Pre GE2025 CHADEMA kuweni macho na Wenje Ezekiel, huyu ni pandikizi la CCM, deal naye perpendicularly!

Pre GE2025 CHADEMA kuweni macho na Wenje Ezekiel, huyu ni pandikizi la CCM, deal naye perpendicularly!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Acheni unafiki...

Wenje anatumika? jibu ni ndiyo...

Nani anamtumia? jibu ni Mbowe...

Mbowe amemtuma Wenje kugombea umakamu ili kujaribu kusoma mawazo ya Lissu...

Mbowe anataka ajue, Lissu anautaka uwenyekiti au Lah...

Kimsingi Mbowe ametumia akili za kitoto.
 
Wenye akili tulitegemea anaitisha mkutano kuweka mikakati namna ya kukabiliana na chaguzi zijazo za kitaifa za serikali, kumbe anaitisha mkutano kuwatangazia mahasimu wa Chadema kuwa anagombea madaraka.

Kazi kubwa ya Wenyeviti sasa kwa Chadema ni namna ya kuzikabili chaguzi zijazo za taifa. Yeye mawazo yake, nia na nguvu na mawazo yake ni kupata madaraka !

ACTUALLY NIA OVU KUBWA YAKE NI KUIVURUGA CHADEMA.

Fukuza jitu, liwalo na liwe! Aungane na Msigwa CCM!

Erythrocyte na wote wanaoipenda Chadema na Tanzania iliyo bora.

Pia soma > Kuelekea 2025 - Ezekia Wenje atangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa
Kazi kubwa ya Wenyeviti sasa kwa Chadema ni namna ya kuzikabili chaguzi zijazo za taifa. Yeye mawazo yake, nia na nguvu na mawazo yake ni kupata madaraka !🙏🏾👌🏿
 
Sawa mkuu. Naamini katika demokrasia, anayetaka kwenda aende na wa kubaki abaki ila mtu ajue chama chochote chenye nguvu na umakini ni mfumo aka system na si mtu hata kidogo. Leo hata Mbowe akihama bado CDM itakuwepo.
Sawa,ikiwa imepoteza MUDA na MALI
 
Wenye akili tulitegemea anaitisha mkutano kuweka mikakati namna ya kukabiliana na chaguzi zijazo za kitaifa za serikali, kumbe anaitisha mkutano kuwatangazia mahasimu wa Chadema kuwa anagombea madaraka.

Kazi kubwa ya Wenyeviti sasa kwa Chadema ni namna ya kuzikabili chaguzi zijazo za taifa. Yeye mawazo yake, nia na nguvu na mawazo yake ni kupata madaraka !

ACTUALLY NIA OVU KUBWA YAKE NI KUIVURUGA CHADEMA.

Fukuza jitu, liwalo na liwe! Aungane na Msigwa CCM!

Erythrocyte na wote wanaoipenda Chadema na Tanzania iliyo bora.

Pia soma > Kuelekea 2025 - Ezekia Wenje atangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa
Naunga mkono hoja , wenje anayo haki ya kwenda chama chochote , ila kwa chama ichi na kwa speed yake hii , naanza kuwa na mashaka nae.

Anasema anaona anastahili kuwa msaidizi wa mwenyekiti , kwa sababu moja ya majukum ya M/ mwenyekiti kumsaidia mwenyekiti.

OK swali wapi mwenyekiti wa sasa amekiri kwamba viongozi wenzio na wasaidizi wake hawajawahi msaidia ?

Na kama mwenyekiti wa kanda mikakati yake ni ipi elekea chaguzi za serikali za mtaa, au kaisha dalali mitaa.

Wenje elewa ,Chadema ni Taasis na bland pia ukipigwa chini au ukajipiga jini ,kwisha , angalia mwenzako Msigwa analalamika et Mbowe hapokei sim zake, so Msigwa anampangia mtu matumizi ya sim yake ambayo amenunua mwenyewe?

