CHADEMA Lake Zone imepotezwa na Uteuzi wa Dkt. Doto Biteko

CHADEMA Lake Zone imepotezwa na Uteuzi wa Dkt. Doto Biteko

Asalam,
Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana

1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K)
2. Kwenye Ongea lugha ya wananchi, usiongee lugha wanayoelewa, ongea lugha yao.

Kwa kanda ya ziwa CHADEMA wamefeli pakubwa. Kanda ya Ziwa kwa sehemu kubwa imerudi CCM kihamasa baada ya uteuzi huu wa juzi.

Makosa makubwa matatu ya CHADEMA wanayoendelea kuyafanya
1. Chama kimekaa, wakaamua kwenye vikao vyao kuwa waende wakahubiri Katiba mpya. Je ni suala la watanzani 60?
2. Kukosa consistency na political brain. TL anaenda Usukumani kumtukana Mtoto Pendwa Magufuli nyumbani kwao. Anatarajia nini ?
Hoja ya Bandari imeshindwa kujengwa vyema na political parties.

3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM.

CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA
Utoto wa akili inaonekana una raha sana, maana wala hata haihitaji kufikiria. Unaongea tu au unajifanyia basi.
 
Kwamba Biteko ameongeza bei ya pamba au ameshusha bei ya bidhaa? hizi propaganda mnazoandika kwenye simu zenu na kupost hapa jf ni tofauti kabisa na hali ilivyo mtaani, njoo hapa mwandoya ujionee halisi na huyo Biteko hata watu hawamjui anafahamika tu maeneo ya Bukombe.
Chadema watafanikiwa lake zone Ila waache kila wkt kumchafua shujaa magufuli, Ila kama Qatar delea kumtukana JPM utashangaa atakuwa popular lake zone yote
 
Asalam,
Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana

1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K)
2. Kwenye Ongea lugha ya wananchi, usiongee lugha wanayoelewa, ongea lugha yao.

Kwa kanda ya ziwa CHADEMA wamefeli pakubwa. Kanda ya Ziwa kwa sehemu kubwa imerudi CCM kihamasa baada ya uteuzi huu wa juzi.

Makosa makubwa matatu ya CHADEMA wanayoendelea kuyafanya
1. Chama kimekaa, wakaamua kwenye vikao vyao kuwa waende wakahubiri Katiba mpya. Je ni suala la watanzani 60?
2. Kukosa consistency na political brain. TL anaenda Usukumani kumtukana Mtoto Pendwa Magufuli nyumbani kwao. Anatarajia nini ?
Hoja ya Bandari imeshindwa kujengwa vyema na political parties.

3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM.

CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA
Magufuli mwenyewe ilisemakana amewamaliza cdm, lakini ilipokuja kipimo halisi Cha kukubalika kwake ambayo ni uchaguzi aikiishia kupora mchakato wa uchaguzi!
 
Magufuli mwenyewe ilisemakana amewamaliza cdm, lakini ilipokuja kipimo halisi Cha kukubalika kwake ambayo ni uchaguzi aikiishia kupora mchakato wa uchaguzi!
Kwanini CHADEMA huwa inaporwa ushindi kila mara? 1995, 2000, 2005, 2010, 2015, 2020, na itaporwa tena 2030, 2035
 
Asalam,
Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana

1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K)
2. Kwenye Ongea lugha ya wananchi, usiongee lugha wanayoelewa, ongea lugha yao.

Kwa kanda ya ziwa CHADEMA wamefeli pakubwa. Kanda ya Ziwa kwa sehemu kubwa imerudi CCM kihamasa baada ya uteuzi huu wa juzi.

Makosa makubwa matatu ya CHADEMA wanayoendelea kuyafanya
1. Chama kimekaa, wakaamua kwenye vikao vyao kuwa waende wakahubiri Katiba mpya. Je ni suala la watanzani 60?
2. Kukosa consistency na political brain. TL anaenda Usukumani kumtukana Mtoto Pendwa Magufuli nyumbani kwao. Anatarajia nini ?
Hoja ya Bandari imeshindwa kujengwa vyema na political parties.

3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM.

CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA
ukiondoa lisu na mbowe hakuna chademaTz.

wasipikuepo on scene au wasiopongea in public there is no chadema.

mfano sasa ivi si Lisu kapeleka report ng'ambo kwa mabeberu, hutaskia chochote had arudi.
 
