemea,Dada ayeongoza Jimbo hilo amejikita kwenye siasa za Kitaifa.

3. Arusha CHADEMA- Miradi inayotekelezwa chini ya Awamu hii na udhibiti wa siasa maji taka katikati ya Mji, Mbunge wa Jimbo hili harudi Bungeni. Mradi wa Maji Mkubwa wa zaidi ya Bilion kadhaa unaotekelezwa Mkoa wa Arusha ni TOKEN ya kurejesha Jimbo.

4. Mbozi CHADEMA-Mlowo ameshindwa kutatua kero za wakulima hata kuwasemea

5. Hai -Mkuu wa wilaya anachapa kazi Kuliko Mbunge, na wanahai wamefunguka macho kwamba miaka Mingi wamechelewa kwenye maendeleo

6. Mbeya- Wamekubali kwamba Tulia ndiye Mbunge wao ajaye, na hawapo tayari kuwekeza kwenye misimamo ya kijinga wanataka maendeleo kwa sasa

7. Iringa- Huyo Mbunge wa hapo anarejea kwenye Ujenzi wa Kanisa. Salum Hapi na Kasesela kazi yao ya kuchapa kazi imemzidi mbunge.

8. Mikumi-50/50

9. Tundama-Inarejea CCM

KWA CCM, MAJIMBO yafuatayo yanaweza kuwa si salama.
Umerudi jamvini mpuuzi wa JF wa msimu wa uchaguzi karibu sana.
Mijadals jamvini kwa ulatest
1.: Zanzibar ni zambarao.
2. Uchumi wa madege a.k.a mabundi umefeli.
3. Viwanfa vimebakia kuwa v_wonder
4. Ukiukwaji wa utawala wa sheria na usiginaji wa Katina.
5. Ukiukwaji wa haki za binadamu mauaji utekaji kujimwafai
6. Afya ya Meko
7. TISS ya makonda nje ya TISS ya kikatiba
8. Uchafuzi wa serikali za mitaa
9. Kilimo na wakulima kupuuzwa
10. Wafanyskazi kukosa nyongeza ya mishahara miaka minne.
11. Kudukua simu na mawasiloano ya tehama.
12. Tume ya uchaguzi
13. Kesi za kubambika
Ongeza mengine.
Ila kurudi JF msimu wa uchaguzi mleta mada umebugi. Mkajipange upya.
 
Umerudi jamvini mpuuzi wa JF wa msimu wa uchaguzi karibu sana.
Mijadals jamvini kwa ulatest
1.: Zanzibar ni zambarao.
2. Uchumi wa madege a.k.a mabundi umefeli.
3. Viwanfa vimebakia kuwa v_wonder
4. Ukiukwaji wa utawala wa sheria na usiginaji wa Katina.
5. Ukiukwaji wa haki za binadamu mauaji utekaji kujimwafai
6. Afya ya Meko
7. TISS ya makonda nje ya TISS ya kikatiba
8. Uchafuzi wa serikali za mitaa
9. Kilimo na wakulima kupuuzwa
10. Wafanyskazi kukosa nyongeza ya mishahara miaka minne.
11. Kudukua simu na mawasiloano ya tehama.
12. Tume ya uchaguzi
13. Kesi za kubambika
Ongeza mengine.
Ila kurudi JF msimu wa uchaguzi mleta mada umebugi. Mkajipange upya.

Hizi ndo hoja za GTs...!
Kama kutakuwa na kupoteza majimbo kwa CHADEMA basi iwe kwa mtindo uleule wa UCHAFUZI WA SERIKALI ZA MITAA...!!! Kama Mwamba Jiwe anataka kupima upepo kwa kazi nzuri anazodai kuwafanyia Watanzania wanyonge basi kabla hatujaingia kwenye GE-2020 basi apeleke HATI YA DHARURA YA KUBADILISHA KATIBA KWA KUINGIZA TUME HURU YA UCHAGUZI na hao Wakurugenzi wa Majiji na Halmshauri wasiruhusiwe kusimamia Uchaguzi....!!CCM wakishinda hapo basi tutawapa hureeee!!

