ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #81
Ilipora lini? Kwa nini hamkwenda Mahakamani? Ingepora mungepata mbunge hata mmja?Ila ccm kupora chaguzi za nchi hii inakubalika na sheria za umoja wa mataifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilipora lini? Kwa nini hamkwenda Mahakamani? Ingepora mungepata mbunge hata mmja?Ila ccm kupora chaguzi za nchi hii inakubalika na sheria za umoja wa mataifa.
Mtakapoanza kushikishwa adabu msije kulalamikaMlitaka wawasifie kwa huo ujinga
Kupora uchaguzi kwani ni jambo la kuuliza? Niende mahakama zipi, hizi zenye kesi ya kina Mdee mwaka wa pili huu hakuna hukumu, wakati Kenya hapo kulikuwa na kesi ya urais imeisha na hukumu tayari japo ilianza nyuma ya hiyo ya hao Covid 19? Hujasikia Rostam kasema hizi mahakama zinapigiwa simu na kupewa maagizo?Ilipora lini? Kwa nini hamkwenda Mahakamani? Ingepora mungepata mbunge hata mmja?
Umoja wa Mataifa Ulitoa Waraka wa kukataza Matumizi ya Lugha za Kibaguzi "Hate Speech" Kwa Wanachama wake pindi wanapotaka kufikisha ujumbe wao wa kupinga au kujitafutia maslahi mbalimbali.
Sasa hapa Tanzania Toka Sakata la Makubaliano ya Serikali na DP World kuhusu uendeshaji wa Bandari kumetokea sintofahamu ya makundi mbalimbali ya wanaopinga na kukubali..
Lakini Kwa masikitiko Makubwa Jamaa wa Chadema wamekuwa wakitumia Lugha ya Ubaguzi na Chuki kufikisha maoni Yao hayo hasa Wakimlenga Rais "kwamba anauza Bandari Mali ya Tanganyika Kwa sababu yeye ni Mzanzibari",alianza Mbowe na Sasa imekuwa Kwa Wanachama wao wote si Lisu Wala Lema au mashabiki wao..
Hoja Iko hapa,Chadema wanaojinasibu kuwa na wanasheria wabobezi na watu wanaoheshimu utawala Bora wamekuwa wanafanya kosa Hilo Kwa Makusudi wakati wanafahamu fika ni kinyume na Maadili na tunu za Taifa hili na pia ni kinyume na Jumuiya ya Umoja wa Mataifa,na wanafanya hivi hadharani kwenye majukwaa na Kwa kutumia mitandao ya Kijamii.
Ndugu zangu amani ni kitu Cha msingi na adhimu kujengwa ila ni sekunde tuu kinaweza kupotea.Huko Rwanda,Burundi,DRC,South Sudan,Sierra Leon,Central Africa Republic,Miamar,Germany nk kulianza na Kauli za kueneza Chuki za kimaeneo,rangi,utaifa na baadae dini na ukabila vikaungana na kuzusha Moto mkubwa wa Mauaji..
Kumekuwa na wito wa watu na makundi kadhaa kutaka swala la Bandari lisitumike kueneza Chuki na Ubaguzi ila wao wameendelea na Serikali imekaa kimya.
Swali,Je huwezi fikisha ujumbe wako bila kutumia Chuki ukaeleweka? Na kama Kuna vyombo vya Utoajia Haki na kesi Iko Mahakamani Kwa nini Chadema Kwa kutumia Wanachama wao akiwemo Dr.Slaa Wanaendeleza chuki?
My Take
Naomba sana Mh.Rais asikae kimya maana yeye ndie aliapa kulinda Amani ya Tanzania,kuwaacha watu kama Hawa wanaeneza Chuki Kwa visingizio vya Demokrasia na uhuru wa kutoa maoni haikubaliki.
Uhuru na Demokrasia usiofuata maadili ni hatari kwa Ustawi nastakabali wa Taifa na Jumuiya ya Mataifa Kwa Ujumla..
Vyama vinavyohubiri chuki na Ubaguzi tuvikatae.
Jomba kwani chanzo Cha tatizo ni nini hasa..sijafuatilia haya Mambo muda mrefuHate speeches ni jinai kama jinai zingine zozote zile, japo suku gang pia nao wameingilia hapohapo mlango huo huo!
