CHADEMA Lake Zone imepotezwa na Uteuzi wa Dkt. Doto Biteko

CHADEMA Lake Zone imepotezwa na Uteuzi wa Dkt. Doto Biteko

Asalam,
Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana

1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K)
2. Kwenye Ongea lugha ya wananchi, usiongee lugha wanayoelewa, ongea lugha yao.

Kwa kanda ya ziwa CHADEMA wamefeli pakubwa. Kanda ya Ziwa kwa sehemu kubwa imerudi CCM kihamasa baada ya uteuzi huu wa juzi.

Makosa makubwa matatu ya CHADEMA wanayoendelea kuyafanya
1. Chama kimekaa, wakaamua kwenye vikao vyao kuwa waende wakahubiri Katiba mpya. Je ni suala la watanzani 60?
2. Kukosa consistency na political brain. TL anaenda Usukumani kumtukana Mtoto Pendwa Magufuli nyumbani kwao. Anatarajia nini ?
Hoja ya Bandari imeshindwa kujengwa vyema na political parties.

3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM.

CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA
Kwa taarifa yako huyu unayemuita Dotto Biteko hajulikani kabisa huku labda pale kwenu.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Mmeishiwa mmebaki kuita watu majina. Kibaraka ni yule anayeuza bandari na kukodisha Ngorongoro kwa kuwafukuza raia wake.
kinyooooongeeee sana 🤣. relax bana.
the puppet anarud soon, report amesabmit Jana tayari
 
Kanda ya ziwa n wakabila sana ...lkn bwana dotto sio ngosha sema wajnga wanajua n ngosha..... anyway time wl tel
Ni kwa msukuma yupi uliigia kwake akashindwa kukupa chakula, kisa wewe ni mmachame?
 
ngoja tumsubiri kibaraka atuambie mabeberu safari hii yamemwambia atumie staili gani maana ile ya kulala barabarani haijamake, halafu ndio tutoe maelezo ya kina kuhusu malalamiko yako ya muda mrefu
Irrelevant.
 
Asalam,
Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana

1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K)
2. Kwenye Ongea lugha ya wananchi, usiongee lugha wanayoelewa, ongea lugha yao.

Kwa kanda ya ziwa CHADEMA wamefeli pakubwa. Kanda ya Ziwa kwa sehemu kubwa imerudi CCM kihamasa baada ya uteuzi huu wa juzi.

Makosa makubwa matatu ya CHADEMA wanayoendelea kuyafanya
1. Chama kimekaa, wakaamua kwenye vikao vyao kuwa waende wakahubiri Katiba mpya. Je ni suala la watanzani 60?
2. Kukosa consistency na political brain. TL anaenda Usukumani kumtukana Mtoto Pendwa Magufuli nyumbani kwao. Anatarajia nini ?
Hoja ya Bandari imeshindwa kujengwa vyema na political parties.

3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM.

CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA
Hakuna kitu na Lissu na Mbowe wamepikekelewa na kyshangiliwa sana Chato na kanda yote ya ziwa. Chadema inatisha sana kwa CCM.
 
Kwenye pointi yako namba mbili nakubaliana na wewe mia kwa mia.
Kumnanga Dr John Pombe Magufuli ni kosa kubwa sana chama ilifanya hata mimi niliwahi kuwashauri humu.
 
Asalam,
Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana

1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K)
2. Kwenye Ongea lugha ya wananchi, usiongee lugha wanayoelewa, ongea lugha yao.

Kwa kanda ya ziwa CHADEMA wamefeli pakubwa. Kanda ya Ziwa kwa sehemu kubwa imerudi CCM kihamasa baada ya uteuzi huu wa juzi.

Makosa makubwa matatu ya CHADEMA wanayoendelea kuyafanya
1. Chama kimekaa, wakaamua kwenye vikao vyao kuwa waende wakahubiri Katiba mpya. Je ni suala la watanzani 60?
2. Kukosa consistency na political brain. TL anaenda Usukumani kumtukana Mtoto Pendwa Magufuli nyumbani kwao. Anatarajia nini ?
Hoja ya Bandari imeshindwa kujengwa vyema na political parties.