Lakini hizi Hoja za kujimwambafy kuwa Jiwe anapiga kazi akisaidiwa na hao vibaraka wake( kina Ole Sabaya, Pilly Happy, Chalamila, Mrisho Gambo n.k) ni hoja mfu na dhaifu...!! Katika 13 zilizotajwa hapo ziko nyingine kibao zinazo onyesha udhaifu mkubwa sana wa Serikali hii ya Kibabe:
14. Wastaafu sasa wanasota mwaka 1 au 2 na zaidi hawajalipwa mafao yao na mifuko ya Jamii. Fedha zote Jiwe kaenda kununulia midege, kujenga SGR na Bwawa la Umeme...!!Mifuko ameikausha huku anatamba nji tajiri tunajenga miradi mikubwa kwa fedha zetu za ndani...!!!Rais anadhulumu haki za wazee wastaafu kwa kufurahisha nafsi yake....!
15. Uchumi unaporomoak lakini yeye anadai unakua kwa 7.1%.
16. Wakulima wa Korosho na mazao mengine kama Pamba hali zao ni mbaya.
17. Wafugaji wanaporwa mifugo yao kwa kisingizio cha Hifadhi za Taifa na maeneo tengefu.
18. Watoto waliochaguliwa kuingia Kidato cha 1 wamekosa madarasa sasa yanajengwa kwa zima moto..!!
19. Baadhi ya Nchi na Jumuia za Kimataifa kusitisha misaada na ufadhili kwa Tanzania kwa kuziita mabeberu.
18.etcetc+++++!
 
Kimahesabu, CCM ndio washindi wa Uchaguzi Mkuu wa 2020 kabla hata ya mwenda kwenye Box la Kupigia kura.

Ushindi huu wa CCM ambao umetokana na utekelezaji kabambe wa miradi mbali mbali chini ya serikali ya awamu ya tano.

HESABU ZA KISIASA zinaonesha majimbo yafuatayo ya Upinzani yanakwenda Kurejea CCM.

1. Ubungo CHADEMA-Mh Mnyika ameshindwa kutatua kero kwa za Wana Ubungo hata kuzisema amekwama.

2. Kawe CHADEMA- Wamekosa mtu wa kuwasemea,Dada ayeongoza Jimbo hilo amejikita kwenye siasa za Kitaifa.

3. Arusha CHADEMA- Miradi inayotekelezwa chini ya Awamu hii na udhibiti wa siasa maji taka katikati ya Mji, Mbunge wa Jimbo hili harudi Bungeni. Mradi wa Maji Mkubwa wa zaidi ya Bilion kadhaa unaotekelezwa Mkoa wa Arusha ni TOKEN ya kurejesha Jimbo.

4. Mbozi CHADEMA-Mlowo ameshindwa kutatua kero za wakulima hata kuwasemea

5. Hai -Mkuu wa wilaya anachapa kazi Kuliko Mbunge, na wanahai wamefunguka macho kwamba miaka Mingi wamechelewa kwenye maendeleo

6. Mbeya- Wamekubali kwamba Tulia ndiye Mbunge wao ajaye, na hawapo tayari kuwekeza kwenye misimamo ya kijinga wanataka maendeleo kwa sasa

7. Iringa- Huyo Mbunge wa hapo anarejea kwenye Ujenzi wa Kanisa. Salum Hapi na Kasesela kazi yao ya kuchapa kazi imemzidi mbunge.

8. Mikumi-50/50

9. Tundama-Inarejea CCM

KWA CCM, MAJIMBO yafuatayo yanaweza kuwa si salama.
yeah..... wataungana na huyu hapa chini...

 
CCM ndio kikwazo cha maendeleo. Unafanya njama kuzuia wagombea uenyekiti wa mitaa wenye Diploma na elimu nyingine wa upinzani eti wamekosea fomu zao unakuja mpitisha bila kupingwa mwenyekiti 'msomi' kama huyu?View attachment 1323140

Sent using Jamii Forums mobile app
1579011693257.png

Hawa ndio viongozi wasomi wa CCM waliopita bila kupingwa kwenye Uchaguzi wa SM-2019 kwa Ushindi wa Kishindo....!!!
CCM ndyo inataka viongozi wa aina hii ili waendelee kuichagua kwa kuwatumia kama kondomu za kiume....!!!
Mungu ingilia kati juu ya uovu huu maana kisasi ni chako.....!!!
 
