Pre GE2025 CHADEMA kuweni macho na Wenje Ezekiel, huyu ni pandikizi la CCM, deal naye perpendicularly!

Pre GE2025 CHADEMA kuweni macho na Wenje Ezekiel, huyu ni pandikizi la CCM, deal naye perpendicularly!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Pesa itawamaliza wapinzani. wamewasaliti wananchi kwa vipande vya Rupia
Binafsi sina ushahidi kama ni pesa, kuhadiwa vyeo au ni tabia na hulka ya mtu ila kwa chadema iyo chama kaa nayo mbali wa kukihujum sijamuona
 
Viongozi wa Chadema na karibia wapinzani wote hapa Tanzania ni mapandikizi tu ya CCM kudanganya dunia kuwa Tanzania nayo ina demokrasia kumbe ni danganya toto tu, watu wanakula ruzuku bila kuulizwa kitu.
RUZUKU IS NOT AN ISSUE. NI SHERIA YA NCHI INASEMA HIVYO NA WAO WANAHITAJI FEDHA KUENDSHA VYAMA HIVYO.
 
Mbona nyie mnawateka ,mnawabambikia kesi,mnawapoteza na wengine mnawapiga risasi kama mlivyofanya kwa Tundu Lissu? Au mnafikiri hatujui kwanini January katumbuliwa tena kwa hisia tu? CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu.
Ulitaka Januari aachwe ili ufaidike na nini? Mteuzi wa Januari hajavunja sheria yoyote kumtumbua. Nyie mtu kutangaza nia yake ya kugombea uongozi mnataka afukuzwe. Kuna kosa mtu kutaka kuwa kiongozi?
 
Ndio ni mitihani midogo, ila Binadam ameumbwa kwa hulka ya tamaa, kuna vitu mtu anaweza fanya ukafikiri uyu karogwa , hata kwenye vita msaliti ,mlafi utaachwa pembeni wengine watasonga mbele.

Mfano mko kwenye vita mkikabiliana na adui wewe katikati ya dhuruba kuu , unaingiwa na tamaa ya kubaka na sio madhumuni yaliyo mbele yenu , huyu kama mwenzenu utamchukuliaje, kichaa au ? na je hata akipigwa risasi ya Mguu utaangaika mbeba kweli?
Mifano yako haiendani kabisa na mada. CHADEMA mko kwenye vita gani isiyojulikana na umma ambao ni wapiga kura?
 
Ulitaka Januari aachwe ili ufaidike na nini? Mteuzi wa Januari hajavunja sheria yoyote kumtumbua. Nyie mtu kutangaza nia yake ya kugombea uongozi mnataka afukuzwe. Kuna kosa mtu kutaka kuwa kiongozi?
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala kidhalimu.
 
Mifano yako haiendani kabisa na mada. CHADEMA mko kwenye vita gani isiyojulikana na umma ambao ni wapiga kura?
Soma elewa nini kimeandikwa , kama umejifungia kwenye kabati kamwe huwezi elewa nini nimeandika, all in all its time ,anaetaka kwenda vyama vingine ruksa anza safari yake , huu sio mda wa kubembelezana , chadema ipo na wanachama wa kutosha weza tumikia nafasi mbali mbali na kumpiga chini mpinzani wake mapema sana
 
Siyo kosa hata kidogo. Lakini kuna muda na mazingira ya kufanya hivyo kama Kiongozi mkuu wa Kanda. Mnaona mnavyosakamwa na CCM/serikali, kiongozi mzima unaleta shobo la madaraka! at this vry critical moment!
Mkuu Chadema kama ilivyo CCM ni vyama vya siasa,mtaji wao ni wapiga kura.
Wenje akiwa Makamu ni ongezeko la kura kanda ya ziwa,na kanda ya ziwa inaweza kuongeza nafasi za kupata madiwani na wabunge wengi.
 
Soma elewa nini kimeandikwa , kama umejifungia kwenye kabati kamwe huwezi elewa nini nimeandika, all in all its time ,anaetaka kwenda vyama vingine ruksa anza safari yake , huu sio mda wa kubembelezana , chadema ipo na wanachama wa kutosha weza tumikia nafasi mbali mbali na kumpiga chini mpinzani wake mapema sana
Msije mkalalamika mmeibiwa kura kama mnaona wanachama waandamizi kuhama chama ni sawa tu. Kura hata moja ina umuhimu kwa chama kwenye uchaguzi.
 
Msije mkalalamika mmeibiwa kura kama mnaona wanachama waandamizi kuhama chama ni sawa tu. Kura hata moja ina umuhimu kwa chama kwenye uchaguzi.
Waandamizi ndo kitu gani ? Hakuna tena mtikisiko unaweza kuikumba tena Chadema ukiacha ule wa 2015 wa dr slaa, na kipindi cha utawala wa mwendazake ambapo watu walinunuliwa kama njugu ,ila nini kilitokea 2020 kama sio mwendazake kwapua uchaguzi , na je alikwapua tu au maji yalikua shingoni.

Ichi chama kimevuka level zote ,
 
Wenye akili tulitegemea anaitisha mkutano kuweka mikakati namna ya kukabiliana na chaguzi zijazo za kitaifa za serikali, kumbe anaitisha mkutano kuwatangazia mahasimu wa Chadema kuwa anagombea madaraka.

Kazi kubwa ya Wenyeviti sasa kwa Chadema ni namna ya kuzikabili chaguzi zijazo za taifa. Yeye mawazo yake, nia na nguvu na mawazo yake ni kupata madaraka !

NAJUA ANA HAKI YA KUTIA NIA NA NDIYO DEMOKRASIA, LAKINI KWA SASA CHADEMA NI KAMA IKO VITANI KWA SHERIA HIZI ZA UCHAGUZI, HALAFU UNALETA MTAFARUKU KWENYE VITA

ACTUALLY NIA OVU KUBWA YAKE NI KUIVURUGA CHADEMA.

Fukuza jitu, liwalo na liwe! Aungane na Msigwa CCM!

Erythrocyte na wote wanaoipenda Chadema na Tanzania iliyo bora.

Pia soma > Kuelekea 2025 - Ezekia Wenje atangaza kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa
Vp anataka Nafasi ya Mkulu nini? maana CDM ukitaka kuonekana pandikizi au CCM B, onyesha Nia ya kutaka nafasi ya Mfalme.
 
Mkuu Chadema kama ilivyo CCM ni vyama vya siasa,mtaji wao ni wapiga kura.
Wenje akiwa Makamu ni ongezeko la kura kanda ya ziwa,na kanda ya ziwa inaweza kuongeza nafasi za kupata madiwani na wabunge wengi.
Agreed, lkn unapoleta mambo ambayo hayana msingi/haraka sana kwenye vita, then lazima tuwe na mashaka na wewe.
 
Agreed, lkn unapoleta mambo ambayo hayana msingi/haraka sana kwenye vita, then lazima tuwe na mashaka na wewe.
Lakini mkuu wajuaji siku hizi ni wengi sio tena mambo ya wachache.
Na Chadema ni chama cha wananchi.Wananchi ni binadamu,akija mtu kama Wenje akasema anataka kutia nia ya kuwania umakamu shida ni ipi?
Chadema sio mali ya mtu,akina hayati Barongo, walioanzisha chama hiki wamekiacha ati,muache atumie nafasi yake,hakuna shida.Wanachama ndio wataamua,na ndio demokrasia.
 
Back
Top Bottom