Tetesi: CHADEMA, kwanini mkutano wa Tundu Lissu na Daniele Viotti unafanywa siri?

Tetesi: CHADEMA, kwanini mkutano wa Tundu Lissu na Daniele Viotti unafanywa siri?

Yaani vyombo vya habari chungu mzima sasa hivi habari ni Lissu tu!!
Screenshot_2019-01-29-20-24-27-1.png
 
Ndugu zangu,

Kwanini Chadema hawaelezi matokeo ya mkutano baina ya Tundu Lissu na Daniele Viotti? uchunguzi wetu umebaini mkutano huo wa siri umefanyika alfajiri ya leo tarehe 29 Januari, 2019 kwa saa za Afrika ya Mashariki.

Daniele Viotti ni Mbunge maarufu na mzungumzaji katika bunge la ulaya na ni raisi mwenza wa umoja wa wabunge katika bunge la ulaya kutetea haki za watu wanaojihusisha na ndoa ya jinsia moja na ushoga.

Je harakati za kutafuta uungwaji mkono zitatangazwa na bunge la ulaya?

Ulituambia hapa kuwa Tundu Lissu aliaibika vilivyo alipohojiwa na Stephen Sackur wa BBC na pia asingeweza tena kufanya mahojiano na mtu yeyote mwingine huko nje, sasa haya yametokea wapi?
 
Punguani!! TL anatakiwa ashungulikiwe kwa utaratibu wa actions speak louder than words. Ili apate maneno zaidi ya kuongea.

Khalafu jamaa ni muongo aliye tukuka eti utendaji kazi wa JMP na serikali ulikubalika kwa ile miezi 3 ya mwanzo ya utawala wake, is the guy serious?
Kingereza naona kingi mixer kiswahili tu hapo

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha! Mh. Lissu anaangaisha vichwa vya Watawa sana yaani 24/7 wanafatilia lissu leo yuko wapi? Anafanya Nini?

Ni vizuri kama Lissu ilo kaligundua Pia kwaiyo vikao vingine vinakua Confidential.

Sio vizuri Watawa mjue kila anachofanya Kamanda wetu, mtetezi wetu.

Sent from my SM-J530F using Tapatalk
 
Ha ha ha! Mh. Lissu anaangaisha vichwa vya Watawa sana yaani 24/7 wanafatilia lissu leo yuko wapi? Anafanya Nini?

Ni vizuri kama Lissu ilo kaligundua Pia kwaiyo vikao vingine vinakua Confidential.

Sio vizuri Watawa mjue kila anachofanya Kamanda wetu, mtetezi wetu.

Sent from my SM-J530F using Tapatalk

Mfikishie salamu za taarifa ya mswada wa vyama vya siasa umepitishwa kuwa sheria inayo subiri sahihi ya Rais.
 
Ndugu zangu,

Kwanini Chadema hawaelezi matokeo ya mkutano baina ya Tundu Lissu na Daniele Viotti? uchunguzi wetu umebaini mkutano huo wa siri umefanyika alfajiri ya leo tarehe 29 Januari, 2019 kwa saa za Afrika ya Mashariki.

Daniele Viotti ni Mbunge maarufu na mzungumzaji katika bunge la ulaya na ni raisi mwenza wa umoja wa wabunge katika bunge la ulaya kutetea haki za watu wanaojihusisha na ndoa ya jinsia moja na ushoga.

Je harakati za kutafuta uungwaji mkono zitatangazwa na bunge la ulaya?
Sasa hapa lengo lako ni lipi,?
Au shida yako ni huyo Daniel?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu,

Kwanini Chadema hawaelezi matokeo ya mkutano baina ya Tundu Lissu na Daniele Viotti? uchunguzi wetu umebaini mkutano huo wa siri umefanyika alfajiri ya leo tarehe 29 Januari, 2019 kwa saa za Afrika ya Mashariki.

Daniele Viotti ni Mbunge maarufu na mzungumzaji katika bunge la ulaya na ni raisi mwenza wa umoja wa wabunge katika bunge la ulaya kutetea haki za watu wanaojihusisha na ndoa ya jinsia moja na ushoga.

Je harakati za kutafuta uungwaji mkono zitatangazwa na bunge la ulaya?

kama siri na huyo shoga basi hatakuwa na siri.ukikaa na mwizi lazima uwe mwizi,ukikaa na mlevi basi utakuwa mlevi.ndio tatizo la usiri
 
Serikali wala Rais hawatakiwi kumjibu TL na nyie vibaraka wake kwa maneno matupu, ni kwa vitendo. CAG aliye sema TZS 1.5 hazijulikani matumizi yake, mlimtetea anakinga, sikaenda mwenyewe bungeni kuhojiwa. Katoa ripoti tusubiri PAC watoe walichogundua kuhusu huo wizi mnaoupigia debe hapa kila itwayo leo.

TL hatakiwi kujibiwa kwa maneno, huwezi shindana na mtu anayeongea kama cherahani na wakati mwengine bila kupima maneno ya kinywa chake, kautetea ushoga na wote tumesikia.

Serikali huyu ni kumongelesha kwa vitendo tu. Wanao mfadhili TL wanataka wamchokoze Rais wasikie anaongea nini na kujua msimamo wake. Kama Rais alivyo piga kimya issue ya CAG vivyo hivyo akae kimya Issue ya TL.

Bila ya ucheleweshaji wowote avuliwe Ubunge na anyang'anywe hati ya kusafiria ya Tanzania. Kumuachia huyu jamaa hati ni kumuachia zana ya kufanyia kazi kubomoa Taifa.
Eti vibaraka, skuizi kiswahili kimekua kigumu kwa wanao nyemelea ukuu wa wilaya, mnajikomba kwa wauwaji na watekaji, utu unawatoka sababu ya ukuu wa wilaya, eti asiijibu huyu uwezo wenyewe wa kujibu atapata wapi anachijua yeye ni kamata weka ndani, mgambo anapewa wadhfa wa kuongoza, matokeo ni hv vituko!
 
Eti vibaraka, skuizi kiswahili kimekua kigumu kwa wanao nyemelea ukuu wa wilaya, mnajikomba kwa wauwaji na watekaji, utu unawatoka sababu ya ukuu wa wilaya, eti asiijibu huyu uwezo wenyewe wa kujibu atapata wapi anachijua yeye ni kamata weka ndani, mgambo anapewa wadhfa wa kuongoza, matokeo ni hv vituko!

Kibiti ugaidi bado upo? Tuanzie hapo, maana ninavyojua yeye anajibu kwa vitendo si maneno mingimingi. Wafuasi wake na tunaomuunga mkono tunamjua tangu naibu waziri wa ujenzi maneno machache ya kilomita za barabara baada ya hapo ni vitendo vingi.
 
Kibiti ugaidi bado upo? Tuanzie hapo, maana ninavyojua yeye anajibu kwa vitendo si maneno mingimingi. Wafuasi wake na tunaomuunga mkono tunamjua tangu naibu waziri wa ujenzi maneno machache ya kilomita za barabara baada ya hapo ni vitendo vingi.
I cannot flog a dead horse!
 
Eti vibaraka, skuizi kiswahili kimekua kigumu kwa wanao nyemelea ukuu wa wilaya, mnajikomba kwa wauwaji na watekaji, utu unawatoka sababu ya ukuu wa wilaya, eti asiijibu huyu uwezo wenyewe wa kujibu atapata wapi anachijua yeye ni kamata weka ndani, mgambo anapewa wadhfa wa kuongoza, matokeo ni hv vituko!
Kamanda jikite kwenye hoja
 
Back
Top Bottom