econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Shida yako ndio hiyo. Unaamini kushiriki ni kugombea tu. Kiongozi wa Chama akimpigia debe mgombea wa chama kingine ni ishara kuwa hicho chama kimeshiriki. Tutajuaje kuwa ni makubaliano kati ya vyama ya kupeana sapatin pale ambapo chama kingine kina nguvu zaidi? Chadema ilishiriki uchaguzi Zanzibar ingawa ilikuwa inampigia debe mgombea wa chama kingine. Kuendekeza tabia kama hizi ndio kutapelekea watu kujitokeza na kugombea kwa niaba ya Chadema katika uchaguzi ujao hata kama uongozi wa juu utasema hawashiriki.
Amandla.....
Ndio nikakuelewesha kwamba CHADEMA Kama taasisi haishiriki huo uchaguzi, ni individual kwa mapenzi yake kaamua kuipigia kampeni CUF. Halafu huyo jamaa ni katibu kweli wa CHADEMA?. Maana imeandikwa tu katibu na haijulikani ni katibu wa wapi?