Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Mkuu Huyo ana umwa UrundiMkoa wa Geita wenyewe kuna Majimbo yataenda CHADEMA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Huyo ana umwa UrundiMkoa wa Geita wenyewe kuna Majimbo yataenda CHADEMA.
Wewe mjinga Sana kwanini nyie mnawaogopa hivi wasukumu kwenye siasa? Kila siku utasikia mhutu hivyo kbsYule ni mhutu.
Kwahiyo Mbowe ndiyo MtanzaniaYule ni mhutu.
Hivi shetani Magufuli ni jitu la kulithamini kweli? Bila shaka unatania!Kwanini Mbowe haachi kumtukana JPM ? Bora kuhadaiwa Dotto kuliko kuhadaiwa na Mbowe
Mbowe hawezi kuwa Rais kama JPMHivi shetani Magufuli ni jitu la kulithamini kweli? Bila shaka unatania!
Ni heri kuliko lile jambazi shetani mkubwa kuendelea kuwa hai!Mbowe hawezi kuwa Rais kama JPM
Wewe bwege hata mimi ni Msukuma,tafuta hoja nyingine hii imebuma kitambo sana.Wewe mjinga Sana kwanini nyie mnawaogopa hivi wasukumu kwenye siasa? Kila siku utasikia mhutu hivyo kbs
Mbowe hawezi kuwa Rais tapeli yule, subiri Dotto Biteko Msukuma ndg yake JPM akuletee umeme na mafuta pimbi wewNi heri kuliko lile jambazi shetani mkubwa kuendelea kuwa hai!
Mbona unamtajataja sana huyu mwamba unataka akuwowe?Kwahiyo Mbowe ndiyo Mtanzania
Wew ni mchagga Bana Acha kujishaua tunawajua vzrWewe bwege hata mimi ni Msukuma,tafuta hoja nyingine hii imebuma kitambo sana.
Nguruwe 🐖 wewe kwanza Biteko hana undugu na lile shetani!Mbowe hawezi kuwa Rais tapeli yule, subiri Dotto Biteko Msukuma ndg yake JPM akuletee umeme na mafuta pimbi wew
Lakini Dotto siyo mchagga freshNguruwe [emoji241] wewe kwanza Biteko hana undugu na lile shetani!
Na ndiyo maana hatudanganyiki na huu mchezo wa CCM wakifikiri tutasahau sakata la bandari na Ngorongoro kwa kumpa Doto kilemba cha ukoka.Wasukuma wanaakili Sana
Yule mshamba!Lakini Dotto siyo mchagga fresh
Naona unatafuta bwana kwa nguvu,mimi nina wake watatu wananitosha.Wew ni mchagga Bana Acha kujishaua tunawajua vzr
Hamna kitu ,why mnamdangaya uyu mama why,si mwambieni ukweliAsalam,
Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana
1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K)
2. Kwenye Ongea lugha ya wananchi, usiongee lugha wanayoelewa, ongea lugha yao.
Kwa kanda ya ziwa CHADEMA wamefeli pakubwa. Kanda ya Ziwa kwa sehemu kubwa imerudi CCM kihamasa baada ya uteuzi huu wa juzi.
Makosa makubwa matatu ya CHADEMA wanayoendelea kuyafanya
1. Chama kimekaa, wakaamua kwenye vikao vyao kuwa waende wakahubiri Katiba mpya. Je ni suala la watanzani 60?
2. Kukosa consistency na political brain. TL anaenda Usukumani kumtukana Mtoto Pendwa Magufuli nyumbani kwao. Anatarajia nini ?
Hoja ya Bandari imeshindwa kujengwa vyema na political parties.
3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM.
CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA
Umetema madini matupu!Asalam,
Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana
1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K)
2. Kwenye Ongea lugha ya wananchi, usiongee lugha wanayoelewa, ongea lugha yao.
Kwa kanda ya ziwa CHADEMA wamefeli pakubwa. Kanda ya Ziwa kwa sehemu kubwa imerudi CCM kihamasa baada ya uteuzi huu wa juzi.
Makosa makubwa matatu ya CHADEMA wanayoendelea kuyafanya
1. Chama kimekaa, wakaamua kwenye vikao vyao kuwa waende wakahubiri Katiba mpya. Je ni suala la watanzani 60?
2. Kukosa consistency na political brain. TL anaenda Usukumani kumtukana Mtoto Pendwa Magufuli nyumbani kwao. Anatarajia nini ?
Hoja ya Bandari imeshindwa kujengwa vyema na political parties.
3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM.
CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA
Unawashwa.Asalam,
Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana
1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K)
2. Kwenye Ongea lugha ya wananchi, usiongee lugha wanayoelewa, ongea lugha yao.
Kwa kanda ya ziwa CHADEMA wamefeli pakubwa. Kanda ya Ziwa kwa sehemu kubwa imerudi CCM kihamasa baada ya uteuzi huu wa juzi.
Makosa makubwa matatu ya CHADEMA wanayoendelea kuyafanya
1. Chama kimekaa, wakaamua kwenye vikao vyao kuwa waende wakahubiri Katiba mpya. Je ni suala la watanzani 60?
2. Kukosa consistency na political brain. TL anaenda Usukumani kumtukana Mtoto Pendwa Magufuli nyumbani kwao. Anatarajia nini ?
Hoja ya Bandari imeshindwa kujengwa vyema na political parties.
3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM.
CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA
CHADEMA wanakimbia mijadala rasmi, tena ya watu wa level zao. Wao wangepambana kupata kupata nafasi ya presentations hata mbili kwenye kongamano.Umetema madini matupu!
Kusema kweli nami nilishangazwa sana kwa kitendo cha Lisu kwenda kumnanga Magufuli Usukumani!
Kitendo hicho kimeishushia Chadema credit pakubwa!
Nikawa najiuliza huu uroporopo anadhani anawafurahisha wafiwa!
Kumtukana Magufuli kanda ya ziwa ni sawa na kumtukana mtume!
Hili la Dotto Biteko litainyenyua Ccm ilipokwama iwapo tu atawaondolea kero wananchi kwa matendo ya uongozi wake.
Kama utendaji wake utakuwa ni wa kupiga siasa za kipole na kistaarabu kama vile anahubiri enjili kwa kuwaonea haya mafisadi waliolikwamisha Taifa, ndiyo atazidi kuichimbia kaburi Ccm.
Kosa jingine kubwa wanalolifanya Chadema ni kuendeleza ideology yao ya kususia vikao, kwa mfano wa hiki cha wadau wa siasa, hawakuwa na mantiki ya kufanya hivyo.
Ilitakiwa wakapambanue hoja zao pale, ingelipendeza sana .
Halafu la mwisho kwa Chadema, waondoe udikteta na ukiritimba wao katika uongozi wa chama kitaifa.
Kama wana nia ya kweli ya mabadiliko, ziwekwe sura mpya safu ya juu zitakazokubalika kwa wananchi kuuonesha umma thamani halisi ya demokrasia.
Wakiendelea kuongoza wao tu miaka na miaka kimakame nguvu, kwa kadri siku zinavyokwenda, kitashuka popularity na kubakia chama cha kugawania ruzuku kama vyama vingine vya upinzani vilivyo hivi sasa.