CHADEMA kwa sasa ikishiriki chaguzi yoyote hapa nchini inaweza kupata ushindi mkubwa tofauti na Mwaka 2020 ilipokuwa imepuuzwa na wananchi

CHADEMA kwa sasa ikishiriki chaguzi yoyote hapa nchini inaweza kupata ushindi mkubwa tofauti na Mwaka 2020 ilipokuwa imepuuzwa na wananchi

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Wakati tunaingia kwenye uchaguzi wa 2020 kila mtanzania alishawapuuza CHADEMA. Walionekana wanasideline na watu wasioipendea mema Tanzania.

Maana kila kitu walipinga . Na kauli mbiu ikawa hawataki Megastructures bali wanataka maendeleo ya watu.

Sasa hivi wamerudi kivingine baada ya kuona hata hizo Megastructure hazipo huku Wakidai Bandari zinauzwa.

Wakishiriki Chaguzi wanaweza kupatapata tofauti na 2020
 
Akili matope
Una uhakika chadema haikushinda hata diwani mmoja 2020 kwa sababu haikuwa na sera za kueleweka kwa wananchi?

Kwamba ccm walikuwa bora sana kiasi cha kushinda kila mahali kama ilivyokuwa?

Nakuhakikishia ccm itashinda zaidi ya 2020
Otherwise chadema washughulikie mambo yaliyoifanya ccm kushinda kwa namna ile
Hakuna kingine
 
Wakati tunaingia kwenye uchaguzi wa 2020 kila mtanzania alishawapuuza CHADEMA. Walionekana wanasideline na watu wasioipendea mema Tanzania.

Maana kila kitu walipinga kila kitu. Na kauli mbiu ikawa hawataki Megastructures bali wanataka maendeleo ya watu.

Sasa hivi wamerudi kivingine baada ya kuona hata hizo Megastructure hazipo huku Wakidai Bandari zinauzwa.

Wakishiriki Chaguzi wanaweza kupatapata tofauti na 2020
Bila Katiba mpya hapa nchini, CCM itaendelea kutangazwa na Tume yao ya uchaguzi kuwa imeshinda Kwa kishindo hadi mwisho wa dunia hii, hata kama haijashinda!🙆
 
CHADEMA hawaaminiki Tena, wapinzani wa kuunga juhudi wazee wa kununuliwa.tumewachagua 2015 wakaanza kununuliwa pumbavu sana.
 
Wakati tunaingia kwenye uchaguzi wa 2020 kila mtanzania alishawapuuza CHADEMA. Walionekana wanasideline na watu wasioipendea mema Tanzania.

Maana kila kitu walipinga kila kitu. Na kauli mbiu ikawa hawataki Megastructures bali wanataka maendeleo ya watu.

Sasa hivi wamerudi kivingine baada ya kuona hata hizo Megastructure hazipo huku Wakidai Bandari zinauzwa.

Wakishiriki Chaguzi wanaweza kupatapata tofauti na 2020
Sijui umetoka chato, au umetoka kula makande ya wapi
 
Akili matope
Una uhakika chadema haikushinda hata diwani mmoja 2020 kwa sababu haikuwa na sera za kueleweka kwa wananchi?

Kwamba ccm walikuwa bora sana kiasi cha kushinda kila mahali kama ilivyokuwa?

Nakuhakikishia ccm itashinda zaidi ya 2020
Otherwise chadema washughulikie mambo yaliyoifanya ccm kushinda kwa namna ile
Hakuna kingine
Usijitie upofu.
 
Hivi 2020 ule ulikuwa ni uchaguzi au uchafuzi ?.Mwendazake alituharibia nchi kwa kiwango cha kutisha.
 
Wakati tunaingia kwenye uchaguzi wa 2020 kila mtanzania alishawapuuza CHADEMA. Walionekana wanasideline na watu wasioipendea mema Tanzania.

Maana kila kitu walipinga . Na kauli mbiu ikawa hawataki Megastructures bali wanataka maendeleo ya watu.

Sasa hivi wamerudi kivingine baada ya kuona hata hizo Megastructure hazipo huku Wakidai Bandari zinauzwa.

Wakishiriki Chaguzi wanaweza kupatapata tofauti na 2020
Mtu yoyote anayetumia kigezo cha uchaguzi mkuu wa 2020 kama kigezo cha kukubalika kwa CCM na kukataliwa kwa Chadema huyo ni mpumbavu apuuzwe na wote wenye akili timamu
 
Kazi ya kuunga mkono kila kitu ni ya CCM wazee wa ndiyoo,hata kama wakiambiwa kwanini mnahalisha hawana jibu lingine zaidi ya ndiyoo,CCM ni wezii ndiyoo,CCM wezi wa kura ndiyoo,CCM watekaji wa raia ndiyoo,kwanini mumeingia mkataba mbovu wa bandari na waarabu ndiyoooooo.
 
Wakati tunaingia kwenye uchaguzi wa 2020 kila mtanzania alishawapuuza CHADEMA. Walionekana wanasideline na watu wasioipendea mema Tanzania.
This is good, kumbe 2020 wananchi waliwapuuza?, wenyewe wanajijua wanapendwa sana na uchaguzi wa 2020 TL ndie alishinda lakini wakaibiwa kura zao!
Maana kila kitu walipinga .
Walikuwa ni pinga pinga!. Hili nilishauri Japo kazi ya upinzani ni kupinga, lakini sio kupinga kila kitu. Kwenye maslahi ya taifa, tutangulize utaifa, tuwe wamoja, wakweli na tusipotoshe
Na kauli mbiu ikawa hawataki Megastructures bali wanataka maendeleo ya watu.

Sasa hivi wamerudi kivingine baada ya kuona hata hizo Megastructure hazipo huku Wakidai Bandari zinauzwa.
Kwa vile sio kweli Bandari inauzwa...
Wakishiriki Chaguzi wanaweza kupatapata tofauti na 2020
Mkuu Idu, Idugunde , hakuna ubaya wowote kuwa na imani na matumaini, ya ushindi, hopping for the best, ila siasa sio imani na matumaini, siasa ni sayasi ya siasa, Political Science inayafuata scientific procedure za postulates and proofs, hivyo zinataka matendo, mipango mkakati na kujadili utekelezaji, vitu ambavyo Chadema hawana any think tanks, wanategemea siasa za matukio za nyomi!.

Hizo nyomi kwenye mikutano ya Chadema, zingekuwa zina maana kama hao watu wangejiandikisha na kupiga kura!. Angalia Kama kipimo cha ushindi ni idadi ya watu, Lowassa ndiye rais wetu

Mimi mwenyewe kuna kitu kulishuhudia Kwa Hali Niliyoishuhudia Leo Old Bagamoyo Rd: There is No Way CCM Inaweza Kushinda! sikuamini matokea na nikaongea wazi Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!
mwisho wa siku ndio ikawa vile!
P
 
Wakati tunaingia kwenye uchaguzi wa 2020 kila mtanzania alishawapuuza CHADEMA. Walionekana wanasideline na watu wasioipendea mema Tanzania.

Maana kila kitu walipinga . Na kauli mbiu ikawa hawataki Megastructures bali wanataka maendeleo ya watu.

Sasa hivi wamerudi kivingine baada ya kuona hata hizo Megastructure hazipo huku Wakidai Bandari zinauzwa.

Wakishiriki Chaguzi wanaweza kupatapata tofauti na 2020


Hakuna katiba mpya na tume Huru, hakuna uchaguzi, peleka ya kwako ikashinde.
 
Wakati tunaingia kwenye uchaguzi wa 2020 kila mtanzania alishawapuuza CHADEMA. Walionekana wanasideline na watu wasioipendea mema Tanzania.

Maana kila kitu walipinga . Na kauli mbiu ikawa hawataki Megastructures bali wanataka maendeleo ya watu.

Sasa hivi wamerudi kivingine baada ya kuona hata hizo Megastructure hazipo huku Wakidai Bandari zinauzwa.

Wakishiriki Chaguzi wanaweza kupatapata tofauti na 2020
Mbona hapo Mbarali ccm imeshinda kwa kishindo!!?
 
Wakati tunaingia kwenye uchaguzi wa 2020 kila mtanzania alishawapuuza CHADEMA. Walionekana wanasideline na watu wasioipendea mema Tanzania.

Maana kila kitu walipinga . Na kauli mbiu ikawa hawataki Megastructures bali wanataka maendeleo ya watu.

Sasa hivi wamerudi kivingine baada ya kuona hata hizo Megastructure hazipo huku Wakidai Bandari zinauzwa.

Wakishiriki Chaguzi wanaweza kupatapata tofauti na 2020
FB_IMG_1695348092364.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom