Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
NadhaniAnatafuta naamna ya kuondoka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NadhaniAnatafuta naamna ya kuondoka.
Mkuu hiyo ndio demokrasia na huu ni wakati wa hizo chaguzi za ndani. Hapo kosa ni la chama kuweka ratiba ya chaguzi za ndani zinazokaribiana na za nchi.Siyo kosa hata kidogo. Lakini kuna muda na mazingira ya kufanya hivyo kama Kiongozi mkuu wa Kanda. Mnaona mnavyosakamwa na CCM/serikali, kiongozi mzima unaleta shobo la madaraka! at this vry critical moment!
Huyo wenje akikuwa anatafta sababu ya kutokeaWenye akili tulitegemea anaitisha mkutano kuweka mikakati namna ya kukabiliana na chaguzi zijazo za kitaifa za serikali, kumbe anaitisha mkutano kuwatangazia mahasimu wa Chadema kuwa anagombea madaraka.
Kazi kubwa ya Wenyeviti sasa kwa Chadema ni namna ya kuzikabili chaguzi zijazo za taifa. Yeye mawazo yake, nia na nguvu na mawazo yake ni kupata madaraka !
ACTUALLY NIA OVU KUBWA YAKE NI KUIVURUGA CHADEMA.
Fukuza jitu, liwalo na liwe! Aungane na Msigwa CCM!
Erythrocyte na wote wanaoipenda Chadema na Tanzania iliyo bora.
Pia soma > Kuelekea 2025 - Ezekia Wenje atangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa
Chawa wa Lisu hao wanaweweseka.Wenye akili tulitegemea anaitisha mkutano kuweka mikakati namna ya kukabiliana na chaguzi zijazo za kitaifa za serikali, kumbe anaitisha mkutano kuwatangazia mahasimu wa Chadema kuwa anagombea madaraka.
Kazi kubwa ya Wenyeviti sasa kwa Chadema ni namna ya kuzikabili chaguzi zijazo za taifa. Yeye mawazo yake, nia na nguvu na mawazo yake ni kupata madaraka !
ACTUALLY NIA OVU KUBWA YAKE NI KUIVURUGA CHADEMA.
Fukuza jitu, liwalo na liwe! Aungane na Msigwa CCM!
Erythrocyte na wote wanaoipenda Chadema na Tanzania iliyo bora.
Pia soma > Kuelekea 2025 - Ezekia Wenje atangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa
Wenje hana nguvu ki vile kanda ya ziwa. Pambalu he is coming up now.Nakubaliana na wewe Wenje anataka kumfuata Msigwa
Wabadilishe ratiba ya uchaguzi wa Taifa iwe baada ya uchaguzi mkuu wa Taifa.Mkuu hiyo ndio demokrasia na huu ni wakati wa hizo chaguzi za ndani. Hapo kosa ni la chama kuweka ratiba ya chaguzi za ndani zinazokaribiana na za nchi.
Sihawahi kuwaamini watu wa msoma, watani zangu, huwa ni masnitch Sana,Wenye akili tulitegemea anaitisha mkutano kuweka mikakati namna ya kukabiliana na chaguzi zijazo za kitaifa za serikali, kumbe anaitisha mkutano kuwatangazia mahasimu wa Chadema kuwa anagombea madaraka.
Kazi kubwa ya Wenyeviti sasa kwa Chadema ni namna ya kuzikabili chaguzi zijazo za taifa. Yeye mawazo yake, nia na nguvu na mawazo yake ni kupata madaraka !
ACTUALLY NIA OVU KUBWA YAKE NI KUIVURUGA CHADEMA.
Fukuza jitu, liwalo na liwe! Aungane na Msigwa CCM!
Erythrocyte na wote wanaoipenda Chadema na Tanzania iliyo bora.
Pia soma > Kuelekea 2025 - Ezekia Wenje atangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa
Duu kila hisi hivyo unachota bilioni 100 unampa wenje umitishaaasssAbdul kachota toka hazina ya serikali sh bilioni 100, akampelekea Wenje ili atumike kuiua chadema.