Kimahesabu, CCM ndio washindi wa Uchaguzi Mkuu wa 2020 kabla hata ya mwenda kwenye Box la Kupigia kura.

Ushindi huu wa CCM ambao umetokana na utekelezaji kabambe wa miradi mbali mbali chini ya serikali ya awamu ya tano.

HESABU ZA KISIASA zinaonesha majimbo yafuatayo ya Upinzani yanakwenda Kurejea CCM.

1. Ubungo CHADEMA-Mh Mnyika ameshindwa kutatua kero kwa za Wana Ubungo hata kuzisema amekwama.

2. Kawe CHADEMA- Wamekosa mtu wa kuwasemea,Dada ayeongoza Jimbo hilo amejikita kwenye siasa za Kitaifa.

3. Arusha CHADEMA- Miradi inayotekelezwa chini ya Awamu hii na udhibiti wa siasa maji taka katikati ya Mji, Mbunge wa Jimbo hili harudi Bungeni. Mradi wa Maji Mkubwa wa zaidi ya Bilion kadhaa unaotekelezwa Mkoa wa Arusha ni TOKEN ya kurejesha Jimbo.

4. Mbozi CHADEMA-Mlowo ameshindwa kutatua kero za wakulima hata kuwasemea

5. Hai -Mkuu wa wilaya anachapa kazi Kuliko Mbunge, na wanahai wamefunguka macho kwamba miaka Mingi wamechelewa kwenye maendeleo

6. Mbeya- Wamekubali kwamba Tulia ndiye Mbunge wao ajaye, na hawapo tayari kuwekeza kwenye misimamo ya kijinga wanataka maendeleo kwa sasa

7. Iringa- Huyo Mbunge wa hapo anarejea kwenye Ujenzi wa Kanisa. Salum Hapi na Kasesela kazi yao ya kuchapa kazi imemzidi mbunge.

8. Mikumi-50/50

9. Tundama-Inarejea CCM

KWA CCM, MAJIMBO yafuatayo yanaweza kuwa si salama.
Hivi nyie CCM huwa mnafikiria kwa kutumia nini? au huko mnavyokaa kwenye vijiwe vyenu huwa mnawaza nini?

Yaani mnafikiri kuwa haya majimbo, kata na nchi ni mali ya CCM? Kwa nini msiongelee kujikwamua kutoka hapa tulipo kama mnataka kujimilikisha hivyo vitu?

Tanzania hii mbona ina matatizo mengi zaidi ya kujimilikisha hayo majimbo, CCM mna akili za wapi nyie lakini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kimahesabu, CCM ndio washindi wa Uchaguzi Mkuu wa 2020 kabla hata ya mwenda kwenye Box la Kupigia kura.

Ushindi huu wa CCM ambao umetokana na utekelezaji kabambe wa miradi mbali mbali chini ya serikali ya awamu ya tano.

HESABU ZA KISIASA zinaonesha majimbo yafuatayo ya Upinzani yanakwenda Kurejea CCM.

1. Ubungo CHADEMA-Mh Mnyika ameshindwa kutatua kero kwa za Wana Ubungo hata kuzisema amekwama.

2. Kawe CHADEMA- Wamekosa mtu wa kuwasemea,Dada ayeongoza Jimbo hilo amejikita kwenye siasa za Kitaifa.

3. Arusha CHADEMA- Miradi inayotekelezwa chini ya Awamu hii na udhibiti wa siasa maji taka katikati ya Mji, Mbunge wa Jimbo hili harudi Bungeni. Mradi wa Maji Mkubwa wa zaidi ya Bilion kadhaa unaotekelezwa Mkoa wa Arusha ni TOKEN ya kurejesha Jimbo.

4. Mbozi CHADEMA-Mlowo ameshindwa kutatua kero za wakulima hata kuwasemea

5. Hai -Mkuu wa wilaya anachapa kazi Kuliko Mbunge, na wanahai wamefunguka macho kwamba miaka Mingi wamechelewa kwenye maendeleo

6. Mbeya- Wamekubali kwamba Tulia ndiye Mbunge wao ajaye, na hawapo tayari kuwekeza kwenye misimamo ya kijinga wanataka maendeleo kwa sasa

7. Iringa- Huyo Mbunge wa hapo anarejea kwenye Ujenzi wa Kanisa. Salum Hapi na Kasesela kazi yao ya kuchapa kazi imemzidi mbunge.