3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM.

CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA
Wakati unakuja mtapoteana!! Na hapo ndo mtaujua ukweli mkiwa mmeshaumia
 
Asalam,
Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana

1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K)
2. Kwenye Ongea lugha ya wananchi, usiongee lugha wanayoelewa, ongea lugha yao.

Kwa kanda ya ziwa CHADEMA wamefeli pakubwa. Kanda ya Ziwa kwa sehemu kubwa imerudi CCM kihamasa baada ya uteuzi huu wa juzi.

Makosa makubwa matatu ya CHADEMA wanayoendelea kuyafanya
1. Chama kimekaa, wakaamua kwenye vikao vyao kuwa waende wakahubiri Katiba mpya. Je ni suala la watanzani 60?
2. Kukosa consistency na political brain. TL anaenda Usukumani kumtukana Mtoto Pendwa Magufuli nyumbani kwao. Anatarajia nini ?
Hoja ya Bandari imeshindwa kujengwa vyema na political parties.

3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM.

CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA

Akili za kuvuka barabara hizi
 
Eti kila kiongozi huku usukumani akitokea chadema (wa machame) huwa wanaanza kusema eti mhutu, ni roho mbaya sana chuki
 
Asalam,
Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana

1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K)
2. Kwenye Ongea lugha ya wananchi, usiongee lugha wanayoelewa, ongea lugha yao.

Kwa kanda ya ziwa CHADEMA wamefeli pakubwa. Kanda ya Ziwa kwa sehemu kubwa imerudi CCM kihamasa baada ya uteuzi huu wa juzi.

Makosa makubwa matatu ya CHADEMA wanayoendelea kuyafanya
1. Chama kimekaa, wakaamua kwenye vikao vyao kuwa waende wakahubiri Katiba mpya. Je ni suala la watanzani 60?
2. Kukosa consistency na political brain. TL anaenda Usukumani kumtukana Mtoto Pendwa Magufuli nyumbani kwao. Anatarajia nini ?
Hoja ya Bandari imeshindwa kujengwa vyema na political parties.

3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM.

CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA
Magufulists chadema haitupi tabu ila wanaotupa mashaka ni wahuni waliyoteka ccm na kuzima mwendo wa kimapinduzi wa chama. Samia kumeweka pale biteko hatujaelewa nia yake. Biteko ni mtu mwendo wa kimagufuli. Mwenyewe samia hatumuhitaji tunamuona hatari.
 
Asalam,
Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana

1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K)
2. Kwenye Ongea lugha ya wananchi, usiongee lugha wanayoelewa, ongea lugha yao.

Kwa kanda ya ziwa CHADEMA wamefeli pakubwa. Kanda ya Ziwa kwa sehemu kubwa imerudi CCM kihamasa baada ya uteuzi huu wa juzi.

Makosa makubwa matatu ya CHADEMA wanayoendelea kuyafanya
1. Chama kimekaa, wakaamua kwenye vikao vyao kuwa waende wakahubiri Katiba mpya. Je ni suala la watanzani 60?
2. Kukosa consistency na political brain. TL anaenda Usukumani kumtukana Mtoto Pendwa Magufuli nyumbani kwao. Anatarajia nini ?
Hoja ya Bandari imeshindwa kujengwa vyema na political parties.

3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM.

CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unateseka buree…
 
Asalam,
Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana

1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K)
2. Kwenye Ongea lugha ya wananchi, usiongee lugha wanayoelewa, ongea lugha yao.

Kwa kanda ya ziwa CHADEMA wamefeli pakubwa. Kanda ya Ziwa kwa sehemu kubwa imerudi CCM kihamasa baada ya uteuzi huu wa juzi.

