Uchaguzi 2020 CHADEMA: Matukio ya Chato, Kahama yanatishia usalama wa Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 CHADEMA: Matukio ya Chato, Kahama yanatishia usalama wa Tundu Lissu

Yaani mfa maji kweli haishi kutapatapa. Maji yako shingoni TAL anatafuta njia tuu ya kuleta vurugu. Waliochoma nyumba huko Arusha ni wao wao ili kutaka vurugu ianze. Hatudanganyiki. TAL na kundi lake mwageni sera zenu za nini mtafanya mkipata dola. Msiendelee kutafuta huruma kwa wananchi. Anayetafutwa hapa ni Rais atakayewaletea maendeleo Watanzania; na siyo anayelialia akitafuta huruma. Tueleze utatufanyia nini zaidi ya tulichopata kwa JPJM.
Na nyumba ya mgombea ubunge Chato wamevunja chadema? Mbona mnajifanya wapofu na kutetea uhalifu kwasababu unawaathiri
 
Chadema mbona hamchukui hatua? Au mnakwepa mtego wa fisiemu?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Anaetakiwa kuchukua hatua ni vyombo vya ulinzi na usalama,.kumbuka chadema wahana dola, wao wanatakiwa kutoa taarifa kwa vyombo husika then vyombo husika vichukue hatua
Ila kwa kua Dola imewekwa mfukoni na mtu fulani, hakuna hatua yoyote itakayochukuliwa
 
Meku, mimi nashangaa kwanini afanyiwe figisu kama safari yake ni halali!

Dunia ishaona Chadema ishauriwe kwenda mji unaofuata
Huu ni ushahidi tosha Kwani taarifa za mgambo “interahamwe “ kwa Kigezo Cha kumlinda zinajukikana kuwa wako porini chato wanapewa mafunzo
Leo Kila mtu amewaona
Huwezi kukataaa watu wasipige kampeni kijijini kwako
Kikwete alikua anapondwa na dr slaaa juu ya kuwe na nyumba nzuri kijijini huku Majirani ni maskini Lakini alimuacha anafanya kampeni hadi nyumbani kwake Msoga
 
Nec ya CCM inayo ng'ata upande mmoja tu !!!.Mbona hauulizi na upande wa pili Ratiba ina vurugwa na hatuioni hiyo NecCCM ikijitokeza !?.Mh Magufuli anasimama popote na anafanya lolote na habugudhiwi ,Raia kwa mapenzi yao wana msindikiza Mgombea wao kwenda Hotel mnawa shambulia.Nna sikitika Wapinzani Nchi hii kuchukiwa na kuchukuliwa kama maadui na Dola inayoongozwa na CCM,dola inayotakiwa kukaa katikati.
kwan TAL ye ni nani hadi sheria imuogope
kampeni zinaisha sa12
Mikusanyiko/maandamano usiku bila kibali ni kosa na mnalijua hilo
sasa n kwa nn muwaweke hao watu hadi sa2 usuku?

ndo maana nawambia acheni upumbavu wa kimakisudi chama sio nyinyi pekeyenu 👎
 
Yaani mfa maji kweli haishi kutapatapa. Maji yako shingoni TAL anatafuta njia tuu ya kuleta vurugu. Waliochoma nyumba huko Arusha ni wao wao ili kutaka vurugu ianze. Hatudanganyiki. TAL na kundi lake mwageni sera zenu za nini mtafanya mkipata dola. Msiendelee kutafuta huruma kwa wananchi. Anayetafutwa hapa ni Rais atakayewaletea maendeleo Watanzania; na siyo anayelialia akitafuta huruma. Tueleze utatufanyia nini zaidi ya tulichopata kwa JPJM.
MKUU UKO SAHIHI HATA LEO WAMEJIPIGA MAWE WENYEWE, NI WAO PIA WALIMPIGA RISASI LISSU, ILA MPAKA LEO CCM NA SERIKALI YAKE INAOGOPA KUWAKAMATA WAUAJI.
 
kwan TAL ye ni nani hadi sheria imuogope

kampeni zinaisha sa12
Mikusanyiko/maandamano usiku bila kibali ni kosa na mnalijua hilo
sasa n kwa nn muwaweke hao watu hadi sa2 usuku?

ndo maana nawambia acheni upumbavu wa kimakisudi chama sio nyinyi pekeyenu 👎

Sawa Mkuu.
 
1. Ni jambo zuri kuzitahadharisha mamlaka ili zichukue hatua

2. Lakini lazima mfahamu kuwa hiyo ni mikakati inayoratibiwa na dola yenyewe chini ya maRC na maDC kwa baraka zote za NEC

3. Wanafanya hivyo, ili kuipa hoja CCM na mgombea wao ambaye hana kibali kwa UMMA na kwa MUNGU kuongoza nchi, kusema "....mnaona amefika Chato kazomewa kwa sababu hawamtaki..."

USHAURI:

¶ There's no going back. Lazima mapambano yaendelee. Kama wanataka kuleta fujo, waanzishe hiyo fujo, SISI TUTAIMALIZA!!

¶ Mgombea Urais, Tundu Lissu lazima afike kila sehemu na afanye mikutano yake kulingana na ratiba!!