8. Mikumi-50/50

9. Tundama-Inarejea CCM

KWA CCM, MAJIMBO yafuatayo yanaweza kuwa si salama.

Haya ni maneno na hakili yako au umeazima, maana akili za kushikiliwa hazina uwezo wa kupambanua.

Niseme tu kwenye namba tatu, hao wakandarasi waliunganisha maji saf na maji taka, watu waliharisha vya kutosha, ila ili watu wasijue yaliyo tokea, serikali ilitumia nguvu kubwa kuwazimisha kwa kusema serikali na wizara husika ndiyo yenye mamlaka ya kutoa tamko kuwa hayo maji ni safi au la.
 
Tunajua CCM mtashinda bila kupingwa, kama kawaida yenu kwa kutumia "DOLA", ila kumbukeni maneno ya mkwere na muweke akiba ya "MANENO na MATENDO" yenu.

Mnayowafanyia "RAIA" hamyazungumzi kabisa, kama vile "KUULIWA, KUTEKWA, KUBAMBIKIZWA KESI ZA UHUJUMU UCHUMI, KUDHALILISHWA, UMASIKINI KUONGEZEKA, MADENI YA TAIFA KUONGEZEKA, UCHUMI KUYUMBA, BIASHARA KUFUNGWA KWA WINGI WA KODI, AJIRA HAKUNA, ONGEZEKO LA MISHAHARA HAKUNA, KUTUNGA SHERIA KANDAMIZI, WAKULIMA KUDHULUMIWA, KUFUNGWA MIDOMO WAANDISHI WA HABARI NA WATETEZI WA HAKI ZA BINAADAMU"View attachment 1323044
Nimemkumbuka Dr. Ulimboka na mgomo wa ma daktari.
Queen Esther
 
Hivi nyie CCM huwa mnafikiria kwa kutumia nini? au huko mnavyokaa kwenye vijiwe vyenu huwa mnawaza nini?

Yaani mnafikiri kuwa haya majimbo, kata na nchi ni mali ya CCM? Kwa nini msiongelee kujikwamua kutoka hapa tulipo kama mnataka kujimilikisha hivyo vitu?

Tanzania hii mbona ina matatizo mengi zaidi ya kujimilikisha hayo majimbo, CCM mna akili za wapi nyie lakini?

Sent using Jamii Forums mobile app

CCM ni serikali dhalimu inayotawala Tanzania kimabavu.
Muhimu kwao ni kuona wanatawala nji nzima bila upinzani ili waendelee kuwadhuluma Watz maskini pasipo kupigiwa kelele na wapinzani...!!!
Angalia kilichofanyika kwa Meya wa Jiji la Dar, Mhe. Isaya Mwita ni uhuni, ubabe na udikteta wa kulazimisha Jiji kuwa chini ya Meya wa CCM. Katika hili unaweza kuona kwamba Kanuni zimevunjwa kwa kupitia Mahakama, Polisi na Mkurugenzi wa Jiji huku Waziri mwenye dhamana akiufyata maana ni Maagizo toka Jiwe...!!
 
Vijana kama hawa eti ndio wafikiriaji wa CCM. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kimahesabu, CCM ndio washindi wa Uchaguzi Mkuu wa 2020 kabla hata ya mwenda kwenye Box la Kupigia kura.

Ushindi huu wa CCM ambao umetokana na utekelezaji kabambe wa miradi mbali mbali chini ya serikali ya awamu ya tano.

HESABU ZA KISIASA zinaonesha majimbo yafuatayo ya Upinzani yanakwenda Kurejea CCM.

1. Ubungo CHADEMA-Mh Mnyika ameshindwa kutatua kero kwa za Wana Ubungo hata kuzisema amekwama.

2. Kawe CHADEMA- Wamekosa mtu wa kuwasemea,Dada ayeongoza Jimbo hilo amejikita kwenye siasa za Kitaifa.

3. Arusha CHADEMA- Miradi inayotekelezwa chini ya Awamu hii na udhibiti wa siasa maji taka katikati ya Mji, Mbunge wa Jimbo hili harudi Bungeni. Mradi wa Maji Mkubwa wa zaidi ya Bilion kadhaa unaotekelezwa Mkoa wa Arusha ni TOKEN ya kurejesha Jimbo.