Rasilimali zipi zimeuzwa? Kwa bei gani na Kwa sh ngapi?Mbona nyie mnauza rasilimali za nchi ? Acheni uhuni ,chadema ni chama kimevuka Mauti, mnauza nchi alafu mnalaum kauli kali , acheni bandari za watu vinginevyo mtalambwa
Umoja wa Mataifa Ulitoa Waraka wa kukataza Matumizi ya Lugha za Kibaguzi "Hate Speech" Kwa Wanachama wake pindi wanapotaka kufikisha ujumbe wao wa kupinga au kujitafutia maslahi mbalimbali.
Sasa hapa Tanzania Toka Sakata la Makubaliano ya Serikali na DP World kuhusu uendeshaji wa Bandari kumetokea sintofahamu ya makundi mbalimbali ya wanaopinga na kukubali..
Lakini Kwa masikitiko Makubwa Jamaa wa Chadema wamekuwa wakitumia Lugha ya Ubaguzi na Chuki kufikisha maoni Yao hayo hasa Wakimlenga Rais "kwamba anauza Bandari Mali ya Tanganyika Kwa sababu yeye ni Mzanzibari",alianza Mbowe na Sasa imekuwa Kwa Wanachama wao wote si Lisu Wala Lema au mashabiki wao..
Hoja Iko hapa,Chadema wanaojinasibu kuwa na wanasheria wabobezi na watu wanaoheshimu utawala Bora wamekuwa wanafanya kosa Hilo Kwa Makusudi wakati wanafahamu fika ni kinyume na Maadili na tunu za Taifa hili na pia ni kinyume na Jumuiya ya Umoja wa Mataifa,na wanafanya hivi hadharani kwenye majukwaa na Kwa kutumia mitandao ya Kijamii.
Ndugu zangu amani ni kitu Cha msingi na adhimu kujengwa ila ni sekunde tuu kinaweza kupotea.Huko Rwanda,Burundi,DRC,South Sudan,Sierra Leon,Central Africa Republic,Miamar,Germany nk kulianza na Kauli za kueneza Chuki za kimaeneo,rangi,utaifa na baadae dini na ukabila vikaungana na kuzusha Moto mkubwa wa Mauaji..
Kumekuwa na wito wa watu na makundi kadhaa kutaka swala la Bandari lisitumike kueneza Chuki na Ubaguzi ila wao wameendelea na Serikali imekaa kimya.
Swali,Je huwezi fikisha ujumbe wako bila kutumia Chuki ukaeleweka? Na kama Kuna vyombo vya Utoajia Haki na kesi Iko Mahakamani Kwa nini Chadema Kwa kutumia Wanachama wao akiwemo Dr.Slaa Wanaendeleza chuki?
My Take
Naomba sana Mh.Rais asikae kimya maana yeye ndie aliapa kulinda Amani ya Tanzania,kuwaacha watu kama Hawa wanaeneza Chuki Kwa visingizio vya Demokrasia na uhuru wa kutoa maoni haikubaliki.
Uhuru na Demokrasia usiofuata maadili ni hatari kwa Ustawi nastakabali wa Taifa na Jumuiya ya Mataifa Kwa Ujumla..
Vyama vinavyohubiri chuki na Ubaguzi tuvikatae.
Mtalambwa nawambia , unauliza swali la kijinga namna hii kweli, wewe unaishi peponi au dunia hii, ? Mmeuza aridhi ya wamasai , mnauza bandari ,Rasilimali zipi zimeuzwa? Kwa bei gani na Kwa sh ngapi?
Jibu swali rasilimali zipi ambazo Serikali imeuza? Imemuuzia nani Kwa bei gani?Mbona nyie mnauza rasilimali za nchi ? Acheni uhuni ,chadema ni chama kimevuka Mauti, mnauza nchi alafu mnalaum kauli kali , acheni bandari za watu vinginevyo mtalambwa
Mtalambwa nawambia , unauliza swali la kijinga namna hii kweli, wewe unaishi peponi au dunia hii, ? Mmeuza aridhi ya wamasai , mnauza bandari ,
Zipi hizo? Hii ni awamu ya 6 inaheshimu uhuru wa maoni ila sio wa Kukiuka sheriaBraza umevurugwa kwani zile za Mwendazake hazikuwa hate speech??
