kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Wajinga wa saccos ndio wamenituma niwaulizie ofisi inajengwa lini na je mtashiriki uchaguzi!Swali lako ni la Kijinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajinga wa saccos ndio wamenituma niwaulizie ofisi inajengwa lini na je mtashiriki uchaguzi!Swali lako ni la Kijinga
Si tu kwamba maswali yako ni ya kijinga , bali pia yako nje ya madaWajinga wa saccos ndio wamenituma niwaulizie ofisi inajengwa lini na je mtashiriki uchaguzi!
Msemaji wa chadema digital amekata tamaa basi tumuache apumzike!Si tu kwamba maswali yako ni ya kijinga , bali pia yako nje ya mada
nani kakudanganya ?Msemaji wa chadema digital amekata tamaa basi tumuache apumzike!
Kama alivyo mama yakoChama cha kitapeli.
Kama alivyo mama yak
😆😆😆😆😆Kama alivyo mama yako
Naisikia kwa kweli siijui ila usijejiaminisha kwamba kila kitu wapinzani walichosema hakikufanyiwa kazi. Ni bora walipiga kelele. Kazi yao na wote kwenye DP World si bure hata wenyewe wanajua.CCM unaijua au unaisikia? DP World ulikuwa hujazaliwa?
Umeuona mkataba wa DP World zaidi ya kuusikia?Naisikia kwa kweli siijui ila usijejiaminisha kwamba kila kitu wapinzani walichosema hakikufanyiwa kazi. Ni bora walipiga kelele. Kazi yao na wote kwenye DP World si bure hata wenyewe wanajua.
Kuuona tu? Na kuufanyia review kabisa. Najua yapo yaliyofanyiwa kazi. CDM wasiache kutimiza wajibh wao.Umeuona mkataba wa DP World zaidi ya kuusikia?