Uzuri Chadema ni Taasis ,anaeona yupo kuivuruga Chadema bora kimbilia vyama vingine ,CHADEMA ni zahidi ya mtu yoyote kama chama , bila kujali umaarufu wake ,au chochote kile.Wenye akili tulitegemea anaitisha mkutano kuweka mikakati namna ya kukabiliana na chaguzi zijazo za kitaifa za serikali, kumbe anaitisha mkutano kuwatangazia mahasimu wa Chadema kuwa anagombea madaraka.
Kazi kubwa ya Wenyeviti sasa kwa Chadema ni namna ya kuzikabili chaguzi zijazo za taifa. Yeye mawazo yake, nia na nguvu na mawazo yake ni kupata madaraka !
ACTUALLY NIA OVU KUBWA YAKE NI KUIVURUGA CHADEMA.
Fukuza jitu, liwalo na liwe! Aungane na Msigwa CCM!
Erythrocyte na wote wanaoipenda Chadema na Tanzania iliyo bora.
Pia soma > Kuelekea 2025 - Ezekia Wenje atangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa
Good observationWenye akili tulitegemea anaitisha mkutano kuweka mikakati namna ya kukabiliana na chaguzi zijazo za kitaifa za serikali, kumbe anaitisha mkutano kuwatangazia mahasimu wa Chadema kuwa anagombea madaraka.
Kazi kubwa ya Wenyeviti sasa kwa Chadema ni namna ya kuzikabili chaguzi zijazo za taifa. Yeye mawazo yake, nia na nguvu na mawazo yake ni kupata madaraka !
ACTUALLY NIA OVU KUBWA YAKE NI KUIVURUGA CHADEMA.
Fukuza jitu, liwalo na liwe! Aungane na Msigwa CCM!
Erythrocyte na wote wanaoipenda Chadema na Tanzania iliyo bora.
Pia soma > Kuelekea 2025 - Ezekia Wenje atangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa
Wenye akili tulitegemea anaitisha mkutano kuweka mikakati namna ya kukabiliana na chaguzi zijazo za kitaifa za serikali, kumbe anaitisha mkutano kuwatangazia mahasimu wa Chadema kuwa anagombea madaraka.
Kazi kubwa ya Wenyeviti sasa kwa Chadema ni namna ya kuzikabili chaguzi zijazo za taifa. Yeye mawazo yake, nia na nguvu na mawazo yake ni kupata madaraka !
ACTUALLY NIA OVU KUBWA YAKE NI KUIVURUGA CHADEMA.
Fukuza jitu, liwalo na liwe! Aungane na Msigwa CCM!
Erythrocyte na wote wanaoipenda Chadema na Tanzania iliyo bora.
Pia soma > Kuelekea 2025 - Ezekia Wenje atangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa
Sijamwelewa wenje labda ni CHADEMA wenyewe wanapanga
Lakini waliobeba mpunga na hawajahama na ccm inahaha
Wafuatao
Msigwa-kashahama
Wenje-anatafuta pakutokea angalia bodyLangauage yake
HECHE- aliwajibu ccm baada ya kupokea mlinguLa kwamba wakome kumfuata fuata lasivyo patawaka---ccm wamefyata na tayari wanajua wameliwa
LISU --baada ya abduL kumwomba wenje afanikishe kufika kwa LISU tegeta home ,ABDUL alifika alivyojieleza tu TUNDULISU alimfyatukia na kumfukuza ABDUL kama mbwa
NinaList kwaleo iishie hapo
Tuwe makini na kutuhumu Makamanda wenzetu.
Aondoke tumpe hiyo nafasi Pambalu. Awe kiongozi kule Kanda ya Victoria.
😅😅😅😅Kwani mtu kutangaza nia yaKe ktk chama cha demokrasia ni kosa?