Umoja wa Mataifa Ulitoa Waraka wa kukataza Matumizi ya Lugha za Kibaguzi "Hate Speech" Kwa Wanachama wake pindi wanapotaka kufikisha ujumbe wao wa kupinga au kujitafutia maslahi mbalimbali.
Sasa hapa Tanzania Toka Sakata la Makubaliano ya Serikali na DP World kuhusu uendeshaji wa Bandari kumetokea sintofahamu ya makundi mbalimbali ya wanaopinga na kukubali..
Lakini Kwa masikitiko Makubwa Jamaa wa Chadema wamekuwa wakitumia Lugha ya Ubaguzi na Chuki kufikisha maoni Yao hayo hasa Wakimlenga Rais "kwamba anauza Bandari Mali ya Tanganyika Kwa sababu yeye ni Mzanzibari",alianza Mbowe na Sasa imekuwa Kwa Wanachama wao wote si Lisu Wala Lema au mashabiki wao..
Hoja Iko hapa,Chadema wanaojinasibu kuwa na wanasheria wabobezi na watu wanaoheshimu utawala Bora wamekuwa wanafanya kosa Hilo Kwa Makusudi wakati wanafahamu fika ni kinyume na Maadili na tunu za Taifa hili na pia ni kinyume na Jumuiya ya Umoja wa Mataifa,na wanafanya hivi hadharani kwenye majukwaa na Kwa kutumia mitandao ya Kijamii.
Ndugu zangu amani ni kitu Cha msingi na adhimu kujengwa ila ni sekunde tuu kinaweza kupotea.Huko Rwanda,Burundi,DRC,South Sudan,Sierra Leon,Central Africa Republic,Miamar,Germany nk kulianza na Kauli za kueneza Chuki za kimaeneo,rangi,utaifa na baadae dini na ukabila vikaungana na kuzusha Moto mkubwa wa Mauaji..
Kumekuwa na wito wa watu na makundi kadhaa kutaka swala la Bandari lisitumike kueneza Chuki na Ubaguzi ila wao wameendelea na Serikali imekaa kimya.
Swali,Je huwezi fikisha ujumbe wako bila kutumia Chuki ukaeleweka? Na kama Kuna vyombo vya Utoajia Haki na kesi Iko Mahakamani Kwa nini Chadema Kwa kutumia Wanachama wao akiwemo Dr.Slaa Wanaendeleza chuki?
My Take
Naomba sana Mh.Rais asikae kimya maana yeye ndie aliapa kulinda Amani ya Tanzania,kuwaacha watu kama Hawa wanaeneza Chuki Kwa visingizio vya Demokrasia na uhuru wa kutoa maoni haikubaliki.
Uhuru na Demokrasia usiofuata maadili ni hatari kwa Ustawi nastakabali wa Taifa na Jumuiya ya Mataifa Kwa Ujumla..
Vyama vinavyohubiri chuki na Ubaguzi tuvikatae.
Rudi kusoma nimeweka hapo juukatika yote uliyoandika, hebu onyesha hate speech ipo wapi?
naona umeandika matakataka matupu as if huna ubongo wa kufikiri.Rudi kusoma nimeweka hapo juu
Mbona wewe unaangalia tuu huendi kuandamana?
Waulize waliohongwa , ikishindikana muhulize alietoa amri kwa wa waziri wake sain litakataka lile,Zipi hizo? Hii ni awamu ya 6 inaheshimu uhuru wa maoni ila sio wa Kukiuka sheria
Nani hao wamehongwa?Waulize waliohongwa , ikishindikana muhulize alietoa amri kwa wa waziri wake sain litakataka lile,
Wenda hata wewe ukawa mmoja wao, msilete vitu vyepesi kwenye mambo magum mkuu ,mtalambwaNani hao wamehongwa?
Unatumia neno matusi na katika sentensi hiyo hiyo moja unaweka neno punguani!.Matusi na kueneza Chuki sio ushujaa unless wewe ni punguani