Makosa makubwa matatu ya CHADEMA wanayoendelea kuyafanya
1. Chama kimekaa, wakaamua kwenye vikao vyao kuwa waende wakahubiri Katiba mpya. Je ni suala la watanzani 60?
2. Kukosa consistency na political brain. TL anaenda Usukumani kumtukana Mtoto Pendwa Magufuli nyumbani kwao. Anatarajia nini ?
Hoja ya Bandari imeshindwa kujengwa vyema na political parties.

3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM.

CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA
Why chadema na sio ACT,CUF and the like
 
Asalam,
Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana

1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K)
2. Kwenye Ongea lugha ya wananchi, usiongee lugha wanayoelewa, ongea lugha yao.

Kwa kanda ya ziwa CHADEMA wamefeli pakubwa. Kanda ya Ziwa kwa sehemu kubwa imerudi CCM kihamasa baada ya uteuzi huu wa juzi.

Makosa makubwa matatu ya CHADEMA wanayoendelea kuyafanya
1. Chama kimekaa, wakaamua kwenye vikao vyao kuwa waende wakahubiri Katiba mpya. Je ni suala la watanzani 60?
2. Kukosa consistency na political brain. TL anaenda Usukumani kumtukana Mtoto Pendwa Magufuli nyumbani kwao. Anatarajia nini ?
Hoja ya Bandari imeshindwa kujengwa vyema na political parties.

3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM.

CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA
Da!

Wewe ni 'busar'!

Haya ni mawazo ya ajabu sana uliyoweka hapa.
Ninakubaliana nawe kwenye namba 1 na namba 2, (za mwanzo), kabla hujaanza kuharisha chini yake.; unakokuita wewe "Makosa makubwa matatu...).

Mtu na akili timamu utaanzia wapi kuufanya uteuzi wa mtu mmoja, tena mtu asiyekuwa naushawishi wowote katika jamii kuwa ndio utawafanya watu wasahau uchafu wote unaoendelea ndani ya chama cha CCM?

Hili pekee linakuondolea sifa hata ya kuanzisha mada iliyo juu ya uwezo wako kama hii.
 
Kwa taarifa yako huyu unayemuita Dotto Biteko hajulikani kabisa huku labda pale kwenu.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Umesema kweli kabisa
Kuna ukoo Jiwe aliufuta futa wasomi Waziri wa kisukuma maenginia namkubuka moja alikuwa Mkurugenzi Jiji Mwanza akawa Mbunge ule ukoo Jiwe aliupotezea wapi?

Hata Joka la Makengeza Jiwe aliminya!!
 
Asalam,
Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana

1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K)
2. Kwenye Ongea lugha ya wananchi, usiongee lugha wanayoelewa, ongea lugha yao.

Kwa kanda ya ziwa CHADEMA wamefeli pakubwa. Kanda ya Ziwa kwa sehemu kubwa imerudi CCM kihamasa baada ya uteuzi huu wa juzi.

Makosa makubwa matatu ya CHADEMA wanayoendelea kuyafanya
1. Chama kimekaa, wakaamua kwenye vikao vyao kuwa waende wakahubiri Katiba mpya. Je ni suala la watanzani 60?
2. Kukosa consistency na political brain. TL anaenda Usukumani kumtukana Mtoto Pendwa Magufuli nyumbani kwao. Anatarajia nini ?
Hoja ya Bandari imeshindwa kujengwa vyema na political parties.

3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM.

CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA
Chawa akiwa kazini
 
Siasa za kikanda na Kingpin zinawezekana Kenya tu wacha ujinga. Kenya ndio kuna watu ni Kingpin na asemaji wa Kabila fulani, Mfano Kalonzo Musyoka ni Kingpin wa Wakamba wote
Tayari tumeshaingia huko, mkuu tuliza mshono, acha mama arekebishe nchi, tulisharudi nyuma karibu muongo mmoja, hapo nakubaliana na Jenerali Ulimwengu.
 
Back
Top Bottom