Tetesi: CHADEMA, kwanini mkutano wa Tundu Lissu na Daniele Viotti unafanywa siri?

Tetesi: CHADEMA, kwanini mkutano wa Tundu Lissu na Daniele Viotti unafanywa siri?

Sijui huko shuleni ulikua unafaulu vipi mitihani, kwamba haya maelezo ndio majibu ya maswali yangu?Mbona swali lako Mimi nimelijibu direct kwamba mikataba inasainiwa gizani na ni siri kwakua ina nia ovu dhidi ya watanzania?Kwanini nawewe usijibu badala ya kuja na nonsense argument?

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu

Misuli hapa sio chumba cha mtihani au mahakamani. Hii habari ni tetesi wala huna uhakika na huu umbea, unataka majibu ndani ya uzi wa tetesi? Au umeanzisha uzi wako ndani ya huu wa tetesi? Acha vioja boss.
 
Misuli hapa sio chumba cha mtihani au mahakamani. Hii habari ni tetesi wala huna uhakika na huu umbea, unataka majibu ndani ya uzi wa tetesi? Au umeanzisha uzi wako ndani ya huu wa tetesi? Acha vioja boss.
Sasa mbona ulikua unahoji maswali amabayo yana support Kuwa ni sahihi kwa Lisu kufanya siri?Hakuna popote ulipohoji validity ya hii habari zaid ya kuonesha Lisu yuko sahihi.

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Sasa mbona ulikua unahoji maswali amabayo yana support Kuwa ni sahihi kwa Lisu kufanya siri?Hakuna popote ulipohoji validity ya hii habari zaid ya kuonesha Lisu yuko sahihi.

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu

Utakuwa umelewa kama sikosei, acha pombe za mchana dogo. Angalia post yangu namba 4, nilichoongea ni kuonyesha kumpuuza mleta mada.
 
Misuli hapa sio chumba cha mtihani au mahakamani. Hii habari ni tetesi wala huna uhakika na huu umbea, unataka majibu ndani ya uzi wa tetesi? Au umeanzisha uzi wako ndani ya huu wa tetesi? Acha vioja boss.
Na itaendelea kuwa siri sababu wakuu wenu wanaona aibu kuweka wazi kutokana na dhamira za Danielle na kundi lake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi kwanini msikae pamoja huko lumumba mkachanganya pumba zenu zinazomhusu lissu mkampa mmoja wenu akazileta huku jukwaani? maana kila anayeibuka toka lumumba lazima apandishe pumbakumhusu lissu
 
Ndugu zangu,

Kwanini Chadema hawaelezi matokeo ya mkutano baina ya Tundu Lissu na Daniele Viotti? uchunguzi wetu umebaini mkutano huo wa siri umefanyika alfajiri ya leo tarehe 29 Januari, 2019 kwa saa za Afrika ya Mashariki.

Daniele Viotti ni Mbunge maarufu na mzungumzaji katika bunge la ulaya na ni raisi mwenza wa umoja wa wabunge katika bunge la ulaya kutetea haki za watu wanaojihusisha na ndoa ya jinsia moja na ushoga.

Je harakati za kutafuta uungwaji mkono zitatangazwa na bunge la ulaya?
Magufuli hanaga vikao vya siri?
Ukishaa ambiwa ni Siri elewa ni SIRI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi top inside wenzetu mnzipataje?. Wakudada ungekuwa ni mwandishi wa gazeti, gazeti lako lingebamba sana kwa ma scoop ya Chadema, ungeuza mpaka basi.

Hongera na endelea kutuletea za moto moto za Chadema kutoka jikoni.
P
Mkuu hizi nafasi za u-dc mbili pia hujaonekana?

Dah, sijui miaka 60 unagonga lini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo mengi ni siri, vinginevyo unajambo na cdm, maana hata mnangagwa alikuja TZ akaongea lakni nani anajua waliongea nini? alisikika tu wakati anataka kumsalimia Mwinyi na Mkapa

What! That Mnangagwa came here is news to many of us. But one thing I am sure about is that fellow SADC members are deeply worried about us. All along we have been their role model as far as nationhood and civilised society is concerned. Hope Mnangagwa came to counsel us that we are giving them sleepless nights.
 
Ndugu zangu,

Kwanini Chadema hawaelezi matokeo ya mkutano baina ya Tundu Lissu na Daniele Viotti? uchunguzi wetu umebaini mkutano huo wa siri umefanyika alfajiri ya leo tarehe 29 Januari, 2019 kwa saa za Afrika ya Mashariki.

Daniele Viotti ni Mbunge maarufu na mzungumzaji katika bunge la ulaya na ni raisi mwenza wa umoja wa wabunge katika bunge la ulaya kutetea haki za watu wanaojihusisha na ndoa ya jinsia moja na ushoga.

Je harakati za kutafuta uungwaji mkono zitatangazwa na bunge la ulaya?
Nilipomsikia Lissu anasita kusema NO kwa ushoga, nilijua yuko tayari kwa lolote ili tu afanikiwe kisiasa. Kibaya asichokijua ni movement kama hizo za mashoga jinsi zinavyotafuta watu ambao wako desperate. Mama Joyce Banda pale Malawi yalimkuta, leo hii yuko nje ya utawala.

