Sasa Kwa nini Serikali ikae kimya? Basi watakuwa Wana jambo lao.
Pumbavu,wewe ndio mpuuzi na Huwa mara zote unawataja wasafwa Kwa Ubaguzi na Huwa nakupuuza kumbe ni sehemu YakoHizi za Ubaguzi
Ulianza kusema nyie Wasafwa mmetengwa Watu wa Dar wamepewa mabilioni 😂😂 Sijui 800!!!
Inatakiwa iwafikishe kwenye vyombo vya sheria maana ndio salama ya NchiIkisema ianze kuawaeka ndani kama enzi ya magu watu wataanza kulia lia tena kua serikali ya kibabe.inshort wananchi wanatumiwa vibaya mno na hawa viongozi wapuuuzi.nilikua chadema kindaki ndaki ila saiv nimewaona ni watu wa hovyooooo kuliko yaan hawafai kupewa nchi.mwenye akili timamu hili lazima alione
Kiongozi mkuu wa upinzani kua na chuki ni mbaya xnaa mwisho wa cku yataja tokea yale mauaji kama ya south a.
Maji mtaita mma this time🤣🤣Umoja wa Mataifa Ulitoa Waraka wa kukataza Matumizi ya Lugha za Kibaguzi "Hate Speech" Kwa Wanachama wake pindi wanapotaka kufikisha ujumbe wao wa kupinga au kujitafutia maslahi mbalimbali.
Sasa hapa Tanzania Toka Sakata la Makubaliano ya Serikali na DP World kuhusu uendeshaji wa Bandari kumetokea sintofahamu ya makundi mbalimbali ya wanaopinga na kukubali..
Lakini Kwa masikitiko Makubwa Jamaa wa Chadema wamekuwa wakitumia Lugha ya Ubaguzi na Chuki kufikisha maoni Yao hayo hasa Wakimlenga Rais "kwamba anauza Bandari Mali ya Tanganyika Kwa sababu yeye ni Mzanzibari",alianza Mbowe na Sasa imekuwa Kwa Wanachama wao wote si Lisu Wala Lema au mashabiki wao..
Hoja Iko hapa,Chadema wanaojinasibu kuwa na wanasheria wabobezi na watu wanaoheshimu utawala Bora wamekuwa wanafanya kosa Hilo Kwa Makusudi wakati wanafahamu fika ni kinyume na Maadili na tunu za Taifa hili na pia ni kinyume na Jumuiya ya Umoja wa Mataifa,na wanafanya hivi hadharani kwenye majukwaa na Kwa kutumia mitandao ya Kijamii.
Ndugu zangu amani ni kitu Cha msingi na adhimu kujengwa ila ni sekunde tuu kinaweza kupotea.Huko Rwanda,Burundi,DRC,South Sudan,Sierra Leon,Central Africa Republic,Miamar,Germany nk kulianza na Kauli za kueneza Chuki za kimaeneo,rangi,utaifa na baadae dini na ukabila vikaungana na kuzusha Moto mkubwa wa Mauaji..
Kumekuwa na wito wa watu na makundi kadhaa kutaka swala la Bandari lisitumike kueneza Chuki na Ubaguzi ila wao wameendelea na Serikali imekaa kimya.
Swali,Je huwezi fikisha ujumbe wako bila kutumia Chuki ukaeleweka? Na kama Kuna vyombo vya Utoajia Haki na kesi Iko Mahakamani Kwa nini Chadema Kwa kutumia Wanachama wao akiwemo Dr.Slaa Wanaendeleza chuki?
My Take
Naomba sana Mh.Rais asikae kimya maana yeye ndie aliapa kulinda Amani ya Tanzania,kuwaacha watu kama Hawa wanaeneza Chuki Kwa visingizio vya Demokrasia na uhuru wa kutoa maoni haikubaliki.
Uhuru na Demokrasia usiofuata maadili ni hatari kwa Ustawi nastakabali wa Taifa na Jumuiya ya Mataifa Kwa Ujumla..
😂😂😄😄😄 Ubaguzi utawafanya mtawaliwe milele na hao Akina Dr PhD na Sugu Moto Chini!Pumbavu,wewe ndio mpuuzi na Huwa mara zote unawataja wasafwa Kwa Ubaguzi na Huwa nakupuuza kumbe ni sehemu Yako
Umoja wa Mataifa Ulitoa Waraka wa kukataza Matumizi ya Lugha za Kibaguzi "Hate Speech" Kwa Wanachama wake pindi wanapotaka kufikisha ujumbe wao wa kupinga au kujitafutia maslahi mbalimbali.
Sasa hapa Tanzania Toka Sakata la Makubaliano ya Serikali na DP World kuhusu uendeshaji wa Bandari kumetokea sintofahamu ya makundi mbalimbali ya wanaopinga na kukubali..
