CHADEMA Lake Zone imepotezwa na Uteuzi wa Dkt. Doto Biteko

CHADEMA Lake Zone imepotezwa na Uteuzi wa Dkt. Doto Biteko

Why chadema na sio ACT,CUF and the like
Tunaiongelea CHADEMA kwa sababu walau ndio Chama kinachoonyesha mwelekeo. Sasa kukiboresha lazima kipigwe mawe na ngumi ili kitoke kilipo. Miaka 33 sasa lkn hakioneshi mwelekeo.
Chadema kwa sasa inaelekea kuwa kama CUF. Kmepoteza UTAASISI uliokuwepo wakati wa akina Mzee Bomani, Dr. Slaa, Prof. Mwesiga, Prof . Safari etc. Ni kama kimebaki na wahuni vijana wasiojua wanajenga nini?
1. Wanalalamika lalamika bila hoja madhubuti.
2. Wamekuwa watu wa matukio. Hivyo kupoteza long time goals
3. Wamepoteza credibility ya kupambana na ufisidi kwa tamaa ya kuwaleta El na Sumae,
Pokeeni kwa jicho chanya haya mawe
 
Tunaiongelea CHADEMA kwa sababu walau ndio Chama kinachoonyesha mwelekeo. Sasa kukiboresha lazima kipigwe mawe na ngumi ili kitoke kilipo. Miaka 33 sasa lkn hakioneshi mwelekeo.
Chadema kwa sasa inaelekea kuwa kama CUF. Kmepoteza UTAASISI uliokuwepo wakati wa akina Mzee Bomani, Dr. Slaa, Prof. Mwesiga, Prof . Safari etc. Ni kama kimebaki na wahuni vijana wasiojua wanajenga nini?
1. Wanalalamika lalamika bila hoja madhubuti.
2. Wamekuwa watu wa matukio. Hivyo kupoteza long time goals
3. Wamepoteza credibility ya kupambana na ufisidi kwa tamaa ya kuwaleta El na Sumae,
Pokeeni kwa jicho chanya haya mawe
Wasomi na wazalendo hawatulii kbs huko CDM wanabaguliwa mtu akiwa wa kanda ya xiwa Tu anaanza kuitwa mhutu eti,wkt huo huo hawajawahi kuona kosa hata moja la mwamba WA machame
 
Asalam,
Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana

1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K)
2. Kwenye Ongea lugha ya wananchi, usiongee lugha wanayoelewa, ongea lugha yao.

Kwa kanda ya ziwa CHADEMA wamefeli pakubwa. Kanda ya Ziwa kwa sehemu kubwa imerudi CCM kihamasa baada ya uteuzi huu wa juzi.

Makosa makubwa matatu ya CHADEMA wanayoendelea kuyafanya
1. Chama kimekaa, wakaamua kwenye vikao vyao kuwa waende wakahubiri Katiba mpya. Je ni suala la watanzani 60?
2. Kukosa consistency na political brain. TL anaenda Usukumani kumtukana Mtoto Pendwa Magufuli nyumbani kwao. Anatarajia nini ?
Hoja ya Bandari imeshindwa kujengwa vyema na political parties.

3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM.

CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA
Wewe mtoa post ndio umekwisha
 
Ni sehemu gani ya wachimbaji wadogo wa Dhabi ditto Hana mashimo?
 
Back
Top Bottom