Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
- #21
Wewe hukuelewa kauli ya Dk Bashiru acha kupayuka.Kama CCM chini ya Magufuli inakubalika kwa wananchi, kwanini CCM haitaki Tume huru ya uchaguzi? Bashiru alishasema mtaendelea kutegemea vyombo vya ulinzi kushinda uchaguzi.