- Thread starter
- #21
Mwenye macho haambiwi Tazama.Endekea kufunika kichwa kwenye gunia huku mwili wote ukiwa njeda umeandika kishabiki sana mkuu yaani maandamano ambyo hayajawahi kutokea tanzania? yepi hayo ?huyuhuyu lissu na ni siku hyo akirudi ? unachekesha kama hayo ndiyo maandamano ambayo hayajawahi kutokea utakua siyo mfuatiliaji wewe au akli yako inashida mahala kwenye medula oblangata