NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Dakika za majerui akuna kucheka na nyani,ni kichapo tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wanachukua hatua za kula ruzuku, michango ya wabunge na kunywa faru John..!?. Mbowe na genge lake watachukua hatua gani,vibaraka hao. Wananchi wazalendo tumechoka na upunguani wenu.Chadema mbona hamchukui hatua? Au mnakwepa mtego wa fisiemu?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Magufuli usukuma wake unawalakiniMagufuli aloenda Ikungi alikozaliwa Lisu na anafanya mkutano kwa amani kabisa bila kisasi Cha wenyeji Pamoja na kuwaambia mtoto wao ajitoe kugombea urais Amuunge mkono atampa kazi “ndogo ndogo “
Leo hii Kwenye kijiji chake anaweka interahamwe wamdhuru mwenzake
Mbona wasukuma huwa hawako hivyo ?
Nimelikosa ni tusi linalokufaa ila umenielewa.Yaani mfa maji kweli haishi kutapatapa. Maji yako shingoni TAL anatafuta njia tuu ya kuleta vurugu. Waliochoma nyumba huko Arusha ni wao wao ili kutaka vurugu ianze. Hatudanganyiki. TAL na kundi lake mwageni sera zenu za nini mtafanya mkipata dola. Msiendelee kutafuta huruma kwa wananchi. Anayetafutwa hapa ni Rais atakayewaletea maendeleo Watanzania; na siyo anayelialia akitafuta huruma. Tueleze utatufanyia nini zaidi ya tulichopata kwa JPJM.
IGP kama kweli yuko serious basi aanze na hao WAHUNI WA CCM, hayo MAGENGE ndio yatakayotumika pia kupora nakala za matokeo kwa Mawakala kama ambavyo walifanya kwa Wagombea Ubunge na Udiwani. This is a failed Government, Magufuli must go.Je kwa nini wafanye haya mbele ya polisi?
Tangu lini umemsikia Magufuli akitukana na kubeza hawa vibaraka?. Mwache achezee, ndio atie adabu huyo bwabwaMagufuli aloenda Ikungi alikozaliwa Lisu na anafanya mkutano kwa amani kabisa bila kisasi Cha wenyeji Pamoja na kuwaambia mtoto wao ajitoe kugombea urais Amuunge mkono atampa kazi “ndogo ndogo “
Leo hii Kwenye kijiji chake anaweka interahamwe wamdhuru mwenzake
Mbona wasukuma huwa hawako hivyo ?
IGP kama kweli yuko serious basi aanze na hao WAHUNI WA CCM, hayo MAGENGE ndio yatakayotumika pia kupora nakala za matokeo kwa Mawakala kama ambavyo walifanya kwa Wagombea Ubunge na Udiwani. This is a failed Government, Magufuli must go.Mkome wana chato wame wanyoosha hahaha
pumbaaaYaani mfa maji kweli haishi kutapatapa. Maji yako shingoni TAL anatafuta njia tuu ya kuleta vurugu. Waliochoma nyumba huko Arusha ni wao wao ili kutaka vurugu ianze. Hatudanganyiki. TAL na kundi lake mwageni sera zenu za nini mtafanya mkipata dola. Msiendelee kutafuta huruma kwa wananchi. Anayetafutwa hapa ni Rais atakayewaletea maendeleo Watanzania; na siyo anayelialia akitafuta huruma. Tueleze utatufanyia nini zaidi ya tulichopata kwa JPJM.
upumbavu tupuNaona unaleta harakati za migomo ya wanafunzi chuoni kwenye maisha halisi ya mtaani. Lissu is doomed kama hatabadilika na kujiongeza. Akiendelea kufuata ushauri kama huu wako sijui.
Nyie CHADEMA nchi hii ni salama sana na mkileta upuuzi wenu wa kutaka kuchafua amani hasa kipindi hiki mtapigwa tu hakuna namna na tuone hao wazungu waliowatuma kama watawasaidia
Ujue sometimes unaongea mambo ambayo yanakuvunjia heshima,unaweka ukada mbele kuliko uhalisia na ukweli ulivyo. Halafu nakushangaa unavyofurahia mambo ya uvunjifu wa amani yanayoendelea.Kwani ameenda kwa mujibu wa ratiba ya NEC?
Yaani mfa maji kweli haishi kutapatapa. Maji yako shingoni TAL anatafuta njia tuu ya kuleta vurugu. Waliochoma nyumba huko Arusha ni wao wao ili kutaka vurugu ianze. Hatudanganyiki. TAL na kundi lake mwageni sera zenu za nini mtafanya mkipata dola. Msiendelee kutafuta huruma kwa wananchi. Anayetafutwa hapa ni Rais atakayewaletea maendeleo Watanzania; na siyo anayelialia akitafuta huruma. Tueleze utatufanyia nini zaidi ya tulichopata kwa JPJM.
1. Ni jambo zuri kuzitahadharisha mamlaka ili zichukue hatua
2. Lakini lazima mfahamu kuwa hiyo ni mikakati inayoratibiwa na dola yenyewe chini ya maRC na maDC kwa baraka zote za NEC
3. Wanafanya hivyo, ili kuipa hoja CCM na mgombea wao ambaye hana kibali kwa UMMA na kwa MUNGU kuongoza nchi, kusema "....mnaona amefika Chato kazomewa kwa sababu hawamtaki..."
USHAURI:
¶ There's no going back. Lazima mapambano yaendelee. Kama wanataka kuleta fujo, waanzishe hiyo fujo, SISI TUTAIMALIZA!!
¶ Mgombea Urais, Tundu Lissu lazima afike kila sehemu na afanye mikutano yake kulingana na ratiba!!
¶ Imesemwa na inasemwa sana na mgombea Urais wetu Mh. Tundu Lissu, kuwa kuikomboa nchi toka kwa manyang'au CCM na vibaraka wao is not an easier job, kuwanyang'anya dola hawa inahitaji kulipa huge price..
Gharama yenyewe ndiyo hii..!!
Adui yuko desperate. Anaitetea pumzi yake ya mwisho. Hawezi ku - survive. Amechoka. Yuko tayari ku - surrender. ALUTA CONTINUA...