Lakini Kwa masikitiko Makubwa Jamaa wa Chadema wamekuwa wakitumia Lugha ya Ubaguzi na Chuki kufikisha maoni Yao hayo hasa Wakimlenga Rais "kwamba anauza Bandari Mali ya Tanganyika Kwa sababu yeye ni Mzanzibari",alianza Mbowe na Sasa imekuwa Kwa Wanachama wao wote si Lisu Wala Lema au mashabiki wao..
Hoja Iko hapa,Chadema wanaojinasibu kuwa na wanasheria wabobezi na watu wanaoheshimu utawala Bora wamekuwa wanafanya kosa Hilo Kwa Makusudi wakati wanafahamu fika ni kinyume na Maadili na tunu za Taifa hili na pia ni kinyume na Jumuiya ya Umoja wa Mataifa,na wanafanya hivi hadharani kwenye majukwaa na Kwa kutumia mitandao ya Kijamii.
Ndugu zangu amani ni kitu Cha msingi na adhimu kujengwa ila ni sekunde tuu kinaweza kupotea.Huko Rwanda,Burundi,DRC,South Sudan,Sierra Leon,Central Africa Republic,Miamar,Germany nk kulianza na Kauli za kueneza Chuki za kimaeneo,rangi,utaifa na baadae dini na ukabila vikaungana na kuzusha Moto mkubwa wa Mauaji..
Kumekuwa na wito wa watu na makundi kadhaa kutaka swala la Bandari lisitumike kueneza Chuki na Ubaguzi ila wao wameendelea na Serikali imekaa kimya.
Swali,Je huwezi fikisha ujumbe wako bila kutumia Chuki ukaeleweka? Na kama Kuna vyombo vya Utoajia Haki na kesi Iko Mahakamani Kwa nini Chadema Kwa kutumia Wanachama wao akiwemo Dr.Slaa Wanaendeleza chuki?
My Take
Naomba sana Mh.Rais asikae kimya maana yeye ndie aliapa kulinda Amani ya Tanzania,kuwaacha watu kama Hawa wanaeneza Chuki Kwa visingizio vya Demokrasia na uhuru wa kutoa maoni haikubaliki.
Uhuru na Demokrasia usiofuata maadili ni hatari kwa Ustawi nastakabali wa Taifa na Jumuiya ya Mataifa Kwa Ujumla..
Kwani inahitaji kueneza Chuki ili ujibiwe hoja?Wajibiwe vizuri hoja zao! Over.
Ila hili la bandari..... anyway
ni wakupuuzwaWajibiwe vizuri hoja zao! Over.
Ila hili la bandari..... anyway
Hadi mjambe pumbavu zenu mmechakaa hadi muuze taifa tokeni mrudi Zanzibar watumwa nyieHapa mods hawawezi kufuta Kwa sababu ni mwanachama wao katoa lugha ya kudhalilisha kinyume na Maadili Yao
Hao mbwa wakizanzibar washenzi sanaTafuta ela umaskin ni chanzo cha chuki na hasira [emoji23]
Umoja wa Mataifa Ulitoa Waraka wa kukataza Matumizi ya Lugha za Kibaguzi "Hate Speech" Kwa Wanachama wake pindi wanapotaka kufikisha ujumbe wao wa kupinga au kujitafutia maslahi mbalimbali.
Sasa hapa Tanzania Toka Sakata la Makubaliano ya Serikali na DP World kuhusu uendeshaji wa Bandari kumetokea sintofahamu ya makundi mbalimbali ya wanaopinga na kukubali..
Lakini Kwa masikitiko Makubwa Jamaa wa Chadema wamekuwa wakitumia Lugha ya Ubaguzi na Chuki kufikisha maoni Yao hayo hasa Wakimlenga Rais "kwamba anauza Bandari Mali ya Tanganyika Kwa sababu yeye ni Mzanzibari",alianza Mbowe na Sasa imekuwa Kwa Wanachama wao wote si Lisu Wala Lema au mashabiki wao..
Hoja Iko hapa,Chadema wanaojinasibu kuwa na wanasheria wabobezi na watu wanaoheshimu utawala Bora wamekuwa wanafanya kosa Hilo Kwa Makusudi wakati wanafahamu fika ni kinyume na Maadili na tunu za Taifa hili na pia ni kinyume na Jumuiya ya Umoja wa Mataifa,na wanafanya hivi hadharani kwenye majukwaa na Kwa kutumia mitandao ya Kijamii.
Ndugu zangu amani ni kitu Cha msingi na adhimu kujengwa ila ni sekunde tuu kinaweza kupotea.Huko Rwanda,Burundi,DRC,South Sudan,Sierra Leon,Central Africa Republic,Miamar,Germany nk kulianza na Kauli za kueneza Chuki za kimaeneo,rangi,utaifa na baadae dini na ukabila vikaungana na kuzusha Moto mkubwa wa Mauaji..
