Uchaguzi 2020 CHADEMA kutikisa Dar kwa siku tatu, Uchaguzi Mgombea Urais Tanzania na Zanzibar

Uchaguzi 2020 CHADEMA kutikisa Dar kwa siku tatu, Uchaguzi Mgombea Urais Tanzania na Zanzibar

Naona Kama Kuna repitition
Kamati kuj ilikaa na kupiga kura na kupitisha Watu watatu Nyalandu ,Lisu na yule mama

Sasa wanakaa Tena kwa issue hiyo hiyo? Nikitarajia vikao viwe viwili tu vya baraza kuu na mkutano mkuu
Sikuwahi kusikia kwamba wamechuja wagombea wale saba waliorudisha fomu, kama unaushahidi Wa wagombea waliochujwa weka hapa mkuu
 
Wewe ndio ulikuwa mwenyekiti wa hicho kikao?
Uongo wenu wa kichawi pelekeni huko! KK ingepigaji kura mlizokuwa mnaeneza bila kuwasikiliza wagombea?
Kwa hiyo Kuna kurudia Tena kamati kuu kupiga kura? Mbona hamueleweki Chadema kwenye issue ya uteuzi wa mgombea Uraisi?

Ni Mara ya pili mnaleta ujinga wenu .Mara ya Kwanza mlisema mtu yeyote anayetaka kugombea uraisi aandike barua !!!! Watu kibao wakaandika barua akiwemo Mbowe, Msigwa,Lisu nk baadaye ghafla mksgeuka Tena ohh anayetaka kugombea Uraisi achukue form ya kuomba kugombea

Hivi nyie wajinga hamna standard procedure documented za mambo yenu grow up
 
Molemo media mmeamua kuchagua upande
Tumechagua upande gani? Sisi tunaripoti kinachoendelea.Ndiyo Uhuru wa habari.Kamwe hatujasema tunamsapoti nani
 
Acha uongo mkuu
Uongo upi Sasa? Kwa akili yako Mbowe ndiye mkubwa kuliko chama? Angekuwa hivyo so angegombea Urais Kama wenyeviti wa vyama vingine wanavyogombea?
 
Uongo upi Sasa? Kwa akili yako Mbowe ndiye mkubwa kuliko chama? Angekuwa hivyo so angegombea Urais Kama wenyeviti wa vyama vingine wanavyogombea?
Ndio
Mbowe ni mkubwa kuliko CHADEMA.Hayp mengine ni nadharia tu tusipoteze muda kujadili hapa mkuu.
 
Ndio
Mbowe ni mkubwa kuliko CHADEMA.Hayp mengine ni nadharia tu tusipoteze muda kujadili hapa mkuu.
CCM huwa mnaamini hivyo mkidhani ndani ya Chadema ni sawa na CCM.Fanyeni Homework yenu vizuri zaidi
 
Sasa ni Rasmi.

Chama kikuu Cha upinzani nchini Chadema kitaanza vikao vyake kwa siku 3 mfululizo kuanzia Jumapili tarehe 2 mpaka Jumanne tarehe 4 katika ukumbi maarufu nchini wa Mlimani City.

Kikao Cha Kamati Kuu kitafanyika kesho Jumapili huku Baraza Kuu likiwa siku ya Jumatatu na Mkutano Mkuu utakuwa siku ya Jumanne.

Agenda Kuu ya vikao hivi ni kuchambua na hatimaye kupiga kura kumpitisha Rasmi mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chadema.

Tayari wajumbe wa vikao hivi wameshaanza kuwasili jijini Dar es Salaam wakiwa na shauku kubwa ya kutimiza takwa la kikatiba.

Mchuano mkali kwenye nafasi ya Urais ni Kati ya mafahali wawili Lazaro Nyalandu Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kanda ya Kati na Mjumbe wa Kamati Kuu akipambana na Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa na mwanasiasa mashuhuri zaidi kwa Afrika.

Ikumbukwe Chadema ilitikisa nchi siku ya Jumanne wiki hii wakati maelfu kwa maelfu ya watu walipojaa majiani kumlaki Tundu Lissu aliyerejea matibabuni huku kukiwa na maandamano makubwa zaidi kuwahi kutokea nchini kumsindikiza mwanasiasa huyo makao makuu ya Chama huku umati huu ukiimba 'Rais' Rais' Rais' kote alikopita ambapo Barabara ilifungwa kwa masaa manne kumsindikiza shujaa huyo.

Sisi wa Molemo Media Kama Sikuzote Tunatarajia kuwaletea matangazo ya moja kwa moja wasomaji wetu wa Jamii Forums ili Dunia kuweza kujua kinachoendelea ndani ya vikao hivyo muhimu.Tuna Imani hatukuwahi kuwaangusha wafuatiliaji wetu.

