Pre GE2025 CHADEMA kuweni makini na chaguzi zisiwagawe, CCM wanasubiri mkono uanguke waukamate. Macho na masikio ya CCM yako kwenu sasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Cecil Mwambe Ndio aligombea Uenyekiti na Mbowe

Alishinda LAKINI kura zake wakampa Mbowe 🐼
Sasa inabidi ujulikane wewe ni naniπŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜ƒ
 
Kama madhaifu ya ccm ndiyo kipimo cha vyama mbadala (vya upinzani), basi vinapoteza uhalali na sababu ya uwepo wake.

Tulitegemea chadema ijipambanue kwa mazuri mengi yanayokosekana ccm.
Yapo mengi, mengi sana. Najua humtaki Mbowe, tafadhali Ngoja kwanza tupate Katiba ambayo Rais hatakuwa na mamlaka ya kumwamlisha Msajiri wa vyama vya siasa, andika barua ya kuifuta chadema, watishie...polisi poteza yule. Tukifika hapo, then all is good for elders to retire.
Usituingize mkenge wa kuinufaisha CCM.
 
You bet !
Adui yako siku zote muombee njaa !
CCM wanawaombea njaa Chadema !

Kuweni macho !
 
Umepiga kwenye mshono !
Umemaliza kila kitu. ! πŸ™
 
Vipi akitwaliwa na Mungu baba wa mbinguni, ndiyo itakuwa mwisho wa chadema?
Ikitokea hivyo itakuwa imepangwa iwe hivyo na Muumba !

Everything is happening for a reason !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…