Chadema kutumia watu wasiojulikana kutukana viongozi sio ustaarabu wa kisiasa

Chadema kutumia watu wasiojulikana kutukana viongozi sio ustaarabu wa kisiasa

Sasa kama mnatumia pesa za walipa kodi kwa kujaza matumbo yenu,mnataka tusiseme?
Si kuna audited financial reports za chama ambazo msajili wa vyama zinamfikia? Kama zina mafekeche (qualified opinion) mfikisheni Mbowe kwa pilato akazitapike. Sio nmajazana kupiga kelele hapa JF ambazo haziwasaidii lolote.
 
Si kuna audited financial reports za chama ambazo msajili wa vyama zinamfikia? Kama zina mafekeche (qualified opinion) mfikisheni Mbowe kwa pilato akazitapike. Sio nmajazana kupiga kelele hapa JF ambazo haziwasaidii lolote.
Tulia Pccb wazifanyie kazi utapata majibu.
 
Ustaarabu ni jambo la muhimu kwenye maisha ya kila siku. Iwe ni maisha ya kawaida au kisiasa.

Hakuna ubishi kuwa serikali ya CCM chini ya JPM inakubalika kwa wananchi. Hii ni kwa sababu imeweza kufanya kazi kubwa ya kutekekeza ilani ya uchaguzi vizuri.

Sasa ninyi Chadema mmekosa mahala ambapo mnaweza kuikosoa au kuinanga serikali ya CCM chini ya JPM. Mlichobakiza ni kuweka watu kwenye mitandao mbali mbali kama Twitter ili wawatukane na kuwakashifu viongozi wa Serikali.

Tunafahamu mnajua chama chenu kimefiliska kisiasa na sasa hakina muelekeo. Mlichobakiza ni kutumia wahuni kutukana na kutunga uongo kwenye mitandao ya kijamii.

Hili sio jambo jema hata kidogo na ni uthibitisho kuwa chama chenu ni chama cha wapenda vurugu na matusi. Na October ndio mwisho wa uhai wa chama chenu.
Bora wao wanatukana tu
 
Ustaarabu ni jambo la muhimu kwenye maisha ya kila siku. Iwe ni maisha ya kawaida au kisiasa.

Hakuna ubishi kuwa serikali ya CCM chini ya JPM inakubalika kwa wananchi. Hii ni kwa sababu imeweza kufanya kazi kubwa ya kutekekeza ilani ya uchaguzi vizuri.

Sasa ninyi Chadema mmekosa mahala ambapo mnaweza kuikosoa au kuinanga serikali ya CCM chini ya JPM. Mlichobakiza ni kuweka watu kwenye mitandao mbali mbali kama Twitter ili wawatukane na kuwakashifu viongozi wa Serikali.

Tunafahamu mnajua chama chenu kimefiliska kisiasa na sasa hakina muelekeo. Mlichobakiza ni kutumia wahuni kutukana na kutunga uongo kwenye mitandao ya kijamii.

Hili sio jambo jema hata kidogo na ni uthibitisho kuwa chama chenu ni chama cha wapenda vurugu na matusi. Na October ndio mwisho wa uhai wa chama chenu.
Eti inakubalika, mngeogopa hata watu kucheka suti ya XXXXXL ya dikteta uchwara?
 
Hiyo ni haki yako ya kikatiba kutoa maoni yako. Lakini je hakuna wasiojulikana wanaotukana viongozi na wanatumiwa na Chadema?Umaarufu ili iweje acha hisia za kitoto.

Wanatukanwa wapi, ni mara ngapi hao viongozi unaoumia wakitukanwa, wanawaumiza watu wenye mitazamo tofauti na wao l, na wala huonyeshi kuumia? Ni unyanyasaji wa kiasi gani wanawafanyia hao cdm huku ww ukiona ni sawa? Au hao viongozi wanaowanyanyasa cdm ww huwajui, ila unawajua tu wanaowatukana hao viongozi? Ukionyesha kuumia viongozi kutukanwa, unatakiwa uonyeshe kuumia pia viongozi hao wakileta unyanyasaji kwa wengine. Huu umaarufu wa kijinga uanaousaka kwa mgongo wa cdm haukutoi dogo.
 
Wanatukanwa wapi, ni mara ngapi hao viongozi unaoumia wakitukanwa, wanawaumiza watu wenye mitazamo tofauti na wao l, na wala huonyeshi kuumia? Ni unyanyasaji wa kiasi gani wanawafanyia hao cdm huku ww ukiona ni sawa? Au hao viongozi wanaowanyanyasa cdm ww huwajui, ila unawajua tu wanaowatukana hao viongozi? Ukionyesha kuumia viongozi kutukanwa, unatakiwa uonyeshe kuumia pia viongozi hao wakileta unyanyasaji kwa wengine. Huu umaarufu wa kijinga uanaousaka kwa mgongo wa cdm haukutoi dogo.
Naamua kucheka maana unashangaza watu. Kwa hiyo hayo matusi hayaoni humu Jf na mitandao kama twitter? Hapa Tanzania kuna dikteta uchawara? Kuna rais anayefanya extrajudicial killings? Mimi sina shida ya umaarugu kama unavyowaza. Mimi ni mkulima ila kwenye ukweli nitatumia haki yangu ya kikatiba kama ibara ya 18 ya katiba ya JMT inavyosema.
 
Back
Top Bottom