Lissu atahangika sana lakini aelewe ktk Afrika hii kukubaliana na wananchi, kukubalina na vyombo vya usalama wa nchi kwa kupitia agenda hiyo ya ushoga ili apate support, ni ndoto na hapo ndo anaonekana wazi kwamba ni hamnazo. Anastahili aielewe jamii ya TZ inataka nini. M-TZ yuko tayari kufa kuliko ushoga. Kwa hiyo anapolinganisha kunusulika kwake na kutafuta kuungwa mkono kupitia mashoga, amekwama. Watu watamuombea kifo kuliko kuleta jambo hilo nchini.
 
Ndugu zangu,

Kwanini Chadema hawaelezi matokeo ya mkutano baina ya Tundu Lissu na Daniele Viotti? uchunguzi wetu umebaini mkutano huo wa siri umefanyika alfajiri ya leo tarehe 29 Januari, 2019 kwa saa za Afrika ya Mashariki.

Daniele Viotti ni Mbunge maarufu na mzungumzaji katika bunge la ulaya na ni raisi mwenza wa umoja wa wabunge katika bunge la ulaya kutetea haki za watu wanaojihusisha na ndoa ya jinsia moja na ushoga.

Je harakati za kutafuta uungwaji mkono zitatangazwa na bunge la ulaya?

Mimi nafikiri, angeshahuriwa arudi nyumbani kufanya siasa.
Ulaya na marekani wanamatatizo yao kwa sasa.
 
Aiseee sijuwahi kudhani kuwa TL anawapelekesha kiasi hiki

Jr[emoji769]
Nawe umekuwa kundi la wazembe tu! Kwani Lissu ni wa kwanza kuzungumziwa nchi hii? Hukuwahi kumusikia Mch. Mtikila? Lissu hajafikia hata reasoning ya Mtikila. Anachouza sasa hivi ni huruma ya kupigwa risasi, basi!
 
Sijui huko shuleni ulikua unafaulu vipi mitihani, kwamba haya maelezo ndio majibu ya maswali yangu?Mbona swali lako Mimi nimelijibu direct kwamba mikataba inasainiwa gizani na ni siri kwakua ina nia ovu dhidi ya watanzania?Kwanini nawewe usijibu badala ya kuja na nonsense argument?

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
Yaani mpaka baba ako anakataa mambo ya madini kukaguliwa na CAG bado unadai kuna usiri kisa kupigwa acha upumbavu wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kumbe analibomoa taifa! Mmeanza ku-panick? Hah hah hah!

Kaulizwa DW ziko tetesi unataka kuvuliwa ubunge, kajibu yeye haja hudhuria bunge kwa vile ni mgonjwa. Yule Mtangazaji mama wa DW ni mshabiki wake. Alitakiwa amuulize mgonjwa mbunge anafanya nini studio za DW? Maana si mgonjwa? Tatizo la waswahili unafiki.

Bunge na serikali wanakila sababu ya kuchukua hatua za kumvua ubunge na kunyang'anya hati ya kusafiria huyo Snowden Asange wa Tanzania.
 
Wasema ukweli wanabomoa taifa, wanao bomoa demokrasi, kushambulia raia wasio hatia wauzao nchi (mikataba ya madini) wezi wa 1.5T na vibaraka wao ndio wazalendo! Acha lissu aseme dunia nzima iwatambue nyie ni akina nani, kama mnaweza na nyie elezeni maovu yenu tbc wanyama pori!


Serikali wala Rais hawatakiwi kumjibu TL na nyie vibaraka wake kwa maneno matupu, ni kwa vitendo. CAG aliye sema TZS 1.5 hazijulikani matumizi yake, mlimtetea anakinga, sikaenda mwenyewe bungeni kuhojiwa. Katoa ripoti tusubiri PAC watoe walichogundua kuhusu huo wizi mnaoupigia debe hapa kila itwayo leo.

TL hatakiwi kujibiwa kwa maneno, huwezi shindana na mtu anayeongea kama cherahani na wakati mwengine bila kupima maneno ya kinywa chake, kautetea ushoga na wote tumesikia.

Serikali huyu ni kumongelesha kwa vitendo tu. Wanao mfadhili TL wanataka wamchokoze Rais wasikie anaongea nini na kujua msimamo wake. Kama Rais alivyo piga kimya issue ya CAG vivyo hivyo akae kimya Issue ya TL.

Bila ya ucheleweshaji wowote avuliwe Ubunge na anyang'anywe hati ya kusafiria ya Tanzania. Kumuachia huyu jamaa hati ni kumuachia zana ya kufanyia kazi kubomoa Taifa.
 
Acha upunguani we!

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app

Punguani!! TL anatakiwa ashungulikiwe kwa utaratibu wa actions speak louder than words. Ili apate maneno zaidi ya kuongea.

Khalafu jamaa ni muongo aliye tukuka eti utendaji kazi wa JMP na serikali ulikubalika kwa ile miezi 3 ya mwanzo ya utawala wake, is the guy serious?
 
Back
Top Bottom