4. Mbozi CHADEMA-Mlowo ameshindwa kutatua kero za wakulima hata kuwasemea

5. Hai -Mkuu wa wilaya anachapa kazi Kuliko Mbunge, na wanahai wamefunguka macho kwamba miaka Mingi wamechelewa kwenye maendeleo

6. Mbeya- Wamekubali kwamba Tulia ndiye Mbunge wao ajaye, na hawapo tayari kuwekeza kwenye misimamo ya kijinga wanataka maendeleo kwa sasa

7. Iringa- Huyo Mbunge wa hapo anarejea kwenye Ujenzi wa Kanisa. Salum Hapi na Kasesela kazi yao ya kuchapa kazi imemzidi mbunge.

8. Mikumi-50/50

9. Tundama-Inarejea CCM

KWA CCM, MAJIMBO yafuatayo yanaweza kuwa si salama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alietuita waafrika masokwe na manyani aliona mbali sana. Si akili uozo kama hizi dah. Tunatia aibu sana basi tu.
Waliotuita Manyani na Masokwe wanatandikana shaba huko sijui ndo ubinadamu au unyama, waliotutukana Watoto wao wanaoana wa Jinsia moja sijui ndiyo ubinadamu, waliuotutukana wanaishi kwa Kabila na ukanda sijui ndiyo ubinadamu, waliotutukana Wanafungisha ndoa Mashoga eti haki sawa, Waliotutukana hawapendani ndugu wamebaki single Familia, Waliotutukana wanaishi kwa kutukanana na kutambiana kwa Nguvu za Kijeshi kuwaua Watu wasio na hatia, Waliotutukana wanaishi kwa ndoa za Mkataba, n.k.
Koma kutudharau waafrika tuna maono makubwa licha ya kutukanwa. Mfano Wakenya Walikatwa mikono ili kuwaibia technology, na Waafrika Wengine. So we can survive by copying what they doing for our Future.
Kubadilika tuache kuishi kindondocha, Mfano Chadema wako na Mbowe amepitaje, ACT Wazalend wana Zitto Kabwe amepitaje, CUF wana Lipumba amepitaje, NCCR Mageuzi wana Mbatia amepitaje. Tuangalie kama wanachokitamka wanakiishi.
Nimeamini CCM ndicho Chama cha Siasa vingine ni kuchungulia zimeingia shilingi ngapi 😆😆😆😆😆
 
Kimahesabu, CCM ndio washindi wa Uchaguzi Mkuu wa 2020 kabla hata ya mwenda kwenye Box la Kupigia kura. Ushindi huu wa CCM ambao umetokana na utekelezaji kabambe wa miradi mbali mbali chini ya serikali ya awamu ya tano.
Mjinga katika ubora wake na takataka kama hizi eti ndio mtaji wa CCM. Yaani umekaa chini kuandika upuuzi kama huu ili iweje?
TUNTEMEKE said:
CHADEMA kupoteza majimbo yafuatayo
Hapa Tanzania hakuna chama cha upinzani kinachopoteza jimbo, kuna genge la kihuni limeamua kusiwe kusiwe na uchaguzi bali uchafuzi likisaidiwa na vyombo vya dola.
 
Kimahesabu, CCM ndio washindi wa Uchaguzi Mkuu wa 2020 kabla hata ya mwenda kwenye Box la Kupigia kura.

Ushindi huu wa CCM ambao umetokana na utekelezaji kabambe wa miradi mbali mbali chini ya serikali ya awamu ya tano.

HESABU ZA KISIASA zinaonesha majimbo yafuatayo ya Upinzani yanakwenda Kurejea CCM.

1. Ubungo CHADEMA-Mh Mnyika ameshindwa kutatua kero kwa za Wana Ubungo hata kuzisema amekwama.

2. Kawe CHADEMA- Wamekosa mtu wa kuwasemea,Dada ayeongoza Jimbo hilo amejikita kwenye siasa za Kitaifa.

3. Arusha CHADEMA- Miradi inayotekelezwa chini ya Awamu hii na udhibiti wa siasa maji taka katikati ya Mji, Mbunge wa Jimbo hili harudi Bungeni. Mradi wa Maji Mkubwa wa zaidi ya Bilion kadhaa unaotekelezwa Mkoa wa Arusha ni TOKEN ya kurejesha Jimbo.