Wagombea wa CHADEMA ni;

Wakili Simba Neo

Lazaro Nyalandu

Tundu Lissu

Dk.Maryrose Majinge

Wakili Gaspar Mwanalyela

Isaya Mwita

Mchungaji Leonard Manyama
Sasa Mbona kama umeanza kampeni kabla ya muda unamnadi Lissu tu!!!
 
Upinzani Ni chachu ya maendeleo nchini..asiejua Hilo ataelewa mwaka ambao chama kitakuwa kimoja tu..hapa nchini.
 
Sasa ni Rasmi.

Chama kikuu Cha upinzani nchini Chadema kitaanza vikao vyake kwa siku 3 mfululizo kuanzia Jumapili tarehe 2 mpaka Jumanne tarehe 4 katika ukumbi maarufu nchini wa Mlimani City.

Kikao Cha Kamati Kuu kitafanyika kesho Jumapili huku Baraza Kuu likiwa siku ya Jumatatu na Mkutano Mkuu utakuwa siku ya Jumanne.

Agenda Kuu ya vikao hivi ni kuchambua na hatimaye kupiga kura kumpitisha Rasmi mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chadema.

Tayari wajumbe wa vikao hivi wameshaanza kuwasili jijini Dar es Salaam wakiwa na shauku kubwa ya kutimiza takwa la kikatiba.

Mchuano mkali kwenye nafasi ya Urais ni Kati ya mafahali wawili Lazaro Nyalandu Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kanda ya Kati na Mjumbe wa Kamati Kuu akipambana na Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa na mwanasiasa mashuhuri zaidi kwa Afrika.

Ikumbukwe Chadema ilitikisa nchi siku ya Jumanne wiki hii wakati maelfu kwa maelfu ya watu walipojaa majiani kumlaki Tundu Lissu aliyerejea matibabuni huku kukiwa na maandamano makubwa zaidi kuwahi kutokea nchini kumsindikiza mwanasiasa huyo makao makuu ya Chama huku umati huu ukiimba 'Rais' Rais' Rais' kote alikopita ambapo Barabara ilifungwa kwa masaa manne kumsindikiza shujaa huyo.

Sisi wa Molemo Media Kama Sikuzote Tunatarajia kuwaletea matangazo ya moja kwa moja wasomaji wetu wa Jamii Forums ili Dunia kuweza kujua kinachoendelea ndani ya vikao hivyo muhimu.Tuna Imani hatukuwahi kuwaangusha wafuatiliaji wetu.

Wagombea wa CHADEMA ni;

Wakili Simba Neo

Lazaro Nyalandu

Tundu Lissu

Dk.Maryrose Majinge

Wakili Gaspar Mwanalyela

Isaya Mwita

Mchungaji Leonard Manyama
Kama ni chakula basi umezidisha chumvi hata kukila imekuwa shida. Chadema tengenezeni timu nzuri ya kuhabarisha Umma shughuli za kichama kwa weledi na uhalisia, hii taarifa imejaa propaganda ambazo zinafanya Chadema ionekane kama kikundi Cha Wajanja flani au wahuni fulani hivi
 
Kwa hiyo Kuna kurudia Tena kamati kuu kupiga kura? Mbona hamueleweki Chadema kwenye issue ya uteuzi wa mgombea Uraisi?

Ni Mara ya pili mnaleta ujinga wenu .Mara ya Kwanza mlisema mtu yeyote anayetaka kugombea uraisi aandike barua !!!! Watu kibao wakaandika barua akiwemo Mbowe, Msigwa,Lisu nk baadaye ghafla mksgeuka Tena ohh anayetaka kugombea Uraisi achukue form ya kuomba kugombea

Hivi nyie wajinga hamna standard procedure documented za mambo yenu grow up
Standard procedure ndio kama hizo za kudurufu form moja na anayetaka ya pili kumfukuza uanachama?
 
Sasa ni Rasmi.

Chama kikuu Cha upinzani nchini Chadema kitaanza vikao vyake kwa siku 3 mfululizo kuanzia Jumapili tarehe 2 mpaka Jumanne tarehe 4 katika ukumbi maarufu nchini wa Mlimani City.

Kikao Cha Kamati Kuu kitafanyika kesho Jumapili huku Baraza Kuu likiwa siku ya Jumatatu na Mkutano Mkuu utakuwa siku ya Jumanne.

Agenda Kuu ya vikao hivi ni kuchambua na hatimaye kupiga kura kumpitisha Rasmi mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chadema.

Tayari wajumbe wa vikao hivi wameshaanza kuwasili jijini Dar es Salaam wakiwa na shauku kubwa ya kutimiza takwa la kikatiba.

