Ukweli utajulikana pale bunge litapovunjwa.Utabaki wewe na mmiliki wa Chadema.
Kamanda mfia Chadema ya mafisadi. Hii sio Chadema ambayo ilikubalika kama wakati wa Dk slaa. Pia hii sio Ccm ambayo ilikuwa imechafuka. Nafikiri kaa utulie ili udadavue mambo ili upate ukweli.Acha kubaki mimi na mmliki wa cdm, hata ningebaki mwenyewe, ukweli wa kuwa chama gani kina mvuto wala hauna mjadala. Mnaweza kutumia madaraka kushurutisha kukubalika kama ilivyokuwa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, ila hamuwezi kulazimisha kupata mvuto. Wengi wa wasaka madaraka ni lazima watahamia ccm kwani kuna pesa za bwerere, lakini huo ni kama mvuto anaoupata mtu aliyeuza shamba akaenda mjini kuchukua vimada, akidhani atapendwa kumbe anachunwa.
Ustaarabu ni jambo la muhimu kwenye maisha ya kila siku. Iwe ni maisha ya kawaida au kisiasa.
Hakuna ubishi kuwa serikali ya CCM chini ya JPM inakubalika kwa wananchi. Hii ni kwa sababu imeweza kufanya kazi kubwa ya kutekekeza ilani ya uchaguzi vizuri.
Sasa ninyi Chadema mmekosa mahala ambapo mnaweza kuikosoa au kuinanga serikali ya CCM chini ya JPM. Mlichobakiza ni kuweka watu kwenye mitandao mbali mbali kama Twitter ili wawatukane na kuwakashifu viongozi wa Serikali.
Tunafahamu mnajua chama chenu kimefiliska kisiasa na sasa hakina muelekeo. Mlichobakiza ni kutumia wahuni kutukana na kutunga uongo kwenye mitandao ya kijamii.
Hili sio jambo jema hata kidogo na ni uthibitisho kuwa chama chenu ni chama cha wapenda vurugu na matusi. Na October ndio mwisho wa uhai wa chama chenu.
Swali gani hili?Umeandika ulichowaza. Je ni sawa kama inavyodaiwa kwa serikali ya ccm kutumia watu wasiojulikana kufanya maovu juu ya watu (Kuteka na kuuwa/kupoteza watu) na serikali kushindwa kutoa taarifa za waliohusika?
Swali gani hili?
Kamanda mfia Chadema ya mafisadi. Hii sio Chadema ambayo ilikubalika kama wakati wa Dk slaa. Pia hii sio Ccm ambayo ilikuwa imechafuka. Nafikiri kaa utulie ili udadavue mambo ili upate ukweli.
Ile kauli ya sauti ya kulegea ya kuwa na mahakama ya kifisadi iliishia wapi?. Tatizo msilolijua YESU ALISHASEMA SHETANI ATOI SHETANI MWEZAKE. Wewe fisadi utafungua mahakama ya mafisadi utaanzia wapi.Kamanda mfia Chadema ya mafisadi. Hii sio Chadema ambayo ilikubalika kama wakati wa Dk slaa. Pia hii sio Ccm ambayo ilikuwa imechafuka. Nafikiri kaa utulie ili udadavue mambo ili upate ukweli.
TumekusikiaUstaarabu ni jambo la muhimu kwenye maisha ya kila siku. Iwe ni maisha ya kawaida au kisiasa.
Hakuna ubishi kuwa serikali ya CCM chini ya JPM inakubalika kwa wananchi. Hii ni kwa sababu imeweza kufanya kazi kubwa ya kutekekeza ilani ya uchaguzi vizuri.
Sasa ninyi Chadema mmekosa mahala ambapo mnaweza kuikosoa au kuinanga serikali ya CCM chini ya JPM. Mlichobakiza ni kuweka watu kwenye mitandao mbali mbali kama Twitter ili wawatukane na kuwakashifu viongozi wa Serikali.
Tunafahamu mnajua chama chenu kimefiliska kisiasa na sasa hakina muelekeo. Mlichobakiza ni kutumia wahuni kutukana na kutunga uongo kwenye mitandao ya kijamii.
Hili sio jambo jema hata kidogo na ni uthibitisho kuwa chama chenu ni chama cha wapenda vurugu na matusi. Na October ndio mwisho wa uhai wa chama chenu.
Najua sindano imedunga tako.
Unashahidi kuwa Ccm inaua na kuteka?Kwamba ni mgawanyo wa matumizi ya wasio julikana?, Chadema inawatumia "kutukana" wakati CCM ikiwatumia kuua, kuteka na kupoteza!.
Tunasubili mgawane meza na viti baada ya bunge kuvunjwa.Jpm Anakubalika na chadema wamefilisika kisiasa
Hofu yenu/yako sasa inatoka wapi / ni ya nini?
Mh... Matusi na kashfa za uongo!Tulieni sindano za Twitter ziwaingie vizuri.
Hayo mtamalizana wenyewe huko-huko mlipoanzisha vita ya kwenye mitandao.Mh... Matusi na kashfa za uongo!
Kumbe ni ni nani huyo asiye gusika?Unashahidi kuwa Ccm inaua na kuteka?
Halafu JF ndio wamejaa tele.yaani ukiwa mgeni Tanzania na ukaingia JF uijue unaweza kuogopa hats kutoka nje. Ila ukitoka nje ukaona na ukisikia ni tofauti na yasemwayo JF.Ustaarabu ni jambo la muhimu kwenye maisha ya kila siku. Iwe ni maisha ya kawaida au kisiasa.
Hakuna ubishi kuwa serikali ya CCM chini ya JPM inakubalika kwa wananchi. Hii ni kwa sababu imeweza kufanya kazi kubwa ya kutekekeza ilani ya uchaguzi vizuri.
Sasa ninyi Chadema mmekosa mahala ambapo mnaweza kuikosoa au kuinanga serikali ya CCM chini ya JPM. Mlichobakiza ni kuweka watu kwenye mitandao mbali mbali kama Twitter ili wawatukane na kuwakashifu viongozi wa Serikali.
Tunafahamu mnajua chama chenu kimefiliska kisiasa na sasa hakina muelekeo. Mlichobakiza ni kutumia wahuni kutukana na kutunga uongo kwenye mitandao ya kijamii.
Hili sio jambo jema hata kidogo na ni uthibitisho kuwa chama chenu ni chama cha wapenda vurugu na matusi. Na October ndio mwisho wa uhai wa chama chenu.
Kwani wabunge viti maalumu kunyanyaswa kingono ilikuwa uongo? Maana wao ndio walisema mbele ya waandishi wa habari haina uhusiano na kutukana viongozi mnakofanya.Hayo mtamalizana wenyewe huko-huko mlipoanzisha vita ya kwenye mitandao.
Naona habari ya wabunge wa viti maalumu imeback fire 🤣🤣🤣