Chadema kutumia watu wasiojulikana kutukana viongozi sio ustaarabu wa kisiasa

Chadema kutumia watu wasiojulikana kutukana viongozi sio ustaarabu wa kisiasa

Hao viongozi ww huoni wakibambikizia kesi, wakinajisi chaguzi za nchi, wakinyima haki za wengine za kisiasa? Au kwakuwa una maslahi na hizo hujuma hapo unaingiwa na upofu, ila macho yako yanaona tu hao viongozi wanapopata mrejesho wa udhalimu wao? Uko ccm, japo unajifanya uko NCCR ukidhani itakuwa na mvuto, lakini umeona ccm na hiyo Nccr hazina mvuto humu mitandaoni, kwa ajili ya nongwa unaona uichafue cdm. Acha siasa za kipuuzi dogo.
Mimi kuwa Nccr mageuzi sio kwamba natakiwa niseseme ukweli Ccm ikifanya mazuri. Kesi huwa inamalizwa na ushahidi kama unabambikiwa kesi thibitisha. Mahakama ni chombo huru.
 
Naamua kucheka maana unashangaza watu. Kwa hiyo hayo matusi hayaoni humu Jf na mitandao kama twitter? Hapa Tanzania kuna dikteta uchawara? Kuna rais anayefanya extrajudicial killings? Mimi sina shida ya umaarugu kama unavyowaza. Mimi ni mkulima ila kwenye ukweli nitatumia haki yangu ya kikatiba kama ibara ya 18 ya katiba ya JMT inavyosema.
Lisu mlimpigia risasi kwa kutumia ibara ipi ya katika ya Jmt?
 
Uzi wa vibwengo wa lumumba huu umejaa utopolo mtupu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pumbavu kabisa,kwahiyo wewe ccm ikiwafanyia rafu chadema unafurahi unacheka mpaka unajijambia ila chadema wakiwatenda ccm unahuzunika mpaka unashindwa hata kula
 
Mimi kuwa Nccr mageuzi sio kwamba natakiwa niseseme ukweli Ccm ikifanya mazuri. Kesi huwa inamalizwa na ushahidi kama unabambikiwa kesi thibitisha. Mahakama ni chombo huru.

Hakuna mahakama huru linapokuja suala la kubambikiwa kesi na watawala. Toka umejiunga na NCCR hujawahi kuweka sera zao zaidi ya kuitaja cdm ili uzi wako uwe na post nyingi. Yaani uko Nccr, lakini kwa ajili ya nongwa dhidi ya cdm, umejikuta unaitaja zaidi cdm kuliko hiyo Nccr unayojifanya uko. Vuta post zako toka uliposema uko Nccr, kisha search nyuzi zako umeitaja mara ngapi cdm, na umeitaja mara ngapi Nccr. Kwa maneno marahisi ulidhani Nccr itapata mvuto, lakini umeona haina mvuto, na hiyo ccm haina mvuto bali imebaki kushurutisha kukubalika, wakati huohuo cdm ikibaki kuwa na mvuto. Jambo hili naona linakutesa kupita kiasi.

Ni hivi, cdm haitakaa iisifie ccm kwa lolote, na wala haitokaa iisujudie ccm wala mwenyekiti wake. Kuna vyama vinaweza kuisifia ccm na kumsujudia mwenyekiti wake, na vyama hivyo ni vile visivyokuwa na mvuto kama Nccr, Cuf, Tlp nk. Hivi ndiyo vinahitaji hisani ya ccm ili kupata uwakilishi.
 
Ndiyo maana mnaambiwa msiabudu watu lakini hamsikii.sasa kila wanachoongea mnaowabudu hamtafakali.kwa ujinga unasema Molel anao ushahidi jinga kama lile mpaka unajiuliza lilipataje u dk
Yule mtu ana siri nyingi za Chadema. Alafu ni MD usimuite mjinga. Alichosema ni kweli kabisa.
 
Hakuna mahakama huru linapokuja suala la kubambikiwa kesi na watawala. Toka umejiunga na NCCR hujawahi kuweka sera zao zaidi ya kuitaja cdm ili uzi wako uwe na post nyingi. Yaani uko Nccr, lakini kwa ajili ya nongwa dhidi ya cdm, umejikuta unaitaja zaidi cdm kuliko hiyo Nccr unayojifanya uko. Vuta post zako toka uliposema uko Nccr, kisha search nyuzi zako umeitaja mara ngapi cdm, na umeitaja mara ngapi Nccr. Kwa maneno marahisi ulidhani Nccr itapata mvuto, lakini umeona haina mvuto, na hiyo ccm haina mvuto bali imebaki kushurutisha kukubalika, wakati huohuo cdm ikibaki kuwa na mvuto. Jambo hili naona linakutesa kupita kiasi.

Ni hivi, cdm haitakaa iisifie ccm kwa lolote, na wala haitokaa iisujudie ccm wala mwenyekiti wake. Kuna vyama vinaweza kuisifia ccm na kumsujudia mwenyekiti wake, na vyama hivyo ni vile visivyokuwa na mvuto kama Nccr, Cuf, Tlp nk. Hivi ndiyo vinahitaji hisani ya ccm ili kupata uwakilishi.
Ukweli utajulikana pale bunge litapovunjwa.Utabaki wewe na mmiliki wa Chadema.
 
Back
Top Bottom