4. Mbozi CHADEMA-Mlowo ameshindwa kutatua kero za wakulima hata kuwasemea

5. Hai -Mkuu wa wilaya anachapa kazi Kuliko Mbunge, na wanahai wamefunguka macho kwamba miaka Mingi wamechelewa kwenye maendeleo

6. Mbeya- Wamekubali kwamba Tulia ndiye Mbunge wao ajaye, na hawapo tayari kuwekeza kwenye misimamo ya kijinga wanataka maendeleo kwa sasa

7. Iringa- Huyo Mbunge wa hapo anarejea kwenye Ujenzi wa Kanisa. Salum Hapi na Kasesela kazi yao ya kuchapa kazi imemzidi mbunge.

8. Mikumi-50/50

9. Tundama-Inarejea CCM

KWA CCM, MAJIMBO yafuatayo yanaweza kuwa si salama.
Nini maana ya Neno ushindi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kimahesabu, CCM ndio washindi wa Uchaguzi Mkuu wa 2020 kabla hata ya mwenda kwenye Box la Kupigia kura.

Ushindi huu wa CCM ambao umetokana na utekelezaji kabambe wa miradi mbali mbali chini ya serikali ya awamu ya tano.

HESABU ZA KISIASA zinaonesha majimbo yafuatayo ya Upinzani yanakwenda Kurejea CCM.

1. Ubungo CHADEMA-Mh Mnyika ameshindwa kutatua kero kwa za Wana Ubungo hata kuzisema amekwama.

2. Kawe CHADEMA- Wamekosa mtu wa kuwasemea,Dada ayeongoza Jimbo hilo amejikita kwenye siasa za Kitaifa.

3. Arusha CHADEMA- Miradi inayotekelezwa chini ya Awamu hii na udhibiti wa siasa maji taka katikati ya Mji, Mbunge wa Jimbo hili harudi Bungeni. Mradi wa Maji Mkubwa wa zaidi ya Bilion kadhaa unaotekelezwa Mkoa wa Arusha ni TOKEN ya kurejesha Jimbo.

4. Mbozi CHADEMA-Mlowo ameshindwa kutatua kero za wakulima hata kuwasemea

5. Hai -Mkuu wa wilaya anachapa kazi Kuliko Mbunge, na wanahai wamefunguka macho kwamba miaka Mingi wamechelewa kwenye maendeleo

6. Mbeya- Wamekubali kwamba Tulia ndiye Mbunge wao ajaye, na hawapo tayari kuwekeza kwenye misimamo ya kijinga wanataka maendeleo kwa sasa

7. Iringa- Huyo Mbunge wa hapo anarejea kwenye Ujenzi wa Kanisa. Salum Hapi na Kasesela kazi yao ya kuchapa kazi imemzidi mbunge.

8. Mikumi-50/50

9. Tundama-Inarejea CCM

KWA CCM, MAJIMBO yafuatayo yanaweza kuwa si salama.
Hayo maeneo/majimbo wanajitambua.Katika uchaguzi huru chini ya tume huru CCM haipiti huko na hata maeneo/majimbo au kata mbalimbali nchini.Ndiyo maana mnaanza kutuandaa kisaikolojia mfanikishe wizi wa kura na hujuma zingine kungali mapema.Hampiti kirahisi hata kwa hujuma,nanyi unafahamu hill wazi.
Watanzania si wajinga hata kidogo,lolote laweza kutokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono hoja, ila kwa maoni yangu, watakaopoteza majimbo sii hao pekee bali wabunge karibu wote wa upinzani, watapoteza!. Na kukitokea mbunge yoyote wa upinzani amerudi Bungeni, huyo mbunge anarudi Bungeni kwa personal merits na sio kwasababu ni wa upinzani.



Kwa tume hii ya uchaguzi

Kwa mfumo huu wa utawala

Kwa muingiliano huu wa taasisi upinzani hauwezi kushinda hata kidogo.

The playing ground has never been fair to all the participants.
 
Back
Top Bottom