Getang'wan
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 3,076
- 3,416
Na nyumba ya mgombea ubunge Chato wamevunja chadema? Mbona mnajifanya wapofu na kutetea uhalifu kwasababu unawaathiriYaani mfa maji kweli haishi kutapatapa. Maji yako shingoni TAL anatafuta njia tuu ya kuleta vurugu. Waliochoma nyumba huko Arusha ni wao wao ili kutaka vurugu ianze. Hatudanganyiki. TAL na kundi lake mwageni sera zenu za nini mtafanya mkipata dola. Msiendelee kutafuta huruma kwa wananchi. Anayetafutwa hapa ni Rais atakayewaletea maendeleo Watanzania; na siyo anayelialia akitafuta huruma. Tueleze utatufanyia nini zaidi ya tulichopata kwa JPJM.
Ndio alimaliza darasa la saba wiki iliyopita.Umeishia darasa la ngapi ?
Anaetakiwa kuchukua hatua ni vyombo vya ulinzi na usalama,.kumbuka chadema wahana dola, wao wanatakiwa kutoa taarifa kwa vyombo husika then vyombo husika vichukue hatuaChadema mbona hamchukui hatua? Au mnakwepa mtego wa fisiemu?
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Meku, mimi nashangaa kwanini afanyiwe figisu kama safari yake ni halali!
tuli-foward swali lako kwa polisi mkuu......Meku, mimi nashangaa kwanini afanyiwe figisu kama safari yake ni halali!
kwan TAL ye ni nani hadi sheria imuogopeNec ya CCM inayo ng'ata upande mmoja tu !!!.Mbona hauulizi na upande wa pili Ratiba ina vurugwa na hatuioni hiyo NecCCM ikijitokeza !?.Mh Magufuli anasimama popote na anafanya lolote na habugudhiwi ,Raia kwa mapenzi yao wana msindikiza Mgombea wao kwenda Hotel mnawa shambulia.Nna sikitika Wapinzani Nchi hii kuchukiwa na kuchukuliwa kama maadui na Dola inayoongozwa na CCM,dola inayotakiwa kukaa katikati.
MKUU UKO SAHIHI HATA LEO WAMEJIPIGA MAWE WENYEWE, NI WAO PIA WALIMPIGA RISASI LISSU, ILA MPAKA LEO CCM NA SERIKALI YAKE INAOGOPA KUWAKAMATA WAUAJI.Yaani mfa maji kweli haishi kutapatapa. Maji yako shingoni TAL anatafuta njia tuu ya kuleta vurugu. Waliochoma nyumba huko Arusha ni wao wao ili kutaka vurugu ianze. Hatudanganyiki. TAL na kundi lake mwageni sera zenu za nini mtafanya mkipata dola. Msiendelee kutafuta huruma kwa wananchi. Anayetafutwa hapa ni Rais atakayewaletea maendeleo Watanzania; na siyo anayelialia akitafuta huruma. Tueleze utatufanyia nini zaidi ya tulichopata kwa JPJM.
kwan TAL ye ni nani hadi sheria imuogope
kampeni zinaisha sa12
Mikusanyiko/maandamano usiku bila kibali ni kosa na mnalijua hilo
sasa n kwa nn muwaweke hao watu hadi sa2 usuku?
ndo maana nawambia acheni upumbavu wa kimakisudi chama sio nyinyi pekeyenu 👎
1. Ni jambo zuri kuzitahadharisha mamlaka ili zichukue hatua
2. Lakini lazima mfahamu kuwa hiyo ni mikakati inayoratibiwa na dola yenyewe chini ya maRC na maDC kwa baraka zote za NEC
3. Wanafanya hivyo, ili kuipa hoja CCM na mgombea wao ambaye hana kibali kwa UMMA na kwa MUNGU kuongoza nchi, kusema "....mnaona amefika Chato kazomewa kwa sababu hawamtaki..."
USHAURI:
¶ There's no going back. Lazima mapambano yaendelee. Kama wanataka kuleta fujo, waanzishe hiyo fujo, SISI TUTAIMALIZA!!
¶ Mgombea Urais, Tundu Lissu lazima afike kila sehemu na afanye mikutano yake kulingana na ratiba!!