Kumekuwa na wito wa watu na makundi kadhaa kutaka swala la Bandari lisitumike kueneza Chuki na Ubaguzi ila wao wameendelea na Serikali imekaa kimya.
Swali,Je huwezi fikisha ujumbe wako bila kutumia Chuki ukaeleweka? Na kama Kuna vyombo vya Utoajia Haki na kesi Iko Mahakamani Kwa nini Chadema Kwa kutumia Wanachama wao akiwemo Dr.Slaa Wanaendeleza chuki?
My Take
Naomba sana Mh.Rais asikae kimya maana yeye ndie aliapa kulinda Amani ya Tanzania,kuwaacha watu kama Hawa wanaeneza Chuki Kwa visingizio vya Demokrasia na uhuru wa kutoa maoni haikubaliki.
Uhuru na Demokrasia usiofuata maadili ni hatari kwa Ustawi nastakabali wa Taifa na Jumuiya ya Mataifa Kwa Ujumla..
Unazirudia na unazipa tafsiri ya uongo ili watu wawachukie viongozi wa Chadema. Hakuna mahali Mbowe amesema kuwa bandari zinauzwa kwa sababu Rais ni mzanzibari.Unanufaika na nini Kwa chuki? Nazirudia au nakemea?
hakuna cha hate speech ukweli unabaki kuwa ukweli kwani rais siyo mzanzibari?jibuni hoja hatutaki hizo blabla zenu humu ndani.siyo yeye tu wapo na wengine waliohusika ambao ni wanzanzibari.wakauze visiwa vyao.Umoja wa Mataifa Ulitoa Waraka wa kukataza Matumizi ya Lugha za Kibaguzi "Hate Speech" Kwa Wanachama wake pindi wanapotaka kufikisha ujumbe wao wa kupinga au kujitafutia maslahi mbalimbali.
Sasa hapa Tanzania Toka Sakata la Makubaliano ya Serikali na DP World kuhusu uendeshaji wa Bandari kumetokea sintofahamu ya makundi mbalimbali ya wanaopinga na kukubali..
Lakini Kwa masikitiko Makubwa Jamaa wa Chadema wamekuwa wakitumia Lugha ya Ubaguzi na Chuki kufikisha maoni Yao hayo hasa Wakimlenga Rais "kwamba anauza Bandari Mali ya Tanganyika Kwa sababu yeye ni Mzanzibari",alianza Mbowe na Sasa imekuwa Kwa Wanachama wao wote si Lisu Wala Lema au mashabiki wao..
Hoja Iko hapa,Chadema wanaojinasibu kuwa na wanasheria wabobezi na watu wanaoheshimu utawala Bora wamekuwa wanafanya kosa Hilo Kwa Makusudi wakati wanafahamu fika ni kinyume na Maadili na tunu za Taifa hili na pia ni kinyume na Jumuiya ya Umoja wa Mataifa,na wanafanya hivi hadharani kwenye majukwaa na Kwa kutumia mitandao ya Kijamii.
Ndugu zangu amani ni kitu Cha msingi na adhimu kujengwa ila ni sekunde tuu kinaweza kupotea.Huko Rwanda,Burundi,DRC,South Sudan,Sierra Leon,Central Africa Republic,Miamar,Germany nk kulianza na Kauli za kueneza Chuki za kimaeneo,rangi,utaifa na baadae dini na ukabila vikaungana na kuzusha Moto mkubwa wa Mauaji..
Kumekuwa na wito wa watu na makundi kadhaa kutaka swala la Bandari lisitumike kueneza Chuki na Ubaguzi ila wao wameendelea na Serikali imekaa kimya.
Swali,Je huwezi fikisha ujumbe wako bila kutumia Chuki ukaeleweka? Na kama Kuna vyombo vya Utoajia Haki na kesi Iko Mahakamani Kwa nini Chadema Kwa kutumia Wanachama wao akiwemo Dr.Slaa Wanaendeleza chuki?
My Take
Naomba sana Mh.Rais asikae kimya maana yeye ndie aliapa kulinda Amani ya Tanzania,kuwaacha watu kama Hawa wanaeneza Chuki Kwa visingizio vya Demokrasia na uhuru wa kutoa maoni haikubaliki.
Uhuru na Demokrasia usiofuata maadili ni hatari kwa Ustawi nastakabali wa Taifa na Jumuiya ya Mataifa Kwa Ujumla..
Pengo ana nguvu kubwa kiasi cha kumuandaa mtu kuiongoza hii Tz ?....Hate speech..
Ubaguzi..
Uwongo ..
Ndo Sera zao miaka yote...
Walikuwa na nafasi ya ku engage na Samia tupate katiba mpya...
Now wamejiunga na Pengo na Slaa wakifikiri wao watapewa nchi mwaka 2025 kumbe Pengo ana mtu wake Philip Mpango anamuandalia mazingira...akiingia Mpango hakuna cha katiba mpya wala Muungano WA serikali 3...ni mwendo mdundo kama Magufuli..