¶ Imesemwa na inasemwa sana na mgombea Urais wetu Mh. Tundu Lissu, kuwa kuikomboa nchi toka kwa manyang'au CCM na vibaraka wao is not an easier job, kuwanyang'anya dola hawa inahitaji kulipa huge price..

Gharama yenyewe ndiyo hii..!!

Adui yuko desperate. Anaitetea pumzi yake ya mwisho. Hawezi ku - survive. Amechoka. Yuko tayari ku - surrender. ALUTA CONTINUA...

Naona unaleta harakati za migomo ya wanafunzi chuoni kwenye maisha halisi ya mtaani. Lissu is doomed kama hatabadilika na kujiongeza. Akiendelea kufuata ushauri kama huu wako sijui.
 
1. Ni jambo zuri kuzitahadharisha mamlaka ili zichukue hatua

2. Lakini lazima mfahamu kuwa hiyo ni mikakati inayoratibiwa na dola yenyewe chini ya maRC na maDC kwa baraka zote za NEC

3. Wanafanya hivyo, ili kuipa hoja CCM na mgombea wao ambaye hana kibali kwa UMMA na kwa MUNGU kuongoza nchi, kusema "....mnaona amefika Chato kazomewa kwa sababu hawamtaki..."

USHAURI:

¶ There's no going back. Lazima mapambano yaendelee. Kama wanataka kuleta fujo, waanzishe hiyo fujo, SISI TUTAIMALIZA!!

¶ Mgombea Urais, Tundu Lissu lazima afike kila sehemu na afanye mikutano yake kulingana na ratiba!!

¶ Imesemwa na inasemwa sana na mgombea Urais wetu Mh. Tundu Lissu, kuwa kuikomboa nchi toka kwa manyang'au CCM na vibaraka wao is not an easier job, kuwanyang'anya dola hawa inahitaji kulipa huge price..

Gharama yenyewe ndiyo hii..!!

Adui yuko desperate. Anaitetea pumzi yake ya mwisho. Hawezi ku - survive. Amechoka. Yuko tayari ku - surrender. ALUTA CONTINUA...
28october ndio utajua hana kibali au anakibali
 
Yaani mfa maji kweli haishi kutapatapa. Maji yako shingoni TAL anatafuta njia tuu ya kuleta vurugu. Waliochoma nyumba huko Arusha ni wao wao ili kutaka vurugu ianze. Hatudanganyiki. TAL na kundi lake mwageni sera zenu za nini mtafanya mkipata dola. Msiendelee kutafuta huruma kwa wananchi. Anayetafutwa hapa ni Rais atakayewaletea maendeleo Watanzania; na siyo anayelialia akitafuta huruma. Tueleze utatufanyia nini zaidi ya tulichopata kwa JPJM.
Anaetapatapa unamjua lkn? Lissu ameshashinda tayari my friend
 
Yaani mfa maji kweli haishi kutapatapa. Maji yako shingoni TAL anatafuta njia tuu ya kuleta vurugu. Waliochoma nyumba huko Arusha ni wao wao ili kutaka vurugu ianze. Hatudanganyiki. TAL na kundi lake mwageni sera zenu za nini mtafanya mkipata dola. Msiendelee kutafuta huruma kwa wananchi. Anayetafutwa hapa ni Rais atakayewaletea maendeleo Watanzania; na siyo anayelialia akitafuta huruma. Tueleze utatufanyia nini zaidi ya tulichopata kwa JPJM.
Kwendraàa..
 
acheni mambo ya kipumbavu kufanya mambo kwa makusudi
mnasababisha watu wasio hatia kuumia sababu ya upuuzi wenu
"kupuuza sheria kuhusu mikusanyiko"

hovyo sana nyie watu.
Mzee wako angepiga nyeto huu utopolo usingepata nafasi hapa jukwaani.
 
Anaetapatapa unamjua lkn? Lissu ameshashinda tayari my friend

Ameshinda wapi? 28/10 simbali usikimbie hapa baada ya matokeo. Mbaya zaidi Ubeligiji hawapokei mkimbizi aliye shindwa uchaguzi kwa aibu kubwa na wala hatabembelezwa kama hivi. Kubembelezwa kwake kote huku ni ili malengo ya uchaguzi ya timie kwanza na baada ya uchaguzi ni tathimini na kusahihisha makosa
 
Dunia ishaona Chadema ishauriwe kwenda mji unaofuata
Huu ni ushahidi tosha Kwani taarifa za mgambo “interahamwe “ kwa Kigezo Cha kumlinda zinajukikana kuwa wako porini chato wanapewa mafunzo
Leo Kila mtu amewaona
Huwezi kukataaa watu wasipige kampeni kijijini kwako
Kikwete alikua anapondwa na dr slaaa juu ya kuwe na nyumba nzuri kijijini huku Majirani ni maskini Lakini alimuacha anafanya kampeni hadi nyumbani kwake Msoga

Mkome wana chato wame wanyoosha hahaha
 
Kilichotokea chato Leo ni aibu kwa rais maghufuli, je kila mgombea kwao akipata watu wakufanya vurugu patatosha? Leo nimeamini hatuna rais Bali mtu mwenye dhamira mbaya kwa taif letu

Mtajuwa wenyewe mmepigwa na wapiga kura wenu msimuhusishe Rais na upumbavu wenu
 
Back
Top Bottom