Mwisho chama ichi ni kikubwa kuliko mtu mmoja mmoja ata kesho hamia chama kingine period
 
Naunga mkono hoja , wenje anayo haki ya kwenda chama chochote , ila kwa chama ichi na kwa speed yake hii , naanza kuwa na mashaka nae.

Anasema anaona anastahili kuwa msaidizi wa mwenyekiti , kwa sababu moja ya majukum ya M/ mwenyekiti kumsaidia mwenyekiti.

OK swali wapi mwenyekiti wa sasa amekiri kwamba viongozi wenzio na wasaidizi wake hawajawahi msaidia ?

Na kama mwenyekiti wa kanda mikakati yake ni ipi elekea chaguzi za serikali za mtaa, au kaisha dalali mitaa.

Wenje elewa ,Chadema ni Taasis na bland pia ukipigwa chini au ukajipiga jini ,kwisha , angalia mwenzako Msigwa analalamika et Mbowe hapokei sim zake, so Msigwa anampangia mtu matumizi ya sim yake ambayo amenunua mwenyewe?

Mwisho chama ichi ni kikubwa kuliko mtu mmoja mmoja ata kesho hamia chama kingine period

1. Si mchapishe form 1 msikotaka wengine kugombea?

2. Kwa nini wenye haki ya kuondoka vyama msiwe hata ninyi pia?
 
Wenye akili tulitegemea anaitisha mkutano kuweka mikakati namna ya kukabiliana na chaguzi zijazo za kitaifa za serikali, kumbe anaitisha mkutano kuwatangazia mahasimu wa Chadema kuwa anagombea madaraka.

Kazi kubwa ya Wenyeviti sasa kwa Chadema ni namna ya kuzikabili chaguzi zijazo za taifa. Yeye mawazo yake, nia na nguvu na mawazo yake ni kupata madaraka !

ACTUALLY NIA OVU KUBWA YAKE NI KUIVURUGA CHADEMA.

Fukuza jitu, liwalo na liwe! Aungane na Msigwa CCM!

Erythrocyte na wote wanaoipenda Chadema na Tanzania iliyo bora.

Pia soma > Kuelekea 2025 - Ezekia Wenje atangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa
Mkuu, nadhani tungesubiri agombee kwanza, hii ni kwa sababu Kutangaza nia au hata kugombea haijawahi kuwa kosa kwa mujibu wa Katiba ya Chadema.

Tusizuie wengine kuomba ridhaa, sasa ikitokea ameshindwa hapo ndio tumuangalie atafanyaje.

Kwa namna Chadema ilivyojengwa si rahisi kwa mtu kama Wenje kuivuruga, na wala hatuna haja ya kumzuia, Mbona Lissu ametangaza kugombea Urais na hakuna aliyesema anavuruga chama?
 
Mkuu, nadhani tungesubiri agombee kwanza, hii ni kwa sababu Kutangaza nia au hata kugombea haijawahi kuwa kosa kwa mujibu wa Katiba ya Chadema.

Tusizuie wengine kuomba ridhaa, sasa ikitokea ameshindwa sasa tumuangalie atafanyaje.

Kwa namna Chadema ilivyojengwa si rahisi kwa mtu kama Wenje kuivuruga, na wala hatuna haja ya kumzuia, Mbona Lissu ametangaza kugombea Urais na hakuna aliyesema anavuruga chama?
Kwa mara ya kwanza umekuwa na busara
 
Siyo kosa hata kidogo. Lakini kuna muda na mazingira ya kufanya hivyo kama Kiongozi mkuu wa Kanda. Mnaona mnavyosakamwa na CCM/serikali, kiongozi mzima unaleta shobo la madaraka! at this vry critical moment!

Madikteta wote wang'ang'ania madaraka wote wana kauli kama hizi hizi.

Hata CCM ndiyo moja ya sababu za kivyao vyao kwanini kuendelea kuongoza.

