Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Kama ni wasiri umeujuaje? Watanzania fanyeni kazi acheni kukesha kwenye Mitandao Siku Mh.Rais akiifunga hii Mitandao sijui mtashinda wapiNdugu zangu,
Kwanini Chadema hawaelezi matokeo ya mkutano baina ya Tundu Lissu na Daniele Viotti? uchunguzi wetu umebaini mkutano huo wa siri umefanyika alfajiri ya leo tarehe 29 Januari, 2019 kwa saa za Afrika ya Mashariki.
Daniele Viotti ni Mbunge maarufu na mzungumzaji katika bunge la ulaya na ni raisi mwenza wa umoja wa wabunge katika bunge la ulaya kutetea haki za watu wanaojihusisha na ndoa ya jinsia moja na ushoga.
Je harakati za kutafuta uungwaji mkono zitatangazwa na bunge la ulaya?
Mkuu kwanini inafanywa siri?Ujengaji huu wa hoja ndio unachangia Magufuli anatumia madaraka yake kuhakikisha ccm inapita bila kupingwa maana anajua ccm haina kitu jukwaani.
hivi vi thread wanaandikiwa na chakubanga wao hawajui maudhui ndo maana wanajichanganyaHabari umeleta wewe harafu unaombwa kujuzwa. What is this? Uzwazwa?
Wakudadavuwa lazima ateseke sana. Siasa kafundishwa Chadema, roho inamuuma maana alifukuzwa kwa ujinga wake, na sasa pamoja na uwaziri alionao lakini haishi kuiota chadema. Ni sawa na namna binti/mwanamke asivyoweza kumsahau mwanaume aliyetoa "ubinti" wake.Lissu anawatesa sana watu hawalali.
Jambo hili lisikuumize kichwa. Huu mkutano na huyu m bunge wa Ulaya unafanywa siri ili mabeberu wa Lumumba waje kuhasiwa ghafla na bila taarifa.Ndugu zangu,
Kwanini Chadema hawaelezi matokeo ya mkutano baina ya Tundu Lissu na Daniele Viotti? uchunguzi wetu umebaini mkutano huo wa siri umefanyika alfajiri ya leo tarehe 29 Januari, 2019 kwa saa za Afrika ya Mashariki.
Daniele Viotti ni Mbunge maarufu na mzungumzaji katika bunge la ulaya na ni raisi mwenza wa umoja wa wabunge katika bunge la ulaya kutetea haki za watu wanaojihusisha na ndoa ya jinsia moja na ushoga.
Je harakati za kutafuta uungwaji mkono zitatangazwa na bunge la ulaya?
Serikali na bunge sijui vinasubiri nini kufuta ubunge na hati ya huyo snowden wa Tanzania. Ni aibu kwa serikali kumgwaya mtu mmoja na huku akiendelea kulibomoa Taifa akiwa na hati ya mwanadiplomasia.
Kwanza hakuna uthibitisho wa maelezo yakoNdugu zangu,
Kwanini Chadema hawaelezi matokeo ya mkutano baina ya Tundu Lissu na Daniele Viotti? uchunguzi wetu umebaini mkutano huo wa siri umefanyika alfajiri ya leo tarehe 29 Januari, 2019 kwa saa za Afrika ya Mashariki.
Daniele Viotti ni Mbunge maarufu na mzungumzaji katika bunge la ulaya na ni raisi mwenza wa umoja wa wabunge katika bunge la ulaya kutetea haki za watu wanaojihusisha na ndoa ya jinsia moja na ushoga.
Je harakati za kutafuta uungwaji mkono zitatangazwa na bunge la ulaya?
Aiseee sijuwahi kudhani kuwa TL anawapelekesha kiasi hikiNdugu zangu,
Kwanini Chadema hawaelezi matokeo ya mkutano baina ya Tundu Lissu na Daniele Viotti? uchunguzi wetu umebaini mkutano huo wa siri umefanyika alfajiri ya leo tarehe 29 Januari, 2019 kwa saa za Afrika ya Mashariki.
Daniele Viotti ni Mbunge maarufu na mzungumzaji katika bunge la ulaya na ni raisi mwenza wa umoja wa wabunge katika bunge la ulaya kutetea haki za watu wanaojihusisha na ndoa ya jinsia moja na ushoga.
Je harakati za kutafuta uungwaji mkono zitatangazwa na bunge la ulaya?
Halafu ukute huyu naye ni moja ya wachezaji wa timu inayotegemewa kuipeleka TZ kwenye maendeleo!!!!Sasa kama siri wewe umejuaje?
Siyo siri maana hata wewe ni shahidi, utuambie basi. Umalaya hauna bei.Ndugu zangu,
Kwanini Chadema hawaelezi matokeo ya mkutano baina ya Tundu Lissu na Daniele Viotti? uchunguzi wetu umebaini mkutano huo wa siri umefanyika alfajiri ya leo tarehe 29 Januari, 2019 kwa saa za Afrika ya Mashariki.
Daniele Viotti ni Mbunge maarufu na mzungumzaji katika bunge la ulaya na ni raisi mwenza wa umoja wa wabunge katika bunge la ulaya kutetea haki za watu wanaojihusisha na ndoa ya jinsia moja na ushoga.
Je harakati za kutafuta uungwaji mkono zitatangazwa na bunge la ulaya?
Hizi top inside wenzetu mnzipataje?. Wakudada ungekuwa ni mwandishi wa gazeti, gazeti lako lingebamba sana kwa ma scoop ya Chadema, ungeuza mpaka basi.Ndugu zangu,
Kwanini Chadema hawaelezi matokeo ya mkutano baina ya Tundu Lissu na Daniele Viotti? uchunguzi wetu umebaini mkutano huo wa siri umefanyika alfajiri ya leo tarehe 29 Januari, 2019 kwa saa za Afrika ya Mashariki.