Alishinda kwa kura za halali,lakini tatizo tumeWewe umesema Chadema ni mpango wa mungu na yeyote anaesimama na Chadema anafanikiwa. Ndo nikakuuliza Lowassa alifanikiwa? Si alisimama na chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alishinda kwa kura za halali,lakini tatizo tumeWewe umesema Chadema ni mpango wa mungu na yeyote anaesimama na Chadema anafanikiwa. Ndo nikakuuliza Lowassa alifanikiwa? Si alisimama na chadema
Ngonjera hizo.Alishinda kwa kura za halali,lakini tatizo tume
Mungu yupi?Mwenye macho haambiwi Tazama.Chadema ni mpango wa Mungu
Halafu ni Nani huwa anawaambia kwamba Mungu aweza kuwa mshabiki wa vyama nyie wehu?Mwenye macho haambiwi Tazama.Chadema ni mpango wa Mungu
Nguruwe wa Lumumba wambea sana nyieh
apo anapita nyalandu hivi unamjua mbowe wewe>? za awali tu kambwaga lissu vibaya unategemea nini ?
Endeleeni kujifariji
Nashukuru kunirekebisha mkuuUsiseme mwanasiasa mashuhuri zaidi Africa.......
Sema duniani mkuu.....
Nashindwa kumwelewaImekuumiza moyo??? Kwanini?? Mbona huu ni mchakato tu na wala hauhusishi kura yako mwezi October 2020???!!!
Kwa tusi uliloandika tu humjui Mungu Wala hujui anafananaje.Ibilisi ndiye huwa anaongoza watu wanaoporomosha matusi.Sasa tangu lini Ibilisi akajua utamu wa nguvu ya Mungu?Halafu ni Nani huwa anawaambia kwamba Mungu aweza kuwa mshabiki wa vyama nyie wehu?
Tangu lini umeskia au Umeona Mungu akihudhuria vikao vyenu huko chademani?
Acha kufananisha vitu vya kijinga na Muumbaji!!
Asante kwa maoni.Chadema walipaswa kuungana na Membe tu ndio turufu pekee kwa wagombea urais wa Tanzania kutoka upinzani
Jifunze kwanza kuandika kiswahili vizuri ndiyo urudi hapatoa maelezo mzee usilalamike tu unaamini kweli chademaitashinda?au unajifariji tu maana kitu kiko wazi kabisa lakini unalazimisha kuwa chadema mtashinda au unawaenjoy wenzio tu unajuwa sikuelewi?
Jifariji mkuu,Kwa tusi uliloandika tu humjui Mungu Wala hujui anafananaje.Ibilisi ndiye huwa anaongoza watu wanaoporomosha matusi.Sasa tangu lini Ibilisi akajua utamu wa nguvu ya Mungu?
Ni mpango wa MUNGU kuiwezesha chama kulipwa ruzuku kubwa na kujiimarisha toka kwrnye tawi. Bahati mbaya hii iligunfulika na kuzuiwa mikutano ya kisiasa kwacvyama vya upinzani. HILI LINAHITAJI UFAHAMU WA JUU KULIONAHata lowasa mlisema ni mpango wa mungu wenu.
Wewe unaonaje?Wewe umesema Chadema ni mpango wa mungu na yeyote anaesimama na Chadema anafanikiwa. Ndo nikakuuliza Lowassa alifanikiwa? Si alisimama na chadema