Pre GE2025 CHADEMA kuweni macho na Wenje Ezekiel, huyu ni pandikizi la CCM, deal naye perpendicularly!

Pre GE2025 CHADEMA kuweni macho na Wenje Ezekiel, huyu ni pandikizi la CCM, deal naye perpendicularly!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Wenye akili tulitegemea anaitisha mkutano kuweka mikakati namna ya kukabiliana na chaguzi zijazo za kitaifa za serikali, kumbe anaitisha mkutano kuwatangazia mahasimu wa Chadema kuwa anagombea madaraka.

Kazi kubwa ya Wenyeviti sasa kwa Chadema ni namna ya kuzikabili chaguzi zijazo za taifa. Yeye mawazo yake, nia na nguvu na mawazo yake ni kupata madaraka !

NAJUA ANA HAKI YA KUTIA NIA NA NDIYO DEMOKRASIA, LAKINI KWA SASA CHADEMA NI KAMA IKO VITANI KWA SHERIA HIZI ZA UCHAGUZI, HALAFU UNALETA MTAFARUKU KWENYE VITA

ACTUALLY NIA OVU KUBWA YAKE NI KUIVURUGA CHADEMA.

Fukuza jitu, liwalo na liwe! Aungane na Msigwa CCM!

Erythrocyte na wote wanaoipenda Chadema na Tanzania iliyo bora.

Pia soma > Kuelekea 2025 - Ezekia Wenje atangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa
 
Wenye akili tulitegemea anaitisha mkutano kuweka mikakati namna ya kukabiliana na chaguzi zijazo za kitaifa za serikali, kumbe anaitisha mkutano kuwatangazia mahasimu wa Chadema kuwa anagombea madaraka.
Kazi kubwa ya Wenyeviti sasa kwa Chadema ni namna ya kuzikabili chaguzi zijazo za taifa. Yeye mawazo yake, nia na nguvu na mawazo yake ni kupata madaraka !
ACTUALLY NIA OVU KUBWA YAKE NI KUIVURUGA HADEMA.

Fukuza jitu, liwalo na liwe! Aungane na Msigwa CCM!
Erythrocyte na wote wanaoipenda Chadema na Tanzaniailiyo bora
Kwani mtu kutangaza nia yaKe ktk chama cha demokrasia ni kosa?
 
Anasubiri kushindwa uchaguzi ahamie CCM kama Msigwa.

Huyu amekaa bila ubunge/cheo sasa atakuwa na njaa tu inamsumbua.

When CCM targets politicians from the opposition, it always behaves like a weak predator that always looks for a weak prey to hunt for food.

Atakuwa ameahidiwa cheo huko CCM.

All in all, hii mbinu imeshafeli kuia CHADEMA tangu enzi za yule dhulumatii Jiwe.

Wanajisumbua tu.
 
Siyo kosa hata kidogo. Lakini kuna muda na mazingira ya kufanya hivyo kama Kiongozi mkuu wa Kanda. Mnaona mnavyosakamwa na CCM/serikali, kiongozi mzima unaleta shobo la madaraka! at this vry critical moment!
Atakuwa katumwa na CCM
 
Ngoja wamlie timing kama Msigwa. Akifukuzwa kibwege atapata umaarufu mjingga huyu.
Nasikia Abdul amemmwagia mapesa kibao kumvuruga Lisu!! Think diffdent huko Tweeter ameandika vizuri
 
Back
Top Bottom