Makao makuu ya nchi na serikali yapo Dodoma kwa sasa, ni kwannii Chadema mnakuwa wagumu kutekeleza hilo suala la kuhamishia HQs zenu Dodoma ?
Wwe umeipata wapi hii ya makao makuu na nchi kuwa Dodoma? Tafadhali weka reference!.
Wahamie Dodoma yaliko makao makuu ya Serikali kwani CHADEMA ndiyo serikali? Mbona mna loose sana?