¶ Imesemwa na inasemwa sana na mgombea Urais wetu Mh. Tundu Lissu, kuwa kuikomboa nchi toka kwa manyang'au CCM na vibaraka wao is not an easier job, kuwanyang'anya dola hawa inahitaji kulipa huge price..
Gharama yenyewe ndiyo hii..!!
Adui yuko desperate. Anaitetea pumzi yake ya mwisho. Hawezi ku - survive. Amechoka. Yuko tayari ku - surrender. ALUTA CONTINUA...
28october ndio utajua hana kibali au anakibali1. Ni jambo zuri kuzitahadharisha mamlaka ili zichukue hatua
2. Lakini lazima mfahamu kuwa hiyo ni mikakati inayoratibiwa na dola yenyewe chini ya maRC na maDC kwa baraka zote za NEC
3. Wanafanya hivyo, ili kuipa hoja CCM na mgombea wao ambaye hana kibali kwa UMMA na kwa MUNGU kuongoza nchi, kusema "....mnaona amefika Chato kazomewa kwa sababu hawamtaki..."
USHAURI:
¶ There's no going back. Lazima mapambano yaendelee. Kama wanataka kuleta fujo, waanzishe hiyo fujo, SISI TUTAIMALIZA!!
¶ Mgombea Urais, Tundu Lissu lazima afike kila sehemu na afanye mikutano yake kulingana na ratiba!!
¶ Imesemwa na inasemwa sana na mgombea Urais wetu Mh. Tundu Lissu, kuwa kuikomboa nchi toka kwa manyang'au CCM na vibaraka wao is not an easier job, kuwanyang'anya dola hawa inahitaji kulipa huge price..
Gharama yenyewe ndiyo hii..!!
Adui yuko desperate. Anaitetea pumzi yake ya mwisho. Hawezi ku - survive. Amechoka. Yuko tayari ku - surrender. ALUTA CONTINUA...
Anaetapatapa unamjua lkn? Lissu ameshashinda tayari my friendYaani mfa maji kweli haishi kutapatapa. Maji yako shingoni TAL anatafuta njia tuu ya kuleta vurugu. Waliochoma nyumba huko Arusha ni wao wao ili kutaka vurugu ianze. Hatudanganyiki. TAL na kundi lake mwageni sera zenu za nini mtafanya mkipata dola. Msiendelee kutafuta huruma kwa wananchi. Anayetafutwa hapa ni Rais atakayewaletea maendeleo Watanzania; na siyo anayelialia akitafuta huruma. Tueleze utatufanyia nini zaidi ya tulichopata kwa JPJM.
Kwendraàa..Yaani mfa maji kweli haishi kutapatapa. Maji yako shingoni TAL anatafuta njia tuu ya kuleta vurugu. Waliochoma nyumba huko Arusha ni wao wao ili kutaka vurugu ianze. Hatudanganyiki. TAL na kundi lake mwageni sera zenu za nini mtafanya mkipata dola. Msiendelee kutafuta huruma kwa wananchi. Anayetafutwa hapa ni Rais atakayewaletea maendeleo Watanzania; na siyo anayelialia akitafuta huruma. Tueleze utatufanyia nini zaidi ya tulichopata kwa JPJM.
Mzee wako angepiga nyeto huu utopolo usingepata nafasi hapa jukwaani.acheni mambo ya kipumbavu kufanya mambo kwa makusudi
mnasababisha watu wasio hatia kuumia sababu ya upuuzi wenu
"kupuuza sheria kuhusu mikusanyiko"
hovyo sana nyie watu.
Anaetapatapa unamjua lkn? Lissu ameshashinda tayari my friend
Dunia ishaona Chadema ishauriwe kwenda mji unaofuata
Huu ni ushahidi tosha Kwani taarifa za mgambo “interahamwe “ kwa Kigezo Cha kumlinda zinajukikana kuwa wako porini chato wanapewa mafunzo
Leo Kila mtu amewaona
Huwezi kukataaa watu wasipige kampeni kijijini kwako
Kikwete alikua anapondwa na dr slaaa juu ya kuwe na nyumba nzuri kijijini huku Majirani ni maskini Lakini alimuacha anafanya kampeni hadi nyumbani kwake Msoga
Kilichotokea chato Leo ni aibu kwa rais maghufuli, je kila mgombea kwao akipata watu wakufanya vurugu patatosha? Leo nimeamini hatuna rais Bali mtu mwenye dhamira mbaya kwa taif letu