CHADEMA kuwa na hofu na Majaji wa Mahakama Kuu ni dalili mbaya, tunaashiria kuwa Mbowe ana makosa

Cha kushangaza zaidi wafuasi wake wanamfananisha Mwamba na Mandela humu kila siku, Mandela alikaa jela miaka 27 na bado alikuwa ngangari!! Mwamba wiki 6 tu ametepeta vibaya mnoo, hata kubeba maji ya uhai ya lita 1 ni mzigo kwake, wafuasi wake wanapiga mayowe kila kona aachiwe, wanamshinikiza na Samia amwachie as if Samia ndiyo kamkamata!! Huyu Mandela wa CDM huyu tumepigwa
 
Wewe hujitambui na hujui lolote. Kusimamia ukweli ndio kosa?
 
lakini unaposema hivyo bado siyo sahihi maana kosa lipo (linahisiwa maana halijathibitika) sasa kosala hati inakuwaje iondoe shitaka lote? inamaana alisingiziwa?hata kama alisingiziwa inabidi kesi iendelee ili ionekane kuwa alisingiziwa hapo suala ni kuendelea na kesi hati inarekebishwa ili kila mtu baada ya hukumu asitoke na lawama
 
Mtulize munkari na nani wewe mataga? Mnahangaika kutangaza utalii huku mnaitangazia dunia kuwa Tanzania kuna Magaidi si wendawazimu huu. Na hii itawaadhiri sana.
hiyo ni minor sana unafikiri wazungu hawajui nchi hatarishi? unaweza kulinganisha somalia na tanzania? wana akili kuzidi unavyofikiri
 
Kama hati ina makosa inafanyiwa marekebisho. Amendment of chargesheet inaruhusiwa kisheria.
Pumbavu kabisa,usomea wapi sheria? Nina LLM hakuna sheria ya namna hiyo.Kabla hujakoment muwe mnaangalia mnaandika nini na nani anasoma.Shilingi 7000/- unayo lipwa isikufanye kuwa mjinga ipo siku haya utayalipia.
 
Kama hati ina makosa inafanyiwa marekebisho. Amendment of chargesheet inaruhusiwa kisheria.
Pumbavu kabisa,usomea wapi sheria? Nina LLM hakuna sheria ya namna hiyo.Kabla hujakoment muwe mnaangalia mnaandika nini na nani anasoma.Shilingi 7000/- unayo lipwa isikufanye kuwa mjinga ipo siku haya utayalipia.
Wewe hujitambui na hujui lolote. Kusimamia ukweli ndio kosa?
Ukweli upi wewe mchumia tumbo?Akili yako iko makalioni siyo kichwani.
 
Sababu za kubadilishwa sio hizo hukuwepo mahakamani, yeye amesema sababu ni taarifa za mitandaoni zinasema ametumwa kumfunga mbowe
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sababu za kubadilishwa sio hizo hukuwepo mahakamani, yeye amesema sababu ni taarifa za mitandaoni zinasema ametumwa kumfunga mbowe
hiyo nayo inaweza ikazuwa kesi ndani ya kesi kuongea uongo mahakamani
 
Tatizo siyo Jaji bali mwenendo!
Leo umeongea, siku hizi unaongea ya maana sana ndugu yangu- endelea hivyo bila kuegema sana upande ule. kuwa wa haki na kweli tupu... tunapita tu duniani humu... haina haja ya kukandamizana sana duniani humu ili hali kaburi pia latusubiria kutukandamiza huko chini...Ubarikiwe na uzidishiwe kwa kuwa Mkweli, wa haki na mwenye upeo unaotakikana... Tulisadie taifa sote bila itikadi...
 
Tangu lini mahakama za TZ zinetenda haki?
 
Amina!
 
anajua alichokifanya ashaanza kuogopa mapema
 
Nenda kwenye pointi acha kujitoa ufahamu kisa shilingi 7000/-Jaji aliyekuwepo alipaswa kufanya nini baada ya hati ya mashitaka kuonekana kuwa na kasoro kisheria.Majaji ni matawi CCM ,mahakama ni matawi ya CCM haki haipo .Bila damu kumwagika

mdude alivoachiwa haikua matawi ya ccm ila alivowekwa ndan mbowe ndo matawi ya ccm sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…