Unadhani hatujui tofauti ya uchaguzi wa 2020 na nyingine za huko nyuma?
Za nyuma zilisaidia nini ? Kwani malengo ya CHADEMA kwenye chaguzi ni yapi? 2025 ?
 
ukiondoa lisu na mbowe hakuna chademaTz.

wasipikuepo on scene au wasiopongea in public there is no chadema.

mfano sasa ivi si Lisu kapeleka report ng'ambo kwa mabeberu, hutaskia chochote had arudi.
Mbona mnaiba uchaguzi hata sehemu ambayo Lisu na Mbowe hawapo? Huko ccm hadi leo kiongozi anayeonekana wa maana ni Nyerere, mengine yote ni majizi.
 
Asalam,
Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana

1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K)
2. Kwenye Ongea lugha ya wananchi, usiongee lugha wanayoelewa, ongea lugha yao.

Kwa kanda ya ziwa CHADEMA wamefeli pakubwa. Kanda ya Ziwa kwa sehemu kubwa imerudi CCM kihamasa baada ya uteuzi huu wa juzi.

Makosa makubwa matatu ya CHADEMA wanayoendelea kuyafanya
1. Chama kimekaa, wakaamua kwenye vikao vyao kuwa waende wakahubiri Katiba mpya. Je ni suala la watanzani 60?
2. Kukosa consistency na political brain. TL anaenda Usukumani kumtukana Mtoto Pendwa Magufuli nyumbani kwao. Anatarajia nini ?
Hoja ya Bandari imeshindwa kujengwa vyema na political parties.

3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM.

CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA
Mkuu kwa haya yanayoendelea nchini wahanga sio CHADEMA. Ni wewe na baba yako na watoto wako na wajukuu kama unao. Kama unafikiri CHADEMA kukosa umaarufu na kupot0ea kwenye siasa ni ufahari kwako hapo unakosea. CHADEMA haiwajibiki kuibadilisha nchi. Wewe na mimi ndiwo. Tusipopiga kelele sisi na kuibadilisha nchi basi tutaendelea kuishi maisha ya ufukara kwa karne zote zijazo.
 
Asalam,
Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana

1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K)
2. Kwenye Ongea lugha ya wananchi, usiongee lugha wanayoelewa, ongea lugha yao.

Kwa kanda ya ziwa CHADEMA wamefeli pakubwa. Kanda ya Ziwa kwa sehemu kubwa imerudi CCM kihamasa baada ya uteuzi huu wa juzi.

Makosa makubwa matatu ya CHADEMA wanayoendelea kuyafanya
1. Chama kimekaa, wakaamua kwenye vikao vyao kuwa waende wakahubiri Katiba mpya. Je ni suala la watanzani 60?
2. Kukosa consistency na political brain. TL anaenda Usukumani kumtukana Mtoto Pendwa Magufuli nyumbani kwao. Anatarajia nini ?
Hoja ya Bandari imeshindwa kujengwa vyema na political parties.

3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM.

CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA

Kwani ya Umeme ameyamaliza?

Mgao wa umeme unaivua nguo serikali
 
Mbona mnaiba uchaguzi hata sehemu ambayo Lisu na Mbowe hawapo? Huko ccm hadi leo kiongozi anayeonekana wa maana ni Nyerere, mengine yote ni majizi.
ngoja tumsubiri kibaraka atuambie mabeberu safari hii yamemwambia atumie staili gani maana ile ya kulala barabarani haijamake, halafu ndio tutoe maelezo ya kina kuhusu malalamiko yako ya muda mrefu
 
Asalam,
Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana

1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K)
2. Kwenye Ongea lugha ya wananchi, usiongee lugha wanayoelewa, ongea lugha yao.

Kwa kanda ya ziwa CHADEMA wamefeli pakubwa. Kanda ya Ziwa kwa sehemu kubwa imerudi CCM kihamasa baada ya uteuzi huu wa juzi.

Makosa makubwa matatu ya CHADEMA wanayoendelea kuyafanya
1. Chama kimekaa, wakaamua kwenye vikao vyao kuwa waende wakahubiri Katiba mpya. Je ni suala la watanzani 60?
2. Kukosa consistency na political brain. TL anaenda Usukumani kumtukana Mtoto Pendwa Magufuli nyumbani kwao. Anatarajia nini ?
Hoja ya Bandari imeshindwa kujengwa vyema na political parties.

3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM.

CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA
Usatile Nyanda

Huku Home Simiyu wote ni Nyekundu blue black people's!!!!
 
Back
Top Bottom