Uchaguzi 2020 CHADEMA kutobandika picha za Tundu Lissu ni kosa la kiufundi

Mleta mada unataka kusema jambo zuri lakini unafiki ni kiongozi wako na unashindwa.

Hujui kuzuiliwa kwa mikutano ya hadhara na ndani, kuvukuzwa bungeni, kesi zimeelekezwa kwa chama chenye nguvu kuliko mwingine?? Kama hata bendera tu inashushwa, tangazo la mpiga kura ndio litabaki?? Hakukuwa na haja ya kutumia pesa katika jambo ambalo halina tija!

Ukitaka kusema hili, hakuna mpigakura aliyejua sura au habari ya Lissu. Atakayeacha kumpigia kura si kwa sababu atakuwa hamfahamu bali hapendi awe Rais. Period!!
 
Kwenye kura hata ya mjinga inahitajika. Kama hamtaki kura za wajinga ina maana mmekubali kushindwa.
Kwahiyo unataka kuniambia watanzania wengi ni wajinga kuliko wasio wajinga ndio maana ili chama kishinde kwenye uchaguzi lazima upate kula za hao wajinga ambao ndio wengi?
 
Hii mada inahusu Chama cha Mbowe. Usichanganye mambo
Magufuli ametuharibia nchi, wapuuzi wengi wamejipa madaraka ya kutukana wapinzani kwa ujira wa elfu saba tu.
 

Attachments

  • Lumumba Buku 7.jpg
    20.8 KB · Views: 1
Kuweka picha ya Tundu Lissu inasaidia nini mbona watu wengi tu (including you) wanamfahamu kuwa anagombea Urais nchini Tanzania? Picha hazina impact kwa kuwa watu wanamfahamu hata asipoweka picha. Sasa aweke picha za nini? Asiyefahamika na anayetaka ajulikane uwepo wake kwa wananchi, licha ya kujinasibu kuwa ameifanyia mambo mengi nchi hii, mwacheni abandike picha kila kona. Kuweka picha sio mashindano mkuu. Kama kuweka picha tu ni ushindi, basi mgombea wa chama chenu cha CCM tayari ameshinda uchaguzi. Iambieni tume ya CCM (chini ya kada Wilson Mahela) imuapishe kuwa rais wa nchi hii.
 
Kwahiyo unataka kuniambia watanzania wengi ni wajinga kuliko wasio wajinga ndio maana ili chama kishinde kwenye uchaguzi lazima upate kula za hao wajinga ambao ndio wengi?
Ndugu yangu kwenye uchaguzi kinachohitajika ni kura za kutosha. Kwahiyo huu si muda wa kuchagua kwamba kura ni ya mwenye akili au mjinga... huoni wanasiasa wanaingia hadi vilabu vya pombe za kienyeji kusaka kura? Nikupe moyo kwamba kadiri watanzania wanavyozidi kuelimika haitachukua muda kutaka mabadiliko ya katiba kwa baadhi ya mambo ili kuondoa malalamiko.
 
Ulivyo mjinga unazania kazi ya Ruzuku ni kuendesha kampeni, CCM wanaendesha kampeni kwa 10% za ununuaji wa ndege
Ukata umesababishwa na nini? Jibu ni matumizi mabaya ya ruzuku na michango ya wanachama hasa wabunge.
 
Maelezo bomba.
 
Ulivyo mjinga unazania kazi ya Ruzuku ni kuendesha kampeni, CCM wanaendesha kampeni kwa 10% za ununuaji wa ndege
Wewe murusi punguza kusikiliza stori za vijiweni. Ishi kwenye uhalisia
 
Shida, mateso, njaa ya miaka 5 ni picha tosha
KWA ATAKAYE IBA KURA BORA APATE UGONJWA WA UKICHAA MILELE MAANA WATU HAWA WANATUZUNGUSHA VICHWA SANA TUTAOMBA MASAADA SOUTH KOREA (WOTE HATUWEZI KUWA WATOTO)
 
KWA ATAKAYE IBA KURA BORA APATE UGONJWA WA UKICHAA MILELE MAANA WATU HAWA WANATUZUNGUSHA VICHWA SANA TUTAOMBA MASAADA SOUTH KOREA (WOTE HATUWEZI KUWA WATOTO)
Kapige kura Hakuna kura itakayoibiwa uzuri mbinu zao za wizi Sumaye, Lowasa walishatuonyesha
 
Rais Magufuli amteue kwenye nyadhifa itakayomfaa. Lissu kazungukwa na watu wenye uwezo mdogo mno kwenye kufikiria. Uchaguzi ukiisha ajiunge CCM kwa wasomi wenzake.
akili kizibo kichwa ndoo
 
Mgombea wetu wa CCM akiwa Zanzibar anawaeleza Wazanzibar kuwa wasiondoke uwanjani hapo maana akimaliza hotuba bado Kuna show kabambe kutoka kwa wasanii na watamuona nae akicheza.... Wazenji nao viburi wakaondoka wakati anazungumza. Aisee!
bila show za wasanii ni shida sana kwa ccm
 
Mgombea wetu wa CCM akiwa Zanzibar anawaeleza Wazanzibar kuwa wasiondoke uwanjani hapo maana akimaliza hotuba bado Kuna show kabambe kutoka kwa wasanii na watamuona nae akicheza.... Wazenji nao viburi wakaondoka wakati anazungumza. Aisee!
kumbe upo ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…