Mchuano mkali kwenye nafasi ya Urais ni Kati ya mafahali wawili Lazaro Nyalandu Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kanda ya Kati na Mjumbe wa Kamati Kuu akipambana na Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa na mwanasiasa mashuhuri zaidi kwa Afrika.

Ikumbukwe Chadema ilitikisa nchi siku ya Jumanne wiki hii wakati maelfu kwa maelfu ya watu walipojaa majiani kumlaki Tundu Lissu aliyerejea matibabuni huku kukiwa na maandamano makubwa zaidi kuwahi kutokea nchini kumsindikiza mwanasiasa huyo makao makuu ya Chama huku umati huu ukiimba 'Rais' Rais' Rais' kote alikopita ambapo Barabara ilifungwa kwa masaa manne kumsindikiza shujaa huyo.

Sisi wa Molemo Media Kama Sikuzote Tunatarajia kuwaletea matangazo ya moja kwa moja wasomaji wetu wa Jamii Forums ili Dunia kuweza kujua kinachoendelea ndani ya vikao hivyo muhimu.Tuna Imani hatukuwahi kuwaangusha wafuatiliaji wetu.

Wagombea wa CHADEMA ni;

Wakili Simba Neo

Lazaro Nyalandu

Tundu Lissu

Dk.Maryrose Majinge

Wakili Gaspar Mwanalyela

Isaya Mwita

Mchungaji Leonard Manyama


View attachment 1524164
Makao makuu ya nchi na serikali yapo Dodoma kwa sasa, ni kwannii Chadema mnakuwa wagumu kutekeleza hilo suala la kuhamishia HQs zenu Dodoma ?
 
Sasa ni Rasmi.

Chama kikuu Cha upinzani nchini Chadema kitaanza vikao vyake kwa siku 3 mfululizo kuanzia Jumapili tarehe 2 mpaka Jumanne tarehe 4 katika ukumbi maarufu nchini wa Mlimani City.

Kikao Cha Kamati Kuu kitafanyika kesho Jumapili huku Baraza Kuu likiwa siku ya Jumatatu na Mkutano Mkuu utakuwa siku ya Jumanne.

Agenda Kuu ya vikao hivi ni kuchambua na hatimaye kupiga kura kumpitisha Rasmi mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chadema.

Tayari wajumbe wa vikao hivi wameshaanza kuwasili jijini Dar es Salaam wakiwa na shauku kubwa ya kutimiza takwa la kikatiba.

Mchuano mkali kwenye nafasi ya Urais ni Kati ya mafahali wawili Lazaro Nyalandu Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kanda ya Kati na Mjumbe wa Kamati Kuu akipambana na Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa na mwanasiasa mashuhuri zaidi kwa Afrika.

Ikumbukwe Chadema ilitikisa nchi siku ya Jumanne wiki hii wakati maelfu kwa maelfu ya watu walipojaa majiani kumlaki Tundu Lissu aliyerejea matibabuni huku kukiwa na maandamano makubwa zaidi kuwahi kutokea nchini kumsindikiza mwanasiasa huyo makao makuu ya Chama huku umati huu ukiimba 'Rais' Rais' Rais' kote alikopita ambapo Barabara ilifungwa kwa masaa manne kumsindikiza shujaa huyo.

Sisi wa Molemo Media Kama Sikuzote Tunatarajia kuwaletea matangazo ya moja kwa moja wasomaji wetu wa Jamii Forums ili Dunia kuweza kujua kinachoendelea ndani ya vikao hivyo muhimu.Tuna Imani hatukuwahi kuwaangusha wafuatiliaji wetu.

Wagombea wa CHADEMA ni;

Wakili Simba Neo

Lazaro Nyalandu

Tundu Lissu

Dk.Maryrose Majinge

Wakili Gaspar Mwanalyela

Isaya Mwita

Mchungaji Leonard Manyama


View attachment 1524164
Ni Katika Muendelezo ya Kutimia kwa Mpango wa Mungu
 
Endeleeni kujifariji

Mbona kama unakimbia kwa vidole? Kwa hiyo kikao hakitafanyika ama ajifariji katika nini? Ikiwa ccm iko imara, kubwa na inapendwa kwa nini mnakiaibisha kwa kuogopa CHADEMA namna hiyo? Mbona CHADEMA hawana woga kama huu? Sasa hapa unachopinga ni nini kama siyo kuthibitisha kwamba ccm mbovu ni ile ile isipokuwa kwa sasa inatembelea jina la Rais na ambaye hana hofu kama ninyi?

Jamani tunzeni hadhi zenu. Mnaaibisha sana.
 
Back
Top Bottom