Demokrasia tunayoipigania na ichukue mkondo wake.
 
CHADEMA kama mnashindwa mitihani midogo ya kidemokrasia mtaweza kuongoza nchi? Si mtakuwa mnafunga watu jela hovyo hovyo? Hakika hiki chama bado kina laana ya hawara wa Dr Slaa. Mkamwombe radhi.
 
Aondoke tu ata leo, kwenye kanda yake wapo wanachama wangapi? Na je kila mmoja akitaka gombea vyeo patakalika , wengine wapo pigania haki ili kuiona kanani wengine ndo wanafikilia vyeo.

Tunataka anaetaka ondoka Chadema mda ni sasa , sio kesho kuja kufikia bei kama mafungu ya nyanya na kulitia taifa kwenye hasara z a chaguzi za kijinga .

Na wito kwa viongonzi wa chama Chadema Taifa kuhakikisha kuanzia serikari za mitaa mpaka uchaguzi mkuu mwakani ,plus uchaguzi wa ndani chama , hakikisha kila Mgombea anapewa makubaliano makali na chama ili pale ikitokea kuunga juhudi ,saliti chama twendako ukilipe chama kwa gharama yoyote ile imekubalika katika makubaliano period
 
Aondoke tu ata leo, kwenye kanda yake wapo wanachama wangapi? Na je kila mmoja akitaka gombea vyeo patakalika , wengine wapo pigania haki ili kuiona kanani wengine ndo wanafikilia vyeo.

Tunataka anaetaka ondoka Chadema mda ni sasa , sio kesho kuja kufikia bei kama mafungu ya nyanya na kulitia taifa kwenye hasara z a chaguzi za kijinga .

Na wito kwa viongonzi wa chama Chadema Taifa kuhakikisha kuanzia serikari za mitaa mpaka uchaguzi mkuu mwakani ,plus uchaguzi wa ndani chama , hakikisha kila Mgombea anapewa makubaliano makali na chama ili pale ikitokea kuunga juhudi ,saliti chama twendako ukilipe chama kwa gharama yoyote ile imekubalika katika makubaliano period

Mbona rahisi mkuu? Chapisheni fomu moja moja kama ma CCM. Tatizo wapi kama demokrasia haina maana?
 
Wenye akili tulitegemea anaitisha mkutano kuweka mikakati namna ya kukabiliana na chaguzi zijazo za kitaifa za serikali, kumbe anaitisha mkutano kuwatangazia mahasimu wa Chadema kuwa anagombea madaraka.

Kazi kubwa ya Wenyeviti sasa kwa Chadema ni namna ya kuzikabili chaguzi zijazo za taifa. Yeye mawazo yake, nia na nguvu na mawazo yake ni kupata madaraka !

ACTUALLY NIA OVU KUBWA YAKE NI KUIVURUGA CHADEMA.

Fukuza jitu, liwalo na liwe! Aungane na Msigwa CCM!

Erythrocyte na wote wanaoipenda Chadema na Tanzania iliyo bora.

Pia soma > Kuelekea 2025 - Ezekia Wenje atangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa
Democracy
 
CHADEMA kama mnashindwa mitihani midogo ya kidemokrasia mtaweza kuongoza nchi? Si mtakuwa mnafunga watu jela hovyo hovyo? Hakika hiki chama bado kina laana ya hawara wa Dr Slaa. Mkamwombe radhi.
Ndio ni mitihani midogo, ila Binadam ameumbwa kwa hulka ya tamaa, kuna vitu mtu anaweza fanya ukafikiri uyu karogwa , hata kwenye vita msaliti ,mlafi utaachwa pembeni wengine watasonga mbele.

Mfano mko kwenye vita mkikabiliana na adui wewe katikati ya dhuruba kuu , unaingiwa na tamaa ya kubaka na sio madhumuni yaliyo mbele yenu , huyu kama mwenzenu utamchukuliaje, kichaa au ? na je hata akipigwa risasi ya Mguu utaangaika mbeba kweli?
 
Mkuu, nadhani tungesubiri agombee kwanza, hii ni kwa sababu Kutangaza nia au hata kugombea haijawahi kuwa kosa kwa mujibu wa Katiba ya Chadema.

Tusizuie wengine kuomba ridhaa, sasa ikitokea ameshindwa hapo ndio tumuangalie atafanyaje.

Kwa namna Chadema ilivyojengwa si rahisi kwa mtu kama Wenje kuivuruga, na wala hatuna haja ya kumzuia, Mbona Lissu ametangaza kugombea Urais na hakuna aliyesema anavuruga chama?
Uko saihi kabisa, lakini za ndani kutoka wanaoipenda chadema wanasema kuna Rupia imepenyezwa aiyumbishe chadem.
Najua siyo kosa kugombea/kutia nia, LAKINI kwa hali ya siasa za nchi yetu zilivyo na wahasimu wa chadema CCM, kiongozi mkubwa kama huyo angeliangalia maslahi mapana ya chama kuliko kutafuta nafasi za madaraka.
Chaguzi za vyama zinavivuruga vyama vya upinzani sana. Mtu mwenye busara angeliachana na hiyo nia kaanglalia kuimarisha chama..
 
Wenye akili tulitegemea anaitisha mkutano kuweka mikakati namna ya kukabiliana na chaguzi zijazo za kitaifa za serikali, kumbe anaitisha mkutano kuwatangazia mahasimu wa Chadema kuwa anagombea madaraka.

Kazi kubwa ya Wenyeviti sasa kwa Chadema ni namna ya kuzikabili chaguzi zijazo za taifa. Yeye mawazo yake, nia na nguvu na mawazo yake ni kupata madaraka !

ACTUALLY NIA OVU KUBWA YAKE NI KUIVURUGA CHADEMA.

Fukuza jitu, liwalo na liwe! Aungane na Msigwa CCM!

Erythrocyte na wote wanaoipenda Chadema na Tanzania iliyo bora.

Pia soma > Kuelekea 2025 - Ezekia Wenje atangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa
Itakuwa pesa za Abdul zimemfikia anataka kumfuata Msigwa wakaimbishwe pambio za mamabdul
 
Democracy
Sawa demokrasia ni nguzo ya msimamo wa chadema, lakini uaangalia maadui wenu wamekaaje.. CCM wanawategea kwenye chaguzi kama hizi wawavuruge! Mnaangalia hali zenu zikoje na wenye MADARAKA/nchi. Kwa busara ya kawaida, mnaachana na lolote linalowea kuleta mgawamyiko na kuwapa faida maasimu wenu! CHAGUZI ALWAYS ZINAVIANGUSHA/KUVITWANYA VYAMA VYA UPINZANI MAANA MAASIMU WENU WANATUMI HELA KUWAGAWA KWEYE CHAGUZI.
 
Uko saihi kabisa, lakini za ndani kutoka wanaoipenda chadema wanasema kuna Rupia imepenyezwa aiyumbishe chadem.
Najua siyo kosa kugombea/kutia nia, LAKINI kwa hali ya siasa za nchi yetu zilivyo na wahasimu wa chadema CCM, kiongozi mkubwa kama huyo angeliangalia maslahi mapana ya chama kuliko kutafuta nafasi za madaraka.
Chaguzi za vyama zinavivuruga vyama vya upinzani sana. Mtu mwenye busara angeliachana na hiyo nia kaanglalia kuimarisha chama..
Hawa sio wa kusubiri bari waondoke period, unatangaze vita katikati ya vita wakati wewe ni moja ya ngome kuu ya upande wa vita , hivi kweli kwa sasa malengo ya chadema ni vyeo kuliko makuu yaliyo mbele yetu kama wananchi, chama ,na wana chama?

Ujinga ,natamani hata kesho atangaze hama chama uhuni huu
 
Back
Top Bottom