Uchaguzi 2020 CHADEMA: Matukio ya Chato, Kahama yanatishia usalama wa Tundu Lissu

UHUNI WA KITOTO HUU INAMAANA NAYE MAGUFULI AKIFIKA SINGIDA AFANYIWE FUJO THATS A SHITTS OF ALL SHITTS
 
Huenda adui anataka kufa na mtu.viongozi hasa wa dini msinyamazie hali hi kwani wapo yayari kwa Lolote lakini wasitoke ndikilo.mweee
 
Hivi hiyo stroke ya ubongo ulonayo haijapona tu?ENDELEA KUTUMIA DAWA,MKUU....USISAHAU VITUNGUU SWAUMU..HUKU HAPAKUFAI

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Acheni mambo ya kipumbavu kufanya mambo kwa makusudi
mnasababisha watu wasio hatia kuumia sababu ya upuuzi wenu
"kupuuza sheria kuhusu mikusanyiko"

Hovyo sana nyie watu.
Eti Maccm hayataki TunduALissu alale Chato, yaani ni hivi mtake msitake leo TL atalala chato, nyie si mnajikuta watalaam wa kutoa roho za watu basi jaribuni leo muone, nyambafuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie CHADEMA nchi hii ni salama sana na mkileta upuuzi wenu wa kutaka kuchafua amani hasa kipindi hiki mtapigwa tu hakuna namna na tuone hao wazungu waliowatuma kama watawasaidia
Haya ni madhara ya kutumia akili za jalalani
 
Nyie CHADEMA nchi hii ni salama sana na mkileta upuuzi wenu wa kutaka kuchafua amani hasa kipindi hiki mtapigwa tu hakuna namna na tuone hao wazungu waliowatuma kama watawasaidia
Eti wanaandamana kwa amani kumsindikiza Lisu hotelini vituko vilioje.

Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
 
Nyie CHADEMA nchi hii ni salama sana na mkileta upuuzi wenu wa kutaka kuchafua amani hasa kipindi hiki mtapigwa tu hakuna namna na tuone hao wazungu waliowatuma kama watawasaidia
gasho ww
 
 
Mie ninaona Kama CHADEMA bado hamjajielewa katika hili.... Ngoja niishie hapo.
 
Kuna siku mtaambiwa mshike ukuta
 
Hapana tusikimbilie kuwalaumu polisi. Tujiulize ni upi utaratibu wa mikutano na maandamano na je maandamano yanahitaji kufuata utaratibu gani?....we must see these issues critically.
 

Tukio hilo la kuvamia viongozi wa Chadema Jimbo la Chato usiku wa kuamkia leo, linafanana kwa namna moja ama nyingine na lile la kuvamiwa na kuchomwa moto kwa Ofisi ya Chadema Kanda ya Kaskazini, jijini Arusha. Matukio yote yamefanyika muda mfupi kabla Mgombea Urais wa Chadema Mhe. Lissu hajafika maeneo hayo kwa ajili ya vikao na mikutano inayohusu shughuli za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020.
HII INATIA MASHAKA- itakuwa nyinyi wenyewe unayafanya kwa sababu ya mnazojua wenyewe
 
Nilikuwa sijui kumbe humu kuna mazuzu mgombea wa ubunge chadema kapigwa sana msafara wa lisu umepigwa mawe mpaka akaamua barabara ifungwe iliapate msaada mtumungine kapigwa mnyoo huko anasema anatafuta vurugu tujiepushe nakusapoti ujima umepitwa sasa usipotangaza kwakutumia tv mitandao inatukatia kiu eti alalamika makubwa ndio anaandaa vurugu haàa!
 
CHADEMA mbona hamchukui hatua? Au mnakwepa mtego wa CCM?
Kwani hujawasikia NEC wakisema vyama vyote viendeshe uchaguzi kwa ustaarabu na amani au kwa sababu ccm mnabebwa na tumeccm, safari hii chadema watakuwa wapole hadi tufike siku ya kupiga kura kumg`oa nduli meko,baada ya hapo ndo patachimbika aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…