Kigera Kwetu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,448
- 1,311
Hakuna ushahidi kuhusu pesa ya Abdul.... 😀 😀Noma sana. Kama kala pesa ya abdul kweli itabdi avumilie asijitoe maana akijitoa ataitapika.
Sema kama kweli kala ela ya abdul basi lazima ashinde hata kwa jecha kufuta uchaguzi kama matokeo yatakuwa ya tofauti
Uliwakuta kwenye ofisi za ccm...au ndio siasa za maji taka 😀Nimemsikia huyo mwanachama anamtishia Sugu kuwa asipompigia Lissu kura atafanya kazi peke yake.... Hakuna shida, Mbowe na Sugu sasa hivi wanafanya kazi na CCM kwa hiyo wakijitenga watakuwa wamempiga teke chura😃
Lema anakwambia katika siasa na mambo ya rushwa hayana rekodi ila mnaona kabisa watu wanapewa takrima hivyo kusema leta ushahidi huwa ni maneno tu ila ukweli mnakuwa mnaujua.Hakuna ushahidi kuhusu pesa ya Abdul.... 😀 😀
Halafu unasemaga wewe ni mchagga? Hiyo jeuri na kiburi ulikuwa unamletea nani? Mama wa kichagga au?Umenikumbusha kipindi nikiwa mdogo, weekend mama asipo pika ubwabwa nina goma kula.
Mimi Lisu akishinda kura yangu nitawapa CCM kwa mara ya kwanzaNa mimi nasema hiviiii, Lissu asipokuwa Mwenyekiti Chadema, Mama Samia ana kura yangu na wagombea wote wa CCM.
Itakuwa mara ya 3 kupiga kura, na mara ya kwanza kuichagua CCM.
Yeah nilikua nakula kipigo kitakatifu ila kwenye ubwabwa ndio hivyo nilikua siambiliki😁Halafu unasemaga wewe ni mchagga? Hiyo jeuri na kiburi ulikuwa unamletea nani? Mama wa kichagga au?
Yani mimi hadi naogopa nikiwaza kitu mama yangu angenifanya!
Mh! usipende kujiapiza maneno kwa wanasiasa utakuja kugeukwa vibaya na wanasiasa unaowaamini, litakutoka chozi moja kubwa sana..🤣Na mimi nasema hiviiii, Lissu asipokuwa Mwenyekiti Chadema, Mama Samia ana kura yangu na wagombea wote wa CCM.
Itakuwa mara ya 3 kupiga kura, na mara ya kwanza kuichagua CCM.
Hatuhitaji kura ya mgonjwa wa zikaMimi asipokuwa Lissu mwenyekiti, kura yangu kwa mara 1 nawapa chadema
Msema kweli ni mpenzi wa MUNGUTegemea Sanga Mwanachama wa CHADEMA anasema Viongozi wao wajuu wamechukua jukumu la kumuunga mkono Mbowe bila kuwashikirisha wao kwani wao wanamtaka Lissu Kwakuwa ni muwazi na mkweli.
Zikiwa zimesalia siku kadhaa kufikia kilele Cha Uchaguzi ndani ya CHADEMA mnyukano ni mkali kati ya Lissu na Mbowe huku dalili zikionesha Lissu atashinda kwa ushindi mwembamba kwani Mbowe amekuwa akigawa rushwa kwa wajumbe wa Uchaguzi huo jambo linalowafanya wajumbe kuamini ni kweli Mbowe ni Wenje ni project za Serikali.
Labda hujui mdogo wangu, mimi nilishasema Lissu ndio mwanasiasa pekee ninayemuamini, akizingua na yeye basi nastaafu siasa.Mh! usipende kujiapiza maneno kwa wanasiasa utakuja kugeukwa vibaya na wanasiasa unaowaamini, litakutoka chozi moja kubwa sana..🤣
Mbona wana lazimisha?? Hahaaaa Hii ndio demokrasia?Tegemea Sanga Mwanachama wa CHADEMA anasema Viongozi wao wajuu wamechukua jukumu la kumuunga mkono Mbowe bila kuwashikirisha wao kwani wao wanamtaka Lissu Kwakuwa ni muwazi na mkweli.
Zikiwa zimesalia siku kadhaa kufikia kilele Cha Uchaguzi ndani ya CHADEMA mnyukano ni mkali kati ya Lissu na Mbowe huku dalili zikionesha Lissu atashinda kwa ushindi mwembamba kwani Mbowe amekuwa akigawa rushwa kwa wajumbe wa Uchaguzi huo jambo linalowafanya wajumbe kuamini ni kweli Mbowe ni Wenje ni project za Serikali.
Wa ukimwi jee?Hatuhitaji kura ya mgonjwa wa zika
He kumbe na ukimwi unao,utakomajeWa ukimwi jee?
Basi nikuambie tu kwisha habari yako!Labda hujui mdogo wangu, mimi nilishasema Lissu ndio mwanasiasa pekee ninayemuamini, akizingua na yeye basi nastaafu siasa.
Unamtisha nani?Na mimi nasema hiviiii, Lissu asipokuwa Mwenyekiti Chadema, Mama Samia ana kura yangu na wagombea wote wa CCM.
Itakuwa mara ya 3 kupiga kura, na mara ya kwanza kuichagua CCM.