Acha maswali ya kizwazwa, kama vitabu vinaonyesha zimekusanywa, alafu havionyeshi zilipotumiwa na hazipo, huhitaji gwanda la kijani kujifanya hamnazo, ita vyovyote kwetu wazalendo wenyewe sio nyie feki tunajua nyie panya wa kijani mmezitafuna, hayo hayajaanza leo wala jana, toka enzi ya babaenu, mashirika ya umma mmefilisi kaja mzee ruksa mpaka twiga wanapanda boeing mkapa hadi leo hatujasahau rada nk kikwete eskroo etc haka hata miaka 5 hakajafikisha 1.5t, ikiisha 10 kama KATAKUBALI KUONDOKA (maana kuna dalili zote za kikagame/ museveni) hazina yote itakuwa imepigwa deki!