CHADEMA kushiriki Uchaguzi wa Diwani Handeni


Ndio nikakuelewesha kwamba CHADEMA Kama taasisi haishiriki huo uchaguzi, ni individual kwa mapenzi yake kaamua kuipigia kampeni CUF. Halafu huyo jamaa ni katibu kweli wa CHADEMA?. Maana imeandikwa tu katibu na haijulikani ni katibu wa wapi?
 

Kafanya kosa mkuu wa Wilaya wa CCM unataka CHADEMA wafanyeje Tena. Si waziri ndio wa kulifanyia kazi?. Unailaumu CHADEMA as if ndio inayoendesha serikali be real.
 

Acha uongo maria na fatma sio CHADEMA. CHADEMA Wana social media nyingi kuanzia Kanda, CHADEMA in blood na CHADEMA Taifa.
 

Uwe mwelewa, CHADEMA ikiwachukulia hatua serikali inakuja kuwakingia kifua na kuwatetea.
 
Chadema ndio wanajua kama ni Katibu wao au sio. Chadema imesema haitashiriki katika uchaguzi na haijasema kuwa haitaweka mgombea. Kushiriki ni zaidi ya kuweka mgombea.

Amandla...

Ndio nimekuambia usilazimishe matakwa ya mtu binafsi kuwa ya chama. Chama kimesema hakishiriki akatokea mwehu akajiita ni CHADEMA akashiriki, hapo utakilaumu chama?. Chama kilishatoa msimamo wake.
 

Punguza utoto dogo.
 
Ndio nimekuambia usilazimishe matakwa ya mtu binafsi kuwa ya chama. Chama kimesema hakishiriki akatokea mwehu akajiita ni CHADEMA akashiriki, hapo utakilaumu chama?. Chama kilishatoa msimamo wake.
Naona huelewi. Mtu akijitambulisha kama mgombea wa Chadema halafu Chadema ikamuangalia tu kwa sababu iliisha toa tamko awalu basi hicho kisishangae kulaumiwa. Ni kama vile tunavyoilaumu CCM panapotekeza shabiki wake akifanya fujo ( na wao wakakaa kimya) ingawa wao kama chama wanahubiri utulivu na amani kila siku.

Amandla...
 
Uwe mwelewa, CHADEMA ikiwachukulia hatua serikali inakuja kuwakingia kifua na kuwatetea.
Swali liko pale pale. Kwa hiyo Chadema haiwachukulii hatua kwa vile serikali itawakingia kifua na kuwatetea? Kama ni hivyo basi hawastahili kuitwa chama cha upinzani.
Amandla...
 
Maelezo yako yanaonyesha moja kwa moja kuwa Chadema haishiriki Uchaguzi huo, tungekuelewa kama ungeandika kuwa Chadema yasimamisha mgombea.


Huyo unayemwita Katibu wa Chadema, kama ni kweli, yeye kwa maandishi yako unatuonyesha kuwa ananadi mgombea wa CUF na si Chadema. Mawimbi ya ufahamu yametikisikia wapi ndg yangu
 

..tunaweza ku-suggest wafukuzwe, halafu mamlaka zikawakingia kifua kama ilivyofanyika kwa Halima na wenzake.
 
CCP sasa wanahaha kuwarubuni CHADEMA washiriki uchafuzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
..tunaweza ku-suggest wafukuzwe, halafu mamlaka zikawakingia kifua kama ilivyofanyika kwa Halima na wenzake.
Kwa hiyo mnajuta kuwafukuza wakina Halima kwa sababu bado wako Bungeni? Mimi nadhani mmejijengea heshima kwa kuwafukuza kuliko kama mngebaki nao. Mamlaka inaweza kuwakingia kifua lakini haiwezi kuwarudishia uanachama. Hicho ndio cha msingi.
Amandla